Swali No. 896


Maswali

Kuna baadhi ya watu wanasema qur-an ni kiumbee na wengine wanasema cyo kiumbee ni upii usahihi

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-11:23:58-

Swali No. 895


Maswali

Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-10:30:08-

Swali No. 894


Maswali

Naomba kueleweshwa jinsi ya kuswali taraweehe na jinsi ya kunuia maana naswli nyumbani

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-10:24:47-

Swali No. 893


Maswali

Je najisi ya mbwa kukuramba inaenea? Kwa mfano akakulamba ww kwenye mkono halafu wewe ukaja kunisalmia mimi nikakushika sehem ileile alokulamba mbwa

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-10:20:10-

Swali No. 892


Maswali

Nauliza  vipi kuhusu nyiradi za wakati wa kuswali taraweh  kunawengine wanasema na wengine hawasomi nataka nielewe apo

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-10:17:45-

Swali No. 891


Maswali

Nina miaka 29 mi Ni mwanaume swali langu nliumwa vidonda vya tumbo soon nkatbiw lkn mdomo kweny lips zinakauka Mara kwa Mara j Inaweza kua n viashiria gan???????? Pli j unawez kusex n mtu mwathiriak hlf usipate maambukiz??

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-08:48:56-

Swali No. 890


Maswali

Je ni yapi masharti ya funga/saum

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-04:24:33-

Swali No. 889


Maswali

nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .

Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.

Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-04:19:59-

Swali No. 888


Maswali

Swali langu nikwamba baada ya kufanya mapenz baada ya siku 1. Au 2. Mwanamke anaweza. Kuwa na dalili za ujauzito?

Swali limeulizwa Tarehe: 26-03-2023-04:18:12-

Swali No. 887


Maswali

Nataka kuuliza historia ya uislamu baada ya kutawafu mtume ni mada ya form ngapi

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-18:52:27-

Swali No. 886


Maswali

Nataka kujua jinsi yakujua swala wakati wakuswali

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-18:51:18-

Swali No. 885


Maswali

Swali juu ya swala ya tarawh unaweza kuswal baada tu ya insha

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-18:47:28-

Swali No. 884


Maswali

Je nihadithi zipi zilizo onesha kuwa mtume ame swali tarawehe kwa rakaa 11

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-18:45:18-

Swali No. 883


Maswali

je katika uislam maulid zinaruhisiwa?

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-18:36:21-

Swali No. 882


Maswali

Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem   nasemaje

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-18:34:13-

Swali No. 881


Maswali

Pilipili hutowa ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-18:32:43-

Swali No. 880


Maswali

Naitaji mwalimu video lamda Kwa uelewa zaidi juu ya sanda ya mwanamume na mwanamke

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-18:30:45-

Swali No. 879


Maswali

Je inaruhusiwaa kuswali ikiwa kuna baadhi ya dua ambazo yapaswa kuzitumia ndani ya swala na haujazikaririi vizurii

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-13:06:58-

Swali No. 878


Maswali

NAOMBA USINAIDIE MASHAGANZI ZAKE NA MTUME S,aw WALIKUWA WANGAPI NA MAJINA YAO WALIITWAJE??

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-11:17:07-

Swali No. 877


Maswali

Mimi nimefnya mpzi baada ya siku tano nimeona dalili za mimb ila baada ya wiki moja nimepima sina mimb ila nipo na dalili hadi sasa inakuwa nini

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-11:16:00-

Swali No. 876


Maswali

Asalaam alaykum w wabarakat  ustadh je kama umeshiriki tendo la ndoa ktk mwez wa ramadhan kisha ukapitiwa na usingiz mpaka alfajir ikafika ukawa ujajitwaharish je unaweza kuendelea na swaum  bi maana swaumu yako itaswihi

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-08:21:08-

Swali No. 875


Maswali

Mm swali langu siku zangu ninakuja kwa mwezi mala tatu au mala nine

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-04:58:04-

Swali No. 874


Maswali

JE kuhisi Kama miwasho au sisimizi inakutamba mwilini

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-04:57:10-

Swali No. 873


Maswali

Nimeishi na mwenye virusi vya ukimwi miaka minne tumeenda kupima yeye anamaambukizi ya virusi vya ukimwi afu Mimi Sina na nimepima mala mbili

