MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 11



Kwabla ya kuendelea na somo kwanza Kwenye database yetu ya hotel, kwenye table ya menu ongeza data zifuatazo, kwa kuingia kwenye uwanja wa SQL kisha una pest data hizi:- Rejea mafunzo ya database jinsi ya kuongeza data kwenye Mysql kwa kutumia SQL.


Kabla ya kuendelea na somo kwanza Kwenye database yetu ya hotel, kwenye table ya menu ongeza data zifuatazo, kwa kuingia kwenye uwanja wa SQL kisha una pest data hizi:-

Rejea mafunzo ya database jinsi ya kuongeza data kwenye Mysql kwa kutumia SQL.

 

(6, 'supu', 'Pata supu ya smaki, pweza, na nyama ', 1800),

(7, 'Soda', 'Pata soda za aina zote kwa bei ileile', 500),

(8, 'juisi', 'Kunywa juisi za matunda halizi umalize kiu yako', 1200),

(9, 'internet', 'Huduma ya internet ipo kwa bei poa kwa lisaa', 900),

(10, 'Usafiri', 'Tunatoa usafiri wa haraka ', 22000);

(1, 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1000),

 

 

  1. Kuhesabu idadi ya row kwenye tabl

Kama unataka kujuwa je kuna menu ngapi kwenye orodha, utatakiwa kuhesabu idadi ya row ambazo ndio zinabeba hizo data. kufaya hivi tutatumia function ya kuhesabu row ambayo ni COUNT(). Rejea mafunzo ya database somo la 12  hivyo variable ya $sql itakuwa hivi

 $sql = "SELECT COUNT(name) FROM menu";

 

Pia tutakuwa na variable nyingine kwa ajili ya kuangalia connection hii tutaipa jina la result $result = $conn->query($sql) Pia tutahitajika kuwa na variable nyingine kwa ajili ya ku fetch data hii itakaa nadni ya while ili kuangalia kama connection imefanyika iweze ku fetch data. Variable hiyo itatupa matokeo ya $result ambayo imeangalia connection.Variable hii tutaiita $row ambayo itakuwa hivi $row = mysqli_fetch_array($result)     

Kwa pamoja na while tunapata:-

 while($row = mysqli_fetch_array($result)){

   echo "Jumla ya row ni :". $row['COUNT(price)'];

}

Code nzima ya kuhesabu row itakuwa hivi:

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

 

//sql query to count rows

$sql = "SELECT COUNT(name) FROM menu";

$result = $conn->query($sql);

//display data on web page

while($row = mysqli_fetch_array($result)){

   echo "Jumla ya row ni :". $row['COUNT(name)'];

}

 

//close the connection

 

$conn->close();

?>

 

  1. Kuangalia Kutafuta average ya price zote kwenye menu

Katika mafunzo ya database tulijifunza kuwa unapotaka kutafuta average tunatumia function hii AVG() na SQL yake inakuwa hivi SELECT AVG(price) FROM menu hivyo kuandaa sql variable itakuwa hivi $sql = "SELECT AVG(price) FROM menu"

Mambo mengine yatabakia kama yalivyo, utatakiwa kwenye echo   badala ya  $row['count(price)sasa itakuwa $row['AVG(price)

            

Kama kila kitu kipo sawa. Pest code hizi kwenye ukurasa wako wa php Itakuletea average ya price zote kwenye menu.

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

 

//sql query to find average

$sql = "SELECT AVG(price) FROM menu";

$result = $conn->query($sql);

//display data on web page

while($row = mysqli_fetch_array($result)){

   echo "Average ni:". $row['AVG(price)'];

}

 

//close the connection

 

$conn->close();

?>

 

  1. Kutafuta jumla ya price za menu yote

Tulijifunza kuwa ukitaka kutafuta jumla utatumia function hii SUM() mfano SELECT SUM(price) FROM menu kwa kutumia sql hii variable yake itakuw hivi $sql = "SELECT SUM(price) FROM menu"; Variable ya $row sasa itakuwa $row['SUM(price)

   

  Code nzima ya kutafuta total itakuwa hivi

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

 

//sql query to find sum

$sql = "SELECT SUM(price) FROM menu";

$result = $conn->query($sql);

//display data on web page

while($row = mysqli_fetch_array($result)){

   echo "Jumla upo ni:". $row['SUM(price)'];

}

 

//close the connection

 

$conn->close();

?>

 

  1. Kutafuta Maximum na minimun

Unapotafuta maximum maana yake unatafuta menu yenye price kubwa kuliko zote. Na unapotafuta minimum maana yeke unatafuta menu yenye price ndogo kuliko zote.

 

Katia mafunzo ya database tulijifunza kuwa kutafuta maximum tunatumia MAX() mfano SELECT MAX(PRICE) FROM menu na tunapotafuta minimum tunatumia MIN() mfano SELECT MIN(PRICE) FROM menu hivyo sql variable itakuwa 

$sql = "SELECT  MAX(price) FROM menu";

$sql = "SELECT  Min(price) FROM menu";

 

CODE ZA KUTAFUTA MAXIMUM

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

//sql query to find the maximum price

$sql = "SELECT  MAX(price) FROM menu";

$result = $conn->query($sql);

//display data on web page

while($row = mysqli_fetch_array($result)){

   echo "Maximum price :". $row['MAX(price)'];

}

 

//close the connection

 

$conn->close();

?>

 

 

CODE ZA KUTAFUTA MINIMUM

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

//sql query to find the minimum price

$sql = "SELECT  MIN(price) FROM menu";

$result = $conn->query($sql);

//display data on web page

while($row = mysqli_fetch_array($result)){

   echo "Minimum price :". $row['MIN(price)'];

}

 

//close the connection

 

$conn->close();

?>

 

 

Tukutane somo la 12 tutakapojifunza jinsi ya kutumia condition statement kwa kutumia data zeti zilizopo kwenye table.

 

 

 

Mafunzo haya yamekujia kwa ihsani ya Bongoclass

Web: www.bongoclass.com

Email: [email protected]



Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bodya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp 💧 bofya hapa


Post Nyingine


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 1


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 2


MAFUNZO YA PHP LEVEL 1 SOMO LA 3


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 4


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 5


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 6


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 7


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 8


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 9


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 10


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 11


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 12


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 13


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 14


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 15 PROJECT