MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 12



Hapa tutakweda kujifunza jinsi ya kutumia condition sentence zile za if else if else. Kwenye mafunzo ya PHP level 1 somo la 10 tulishajifunza kutumia condition sentence. Sasa hapa tutakwenda kuona jinsi ambavyo tunaweza kuzitumia kwenye database. hapa nitakwenda kukufundisha kwa mifano:


Ni kuwa una Tsh 1300 na unataka kujuwa kwa pesa hiyo ni chakula gani utapata kwa hiyo menu. Kufanya hivi tutatengeneza html table yenye column 4 ya kwanza ni kwa ajili ya id, ya pili ni kwa ajili ya majina ya menu, ya tatu ni kwa ajili ya ststus, kuonyesha ambayo unapata itaandika YES na ambayo hupatu itaandika NO.

<html>

<body>

<style>

   table, th, td {

       border: 1px solid black;

   }

</style>

<table style="width:100%">

   <th>Id</th>

   <th>Menu zote</th>

   <th>Price</th>

   <th>Status</th>

 

Kisha kila kitu ni kama tulivyofanya huko mwanzo kwenye ku connect na ku select data ili uweze kuzisoma kwenye ukurasa wa wavuti. Tutatumie 

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

   ?>

   <tr>

 

       <td><?php echo $fetch['id']; ?></td>

       <td><?php echo $fetch['name']; ?></td>

       <td><?php echo $fetch['price']; ?></td>

 

Sasa katika <td> za status ndipo tutakwenda kutumia if else. Kusema kuwa kama price ni ndogo kuliko 1300 echo isome YES na vinginevyo isome NO

<td>

<?php

if ($fetch['price'] <1300){

   echo "<b>YES</b>";

}else echo "NO";

?>

</td>

 

Code zote zinaweza kuwa hivi

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

?>

<html>

<body>

<style>

   table, th, td {

       border: 1px solid black;

   }

</style>

<table style="width:100%">

   <th>Id</th>

   <th>Menu zote</th>

   <th>Price</th>

   <th>Status</th>

   <?php

   $sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

   while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

       ?>

       <tr>

 

           <td><?php echo $fetch['id']; ?></td>

           <td><?php echo $fetch['name']; ?></td>

           <td><?php echo $fetch['price']; ?></td>

           <td>

           <?php

           if ($fetch['price'] <1300){

               echo "<b>YES</b>";

           }else echo "NO";

           ?>

           </td>

       </tr>

   <?php }?>

</table>

 

</body>

</html>

 

 

Pia kwa mfano unataka kama price ni chini ya 1300 echo iseme Unapata, na kama ni zaidi ya 2000 echo iseme Bosi vinginevyo iseme Hupati. Hapa tutacheza na if, else if, else

<?php

if ($fetch['price'] <1300){

   echo "<b>Unapata</b>";

}else if ($fetch['price'] >2000){

   echo "Bosi";

}else echo "Hupati"

?>

 

Hii itakupa matokeo haya

 

Unaweza kufanyia mazoezi zaidi. Tukutane kwenye somo la 13 tutakapojifunza Jinsi ya ku upload file kwenye database kwa kutumia php. Pia utajifunza kulisoma hilo faile uliloupload kwa kutumia php.

 

 

Mafunzo haya yamekujia kwa ihsani ya Bongoclass

Web: www.bongoclass.com

Email: [email protected]

 

 



Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bodya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp 💧 bofya hapa


Post Nyingine


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 1


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 2


MAFUNZO YA PHP LEVEL 1 SOMO LA 3


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 4


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 5


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 6


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 7


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 8


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 9


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 10


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 11


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 12


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 13


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 14


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 15 PROJECT