HABARI NDUGU NAOMBA KUULIZA ETI MTU AKIPALIWA NA ASALI ANAKUFA?


image


Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.


👉 Swali: 

Eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

 

🐦 Jibu

🦈Itategemea na imempalia kwa muda gani.  Ndio anaweza kufa.  Na hii sio kwa asali tu bali hata kwa maji au kitu kingine. 

 

🐔Endapo kuoaliwa huku kutamzuia kupumua vyema ama kushindwa kabisa kuoumua. Hali hii itapelekea ubongo kukosa hewa na hivyo kufariki. 

 

🍆endapo itazidi dakika 3 afya yake itakuwa hatarini endapo itafika dakika 5 huwenda akapoteza faham endapo itafika dakika 10 huwenda akawa katika coma au akawa na clinical death (kifo)

Haya yote yatatokea endapo kupaliwa kutakuwa kunamzuia kupumua na sio asali tu bali ni kupaliwa kwa aina yoyote



Sponsored Posts


  👉    1 Mafunzo ya php       👉    2 Maktaba ya vitabu       👉    3 Jifunze fiqh       👉    4 Madrasa kiganjani       👉    5 Hadiythi za alif lela u lela       👉    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Samahani nilikua naomba niulize swali mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia. Soma Zaidi...

image Yajue maambukizi kwenye epididimisi kwa kitaalamu huitwa (Epididymitis)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi. Soma Zaidi...

image Dalili za maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo,ni dalili ambazo ujionesha kwa mtu akiwa na shida kwenye utumbo mdogo na tumbo la kawaida. Soma Zaidi...

image Dalilili za maumivu ya kifua
Maumivu ya kifua huja kwa aina nyingi, kuanzia kuchomwa na kisu hadi kuuma kidogo. Baadhi ya Maumivu ya kifua yanafafanuliwa kama kuponda kuungua. Katika baadhi ya matukio, maumivu husafiri juu ya shingo, hadi kwenye taya. Soma Zaidi...

image Ishara na dalili za saratani ya mdomo.
Posti hii inaonyesha dalili na mabo ya hatari kwenye ugonjwa wa saratani ya mdomon.Saratani ya mdomo inarejelea Kansa inayotokea katika sehemu zozote zinazounda mdomo. Saratani ya mdomo inaweza kutokea kwa: Midomo, Fizi, Lugha, Ndani ya bitana ya mashavu, Paa la mdomo, Ghorofa ya mdomo Soma Zaidi...

image Madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa
Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutotibu ugonjwa wa makende kushindwa kushuka
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara Soma Zaidi...

image Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)
sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hypoglycemia si ugonjwa wenyewe ni kiashirio cha tatizo la kiafya. Soma Zaidi...

image Saratani ya matiti (breasts cancer)
Post yetu inaenda kuzungumzia kuhusiana na Saratani ya Matiti ni Saratani ambayo hutokea katika seli za matiti. Baada ya Saratani ya Ngozi, Saratani ya matiti ndiyo Saratani inayojulikana zaidi hugunduliwa kwa wanawake Mara nyingi. Saratani ya Matiti inaweza kutokea kwa wanaume na wanawake, lakini inawapata zaidi wanawake. Soma Zaidi...

image Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kichaa cha mbwa ni virusi hatari vinavyoenezwa kwa watu kutoka kwa mate ya wanyama walioambukizwa. Virusi vya kichaa cha mbwa kawaida hupitishwa kwa kuuma. Soma Zaidi...