MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 6



Katika somo hili utajifunza namna ya kuingiza data kwenye datble ya databse yako kwa kutumia PHP.


KUINGIZA DATA KWENYE DATABSE

Kwa kuwa katika somo lililotangulia tmezifuta databse ze ztu sasa nitakuba code hapa za SQL ili uweze kutengeneza database na table kisha tutaendelea somo kwa kuingiza data kwenye hiyo databse yako.

 

tengeneza databse iite hotel kisha itengenezee table kwa kupest code hizi hapo chini kwenye uwanja wa SQL. (Rejea mafunzo ya database jinsi ya kutengeneza table)

 

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `menu` (

  `id` int(100) NOT NULL,

  `name` varchar(255) NOT NULL,

  `description` varchar(255) NOT NULL,

  `price` int(100) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

 

MAANDALIZI:

kama tulivyoona hapo mwanzoni kwanza unatakiwa u connect database. Na kuandaa variable zote pamoja na SQL kwa ajili ya kuingiza data. Kama tulivyojifunza katika mafunzo ya databse. tunatumia INSERT INTO ili kuingiza taarifa kwenye databse. (tafadhali rejea mafunzo ya database namna ya kuingiza data kwenye dable). Hivyo $sql variable itakwenda kuwakilisaha SQL statemen t ya kuingiza datada. Hakikisha unahusisha na jina la databse. mfano INSERT INTO menu.

 

jambo linguine unatakiwa ukumbuke majina ya column za table yako. kwani hizo data unazokwenda kuziweka zinaingia kwenye column. table yetu ya menu kama inavyoonekana hapo juu, ina column 4 ambazo ni, id, name, description na price. Yaani ni kuwa tnanakwenda kuweka values kwenye hizo column 4. VALUE ni kile unachokwenda kuweka. Mfano name ukiweka ugali, inamaana value hapo ni ugali. (tafadhali rejea mafunzo ya database jinsi ya kuingiza data). 

 

Kwa mfano tunataka kuweka menu yenye id 1, name Ugali, description iwe karibu ugali mtamu, na price iwe 1500  hivyo SQL variable itakuwa hivi   

$sql = "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('1', 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1500)";

 

Baada ya hapo utaandaa alert message ili kukujulisha kuwa kazi imefanyika. Kama kawaida tutatumia if else ili kutuambia kuwa kama data imeingizwa itupe meseji “taarifa zimeingizwa kikamilifu” vingineyo ituambie “kuna tatizo” kufanya hivi tutatumia  mysqli_query($conn, $sql)

 

CODE NZIMA ZA KUINGINZA DATA KWENYE TABLE ZITAONEKANA HIVI:

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

// Check connection

if (!$conn) {

   die("Connection failed: " . mysqli_connect_error());

}

 

// delete database

$sql = "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('1', 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1500)

";

if (mysqli_query($conn, $sql)) {

   echo "Taarifa zimeingingwa kikamilifu";

} else {

   echo "Kuna tatizo: " . mysqli_error($conn);

}

 

mysqli_close($conn);

?>

   

Hakikisha umeshatengeneza table ya menu kwa kutumia SQL code nilizozitoa hapo mwanzoni mwa somo hili. Kama utakuwa umefanya kila kitu sawa, pest code hizo hao juu kwenye faili la php kisha lifunguwe kwa prowser yako, hakikisha faili lipo kwenye localhost.

Kama umefanya kila kitu sawa taona data zimeshaingia.

 

KUINGIZA DATA NYINGI KWA PAMOJA

Pia unaweza kuingiza data nyingi wa kwakati mmoja. Mfano unataka kuongez menu za vyakula kama ubwabwa, makande, chips na chai. Hizi zote utaweza kuzifanya kwa pamoja. kwanza andaa SQl ststemen ya kufanya hizi.

mfano:

 

Hivyo hapa utahitajika kuandaa $sql variable 4 kwa ajili ya kuwakilisha hizo dada kwa kila moja na variable yeke. Hii inamaana $sql variable zitaonekana hivi:-

$sql = "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('2', 'wali', 'pata wali tamu', '2000');";

$sql .= "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('3', 'Chips', 'Chips kuku', '2300');";

$sql .= "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('4', 'makande', 'makande safi laini', '1900')";

 

Kuna jambo hapo nikujuze. Baada ya alama ya = kuanzia kwenye $slq ya pili utaona kuna alama ya nukta. Hicho kidot huitwa   concatenation operator    hapo kimetumiaka kuunganisha hizo statemen. Tutakuja jifunz zaidi mbeleni. 

 

Kitu kingen hpa cha kuangalia ni kuwa hapa tutabadili ile function ya kuangalia kama data zieongezwa. hapa tutatumia hii mysqli_multi_query($conn, $sql)) yaani hapa tunaangalia kuwa je multi query kumaanisha kuwa data zilizoingizwa ni zaidi ya moja. je zimeingizwa kimamilifua ama laa. 

 

 

CODE NZIMA ZITAONEKANA KAMA HIVI

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

// Check connection

if (!$conn) {

   die("Connection failed: " . mysqli_connect_error());

}

 

$sql = "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('2', 'wali', 'pata wali tamu', '2000');";

$sql .= "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('3', 'Chips', 'Chips kuku', '2300');";

$sql .= "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('4', 'makande', 'makande safi laini', '1900')";

 

if (mysqli_multi_query($conn, $sql)) {

   echo "Taarifa mpya zimeingizwa kikamilifu";

} else {

   echo "Error: " . $sql . "<br>" . mysqli_error($conn);

}

 

mysqli_close($conn);

?>

 

Kama mabo yote yalikaa sawa utapata matokeo hata

 

Mwisho

Tukutane somo la 7 tutakwenda kujifunza namna ya kuzisoma data kwenye database kwa kutumia PHP. Kuzisoma data kutoka kwenye databse kwa kutumia PHP ni katika hatuwa muhimu sana. Hivyo usikose somo hilo.

 

 

Mafunzo haya yamekujia kwa ihsani ya Bongoclass

Web: www.bongoclass.com

Email: [email protected]



Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bodya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp 💧 bofya hapa


Post Nyingine


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 1


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 2


MAFUNZO YA PHP LEVEL 1 SOMO LA 3


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 4


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 5


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 6


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 7


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 8


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 9


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 10


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 11


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 12


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 13


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 14


MAFUNZO YA PHP LEVEL 2 SOMO LA 15 PROJECT