Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.
'Swali
Assalam ghalaykum natumaini ni mzima waafya. Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???
Jibu:
' Baada ya kuzaliwa mtume alinyonya kwa mama yake kisha kwa thuaibatul islamiy
' kisha kwa bi halima kwa miaka 4
' Kisha akaendelea kulelewa na mamayake kwa miaka tena 2 hadi alipirafiki manayake
' kisha alilelewa na babu yake kwa mika tena 2 hadi alipofariki babu yake
' kisha akalelewa na baba yake mdogo baada ya kufariki babu.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2021-10-18 Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 509
Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Kitabu cha Afya