Faida za uzazi wa mpango kwa jamii

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.

Faida za uzazi wa mpango kwa kwa jamii.

1.Kwanza kabisa jamii inapotumia uzazi wa mpango usaidia Watu kupata sehemu ya kuishi kwa sababu Watu wanakuwa wa kawaida na serikali inaweza kuwapatia sehemu ya kuishi Watu wake.

 

2.Pia  tunaweza kupata huduma za kijamii kwa urahisi, kwa kutumia njia za uzazi wa mpango huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi kwa mfano hospitali, shule na mambo yote yanayohitajika kwa sababu serikali inaweza kuwapatia watu wake mahitaji ya msingi.

 

3.Pia kwa kutumia njia za uzazi wa mpango Watu wanaweza kupunguza hali ya kukosa ajira kwa sababu ya Watu kuwa wachache na serikali na taasisi binafsi zina uwezo wa kuweza kuwaajili Watu wake kwa hiyo tunapaswa kutumia njia za uzazi wa mpango ili kuweza kupunguza tatizo la ajira

 

4.Pia kwa kutumia njia za uzazi wa mpango, jamii inaweza kuwa na furaha na ushirikiano kwa sababu idadi ya Watu kwenye mazingira ni ya kawaida na rahisi kupanga kitu kikatimilika kwa sababu mnajuana nyingi kwa nyinyi kwa hiyo ni vizuri kabisa na Watu wanaishi kwa amani na furaha.

 

5.Kwa hiyo jamii inajua wazi umuhimu wa uzazi wa mpango, inapaswa kuwaiza Watu kutumia njia hizi za uzazi wa mpango ili kuweza kuondoa matatizo yanayotokea kwenye jamii kama vile huduma za kijamii , kukosa ajira, kukosa makazi na mambo mengine kama hayo.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/21/Monday - 03:39:56 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 971

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kula tangawizi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi Soma Zaidi...

Dalili za maambukizi kwenye magoti
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini Soma Zaidi...

Dalili za saratani ya kibofu Cha nyongo
Saratani ya kibofu cha nyongo ni Saratani inayoanzia kwenye kibofu cha nyongo. Nyongo yako ni kiungo kidogo, chenye umbo la peari upande wa kulia wa tumbo lako, chini ya ini lako. Kibofu cha nyongo huhifadhi nyongo, Kioevu cha usaga Soma Zaidi...

Sababu za mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu.
Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine. Soma Zaidi...

Nasaba ya Mtume Muhammad S.A.W na familia yake.
Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 1 Soma Zaidi...

Faida za uyoga mwekundu
Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu
Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu . Soma Zaidi...

Utajiri wa baba na kifo chake
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

Aina kuu za dini
Katika kipengele hichi tutajifunza aina kuu mbili za dini. Soma Zaidi...

Zijue kazi za madini ya chuma mwilini
Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma. Soma Zaidi...

Nini husababisha kibofu cha mkojo kuuma na baadae kutoka damu
Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja Soma Zaidi...

Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani, Soma Zaidi...