Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai
Faida za mbegu za papai
? Mbegu za papai mara nyingi huliwa baada ya kukaushwa na kusagwa unga. Pia unaweza kuzikaanga kidogo ama kuzichemsha.
1. husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kufanya kazi vyema
2. Husaidia kuzuia kupata saratani
3. Hulinda figo kufanya kazi vyema
4. Husaidia mwili katika kupambana na vijidudu vya maradhi
5. Husaidia kwa wenye kisukari
6. Husaidia katika kuondosha sumu za kemikali mwilini
7. Mbegu za papai zina virutubisho mbalimbali
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inajihusisha jinsi gani wanadamu wa kwanza walivyoishi na mwenyezi Mungu apo zamani.tunaona kuwa vitabu vinatuambia vya dini vinatuambia Mungu amemuumba mwanadamu kwa mikono yake mwenyewe.lakini kisayansi tunaona kwamba mwanadamu ametokana na wa
Soma Zaidi...GOOGLE ADSENSE ni moja kati ya njia za kuu na muhimu za kujiingizia kipato kwa waandishi na wamiliki wa blogs na website.Naweza kusema kwamba ndio kampuni inayolipa vizuri kuliko nyingine yoyote ile japo zipo nyingine kama;
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.
Soma Zaidi...Maambukizi ya bakterial aina ya shigela ni maambukizi ya utumbo unaosababishwa na familia ya bakteria wanaojulikana kama shigella. Ishara kuu ya maambukizi ya shigella ni kuhara, ambayo mara nyingi huwa na damu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za HIV/UKIMWI
Soma Zaidi...Utajifunza na kuelewa hata kama hauna computer kwa muda huo
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha matatizo ya tezi dume zilizoshuka.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili zilizopo katika matatizo ya ngono.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za mbegu za maparachichi, kwa kawaida tunajua wazi faida za maparachichi pamoja na faida za maparachichi kuna faida kubwa katika mbegu zake kama tutakavyoona
Soma Zaidi...