ALIYEPALIWA NA MAJI HUDUMA YA KWANZA ITAKUWAJE


image


Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.


🐦 Swali

Aliyepaliwa na maji huduma ya kwanza itakuwaje

 

Jibu: 

👉 Kupaliwa na maji kunaweza kutokea endapo maji yataingia kwenye tundu la hewa wakati wa kunywa. Poa hutokea ukapaliwa na mate wakati wa kuzungumza. 

 

👉 Ikiwa mtu amepaliwa na mate au maji ndani ya sekunde kadhaa,  atarudi katika hali ya kawaida. Yaan hali ya kupaliwa itaondoka. 

 

👉 Endapo hali hiyo itakuwa ni endelevu kwa sekinde nyingi zaidi unatakiwa kumsaidia. Kumsaidoa kwake ni kumpigapiga upande wa mgongoni juu kidogo maeneo ya mabegani. 

 

Kumpigapiga huki kutaweaa kusukuma kilichaompalia nje. Omba msaada wa watu wengine endapo hali itakuwa endelevu kwa dakika moja. 



Sponsored Posts


  👉    1 Maktaba ya vitabu       👉    2 Magonjwa na afya       👉    3 Hadiythi za alif lela u lela       👉    4 Jifunze fiqh       👉    5 Madrasa kiganjani       👉    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Je siku ya kwanza kabisa ya ovulation mimba inakuwa ni uhakika kupata mimba?
Watu wengi wanadhania kuwa kufanya tendo la ndoa katika siku hatari ni lazima kuwa utapata ujauzito. Hili sio sahihi kabisa. Post hii itakwenda kuangalia jambo hili zaidi. Soma Zaidi...

image kuhusu ugonjwa wa Fangasi ya mdomo na ulimi hilo tatizo linanisumbua kwa mda napata muwasho juu ya ulimi naomba ushauli wako ili niweze kutatua hilo tatizo?”
Hivi badovunasumbuliwa na fangasi kwenye mdomo ama ulimi. Ni dawa gani umeshatumia bila mafanikio?. Soma Zaidi...

image Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria. Soma Zaidi...

image Jinsi moyo unavyosukuma damu
Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili. Soma Zaidi...

image DALILI ZA UTUMBO KUZIBA
Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambukizwa kwenye utumbo wako . Soma Zaidi...

image Samahani nilikua naomba niulize swali mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia. Soma Zaidi...

image Dalili za saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa.
Saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa ni aina isiyo ya kawaida ambayo kitaalamu hujulikana Kama saratani ya mkundu.Mfereji wa mkundu ni mirija fupi iliyo mwisho wa puru yako ambayo kinyesi hutoka mwilini mwako. Saratani ya kwenye Njia ya  haha kubwa inaweza kusababisha dalili nkama vile kutokwa na damu kwenye njia ya haja kubwa na maumivu. Soma Zaidi...

image Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo Soma Zaidi...

image Dalili na Sababu za homa ya manjano kwa watoto
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili na Sababu za Homa ya manjano ya watoto wachanga ni kubadilika rangi kwa manjano katika ngozi na macho ya mtoto mchanga. Homa ya manjano ya mtoto hutokea kwa sababu damu ya mtoto ina ziada ya rangi ya njano ya seli nyekundu za damu. Soma Zaidi...

image Namna Maambukizi kwenye milija na ovari yanavyotokea
Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali. Soma Zaidi...