AINA MBALIMBALI ZA MAUMIVU YA MWILI.


image


Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.


Aina mbalimbali ya maumivu ya mwili.

1.Kuna maumivu yanayotokea kwenye sehemu ya juu ya mwili na hasa hasa maumivu haya utokea kwenye ngozi, kuna kipindi unahisi maumivu kwenye ngozi hasa mtu akiungua.

 

2. Kuna maumivu ya ndani kabisa ya mwili ambayo uweza kuingilia na misuli,joint na ogani nyingine kwenye mwili haya maumivu yanakuwa makali na yasipotibiwa yanaweza kuleta kitu kingine kisichotarajiwa.

 

3. Kuna maumivu ambayo yanatokea kwenye sehemu moja ya kiungo cha mwanadamu kumbe chanzo kipo sehemu nyingine kwa mfano mtu anaumwa mgongo lakini maumivu yako kwenye miguu na mgongo wenye shida hata hauna maumivu hata kidogo, tatizo hili ugunduliwa na vipimo vya hali ya juu.

 

4. Kuna maumivu mengine ya kukata kiungo cha binadamu kwa mfano mtu aliyekutwa mguu kwa sababu ya ugonjwa wa kisukari au kwa sababu ya kuoza kwa mguu.

 

5. Maumivu  kisaikolojia haya ni maumivu ambayo uwapata Watu wengi walioumizwa na wapenzi wao haya maumivu uwapata sana wachumba na wapenzi pale mmoja anapoamua kumsaliti mwingine.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

image Aina za kuungua
Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali Soma Zaidi...

image Sababu za Ugonjwa wa pumu
Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee) Soma Zaidi...

image Sababu za kutoona hedhi kwa wakati
Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo. Soma Zaidi...

image Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.
Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwilini na kuepuka vyakula visivyofaa ambavyo vinaweza kuleta matatizo kwa Mama na mtoto. Soma Zaidi...

image Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe. Soma Zaidi...

image Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni
Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i Soma Zaidi...

image Sababu za ugumba kwa wanawake
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni sababu za ugumba kwa wanawake. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa Uvimbe kwenye ubongo
Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe au puto katika mshipa wa damu kwenye ubongo. Uvimbe kwenye Ubongo unaweza kuvuja au kupasuka, na kusababisha kuvuja damu kwenye ubongo. Mara nyingi, kupasuka kwa Uvimbe wa Ubongo hutokea katika nafasi kati ya ubongo na tishu nyembamba zinazofunika ubongo. Aina hii ya Kiharusi cha kuvuja damu huitwa Subarachnoid hemorrhage. Soma Zaidi...

image Dalili za kifua kikuu (tuberculosis)
Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis. Soma Zaidi...