Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.

Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy

Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.

1. Uondoa sumu mwilini.

Kwa kunywa maji sumu nyingi mwilini zinaweza kuondolewa kwa urahisi na maisha yanaendelea.

 

2. Uboresha metabolic.

Kwa kawaida aina ya vyakula ili kufanya kazi vizuri mwilini usaidiwa na maji ambayo usafilisha vyakula hivi kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa urahisi.

 

3. Kupunguza uzito.

Kwa kawaida unywaji wa maji usaidia kupunguza uzito kwa kiasi kikubwa kwa asilimia kubwa watu wanaokumywa maji kwa wingi usababisha uzito kupungua.

 

4. Maji usaidia kupunguza kiungulia na matatizo mengine ya umengenywaji wa vyakula.

 

5. Uimarisha ngozi.

Kwa kawaida watu wale wanaokumywa maji kabla ya kula chochote ngozi zao uwa ni raini sana  na zinakuwa zimeimarika.

 

6. Uzuia kuwepo kwa mawe kwenye figo.

Kuwepo kwa mawe kwenye figo Usababishwa na kutokunywa maji kwa hiyo kwa wanywaji wa maji kabla ya kunywa au kula chochote wana kiasi kikubwa cha kupata Ugonjwa wa Mawe kwenye kibofu.

 

7. Maji uongeza kinga ya mwili.

Kwa kunywa maji kwa wingi kinga ya mwili uweza kuongezeka na mwili hauwezi kupata magonjwa kwa urahisi.

 

8. Kwa hiyo tunapaswa kunywa maji kwa wingi hasa kabla ya kula au kunywa chochote kwa sababu yana faida nyingi sana mwilini.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/03/08/Tuesday - 12:24:08 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1846

Post zifazofanana:-

Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia Soma Zaidi...

Dalili na ishara za Ugonjwa wa kuambukiza.
Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe Soma Zaidi...

Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa. Soma Zaidi...

Dawa ya UTI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI Soma Zaidi...

Njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake
Posti hii inahusu zaidi njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake, hii njia dawa umengenywa kwenye tumbo na kupitia kwenye utumbo mdogo na baadae kwenye damu, Soma Zaidi...

Aina za uvimbe kwenye kizazi.
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata. Soma Zaidi...

Vitamini na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Ijue timu ya upasuaji
Posti hii inahusu timu ya upasuaji hii ni timu ambayo inahusika katika chumba cha upasuaji, kwa sababu ya kutunza usafi na usalama chumba hiki kinapaswa juwa na timu ya watu wanne na walio na elimu kuhusu kazi hiyo. Soma Zaidi...

Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.
Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut Soma Zaidi...

Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini
Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida. Soma Zaidi...

Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana
Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea. Soma Zaidi...

Mbinu za kuwakinga watoto na saratani.
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun Soma Zaidi...