Chemsha bongo namba 26

19.

Chemsha bongo namba 26

Chemsha bongo 26

imageimage
19.Tufaha chumbani
Mwanafunzi mmoja alipewa chemsha bongo. Ndani ya chumba kilicho kitupu waliwekwa watu 10. watu hawa walijipanga kuzunguka chumba, kwa kiasi kwamba wangeweza kukiona chochote kitakachowekwa ndani ya chumba hiko.

Mwanafunzi huyu akapewa tufaha na akaambiwa aliweke tufaha ndani ya chumba kile chenye watu kumi, kwa namna ambayo mtu mmoja tu ndio hatakiwi kuliona tufaha. Unadhani ni wapi angeliweka tufaha hili?

Jibu
Angeliweka juu ya kichwa cha mmoja wapo


                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 185


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

ALADINI KATIKA PANGO LA UTAJIRI
Soma Zaidi...

ALADINI NA BINTI WA MFALME.
ALADINI NA BINTI WA MFALME. Soma Zaidi...

Deni la Penzi
DENI LA MAPENZI Badisiku ambayo niliamua niuze vitu vya ndani kwangu ili nilipe madeni ya watu, ndipo yule binti akatokea tena. Soma Zaidi...

uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho. Soma Zaidi...

HADITHI ZA ALIF LELA U LELA KITABU CHA PILI
Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 12
8. Soma Zaidi...

KUTOKA KWENYE KISIMA MPAKA KUWA MFALME
Download kitabu Hiki Bofya hapa KUTOKA KWENYE KISIMA MPAKA KUWA MFALME. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...

MSHENGA WA ALADINI MBELE YA MFALME
Soma Zaidi...

HADITHI YA KAKA WA SITA WA KINYOZI
Soma Zaidi...

HADITHI YA NURDINI 03: Nurdini na Mtumwa
Siku ya tano Nurdini alipata taarifa kutoka kwa watu wake yaani wafanyakazi wa chumba chake kuwa kuna binti mgeni ameletwa ila ametengewa sehemu yake maalumu. Soma Zaidi...

HADITHI YA WAZIRI ALIYE ADHIBIWA
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA WAZIRI ALIYEADHIBIWA. Soma Zaidi...