Somo hili linaeleza kwa urefu makundi ya najisi katika fiqh ya Uislamu, tofauti kati ya najisi kubwa, ndogo na hafifu, na namna sahihi ya kujitwaharisha kwa mujibu wa Qur'an, Hadith na Ijmaa.
Somo hili linaeleza kwa kina vifaa vinavyotumika kwa ajili ya twahara ya kisheria, vikiwemo maji safi (الماء الطهور), udongo (التراب الطاهر), na sifa zinazotakiwa kwa kila aina.
Somo hili linaeleza aina tatu za maji katika fiqh ya Kiislamu: maji safi yanayotwaharisha (ṭāhūr), maji safi yasiyotwaharisha (ṭāhir ghayr muṭahhir), na maji najisi (najis), pamoja na sifa za kila kundi.
Somo hili linaeleza maana ya twahara, aina zake kuu mbili (ya hadath na khabath), pamoja na njia na vifaa vya kutwaharisha, likiwemo maji, udongo, na mawe.
Somo hili linaeleza hukumu tano za matendo ya Kiislamu: Faradhi, Sunnah, Mubah, Makrūh, na Harām, pamoja na maana ya kila moja na athari zake katika maisha ya Muislamu.
Somo hili linaanza kwa kuelezea maana ya Uislamu kama mfumo kamili wa maisha unaojengwa juu ya imani na utiifu kwa Mwenyezi Mungu (Allah). Pia, tutazielewa nguzo tano za Uislamu ambazo ndizo msingi wa dini hii tukufu. Mwishoni, tutajifunza maana ya neno Fiqh ambalo ndilo msingi wa mfululizo wa darsa hizi. Hili ni somo la msingi kwa yeyote anayetaka kuelewa dini ya Kiislamu kwa ufasaha na kwa mpangilio wa kielimu.
Sura hii ni msingi wa Qur’an yote; inafundisha tauhidi, ibada, dua, na hofu kwa Allah. Haina sababu ya kushuka iliyo bayana lakini ni ya msingi kwa kila sala na nyenzo ya uongofu.
Elimu ya Asbāb an-Nuzūl huchunguza sababu za kushuka kwa aya. Somo hili linaeleza aina kuu za sababu hizo na namna wanazuoni wanavyothibitisha au kukosoa riwaya zake.
Katika uislamu mwanamke alikuwa na haki sawa na wanaume katika swala la kusjoma na kutafuta elimu. Makala hii itamuangalia mwanamke aliyeleta mapinduzi karne ya 10
Katika somo hili utakwend akujifunz abaadhi ya wanawake ambao wameshiriki vita vya uhudi na kutoa mchango mkubwa. Wanawake hawa wapo wengi ila hapa nitakuletea wanne tu.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu mmwanamke shujaa anayejulikana kwa jina la Naseebah bint Ka'ab (Nusaybah bint Ka'ab) mwanamke aliyemlinda Mtume s.a.w wakati wanaume wanakimbia vitani
Karibu kwneye Katika historia ya Maswahaba wa Mtume Muhammad s.a.w. Katika mfululizo wa masomo haya tutakwend akunagalia mengi katika mambo yanayohusu uislamu kupitia maisha ya Maswahaba.
Katika somo hili utajifunza mambo yaliojiri katika kikao kilicho andaliwa kwa ajili ya kumuuwa Mtue Muhammad s.a.w. Katika kikao hiki mpaka Iblis alihudhuria
Baada ya Baini Abd Manaf kukubaliana kumlinda Mtume Muhammad basi Maquraish wakaweka mkataba wa udhalimu utakaozuia kutoshirikiana na banu abd Manaf kwa lolote lile.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuusu historia ya mmoja katika maswahaba wa mwanzoni na mwenye mchango mkubwa sana katika uislamu ambaye ni Al-Arqam ibn Abi al-Arqam
Katika somo hili utakwend akujifunza mkakati uliohusu kuficha imani ya uislamu kimatendo na kimaneno kwa kuhofia mateso ya Makafiri dhidi ya Waumini wapya
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu amri ya kulingania wtu wote, yale yaliyojiri katika mkutano wa kwanza na laana ya Abu Lhab. TUkio hili lilianyika katika mlima As-safa
Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya mzee Abdul al MUttalib. Historia hii inaweza kutofautiana kidogo na ambayo umeshajifunza. na hii ni kutokana kutofautiana kwa mapokeo.
Katika soo hili utakwenda kujifunza historia ya jeshi la tembo na jinsi lilivyoangamizwa. Pia utajifunza namna ambavyo watu wa Makkah waliweza kujilinda.