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-04:56:40-

Swali No. 872


Maswali

Naomba kujua dawa za kushusha pressure nazipatje ninaitaji ninasumburiwa na pressure

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-04:55:52-

Swali No. 871


Maswali

Je ukiwa unakojoa ukawa unajisikia maumivu au uume ukisimama halafu mshipa wa chini unauma hiyo nayo nadalili ya nini

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-04:54:33-

Swali No. 870


Maswali

Ningeomba kuuliza swali pele vya ukimwi vinakuaje na je vinatoka sehemu gani

Swali limeulizwa Tarehe: 25-03-2023-04:53:14-

Swali No. 869


Maswali

Kwanin mwanaume anaoa wanawake zaid ya mmoja Kwan uyo mmoja hamtoshi

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-19:21:48-

Swali No. 868


Maswali

je utakapokula daku ukisikia adhana ya kwanza unatakiwa uwache Kula au umalizie kula mpaka adhana ya pili

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-19:20:47-

Swali No. 867


Maswali

Assalamualaikum naomba kujua maan ya bidaa

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-19:19:22-

Swali No. 866


Maswali

Sawa,mbegu zangu hutoka nyepesi sana baada ya tendo zinatoka,je Naweza kuwa na tatizo ? na je unazo dawa za kuboresha ?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-17:07:53-

Swali No. 865


Maswali

Nimesoma makala Yako kuhusu dalili za ukimwi ,nahitaji kujua ni Kwa muda gani mtu atachukua virusi kuonekana kwenye vipimo anapoambukizwa

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-16:48:55-

Swali No. 864


Maswali

Mzazi wangu anaumwa na miguu magoti hana uteute

Nahitaji tiba ya magoti yaliyo kauka uteute

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-16:45:58-

Swali No. 863


Maswali

Vipi kuhusu kukanyaga kinyesi kisicho chako inabatilisha udhu?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-16:43:53-

Swali No. 862


Maswali

Mke wangu aliingia siku zake tar 13 mwezi huu,amemaliza tar 17 msaada ni ipi siku ya kushika ujauzito? Ahsante.

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-16:42:53-

Swali No. 861


Maswali

Habar  naomba kufahamu zaid kuhusu dalili za minyoo je pia unaweza kuwa nahici mwili kuwaka moto au haswa kwenye mwanga au joto adi unataman kupulizwa na upepo

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-16:39:36-

Swali No. 860


Maswali

Majibu ya UPT yameonesha Nina ujauzito..ila utra sound inaonekana mji wa mimba ndani yake hamna mtt nashindwa kuelewa kiufupi nimechanganyikiwa..Naomba msaada wa hili tatizo

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-16:37:30-

Swali No. 859


Maswali

Alafu nilitoa sindano ya miaka tano last week na naitaji mimba nitakaa for how long diyo nipate mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-10:38:22-

Swali No. 858


Maswali

Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-10:36:39-

Swali No. 857


Maswali

Samahani Mimi namahusiano na mtu anaetumia dawa za vviu mimi cina je nisipotumia kiga na pakawepo na msunguano nawezakupata maambukizi

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-09:11:32-

Swali No. 856


Maswali

 samahani mimi nilikuwa mkirst nimeslm kuwa muisalm nimeolewa je nahitaji kujuwa kila swal  inalaaka ngap samahani

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-06:13:40-

Swali No. 855


Maswali

Assalam alaykoum warahmatullahi wabarakatuh,,,ni Nan anayeruhusiwa kufunga lkn atatoa fidia ya kulisha masikn mmoja kila cku

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-06:05:43-

Swali No. 854


Maswali

Assalam alaykum nauliza je ni dhambi kusoma qur-an ukiwa kichwa wazi

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-06:01:30-

Swali No. 853


Maswali

Swallat tahajjud ina rakaa ngapi? 

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-05:53:27-

Swali No. 852


Maswali

Vipi boga kuhusiana na mgonjwa was sukari

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-05:52:34-

Swali No. 851


Maswali

Swalat haja inaswaliwa vipi? Samahani.na muda mzuri ni upi rakaa ngapi ? Dua au sura ipi?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-05:52:01-

Swali No. 850


Maswali

Na kukojoa mkojo utoki araka na unajiskia uko na mkojo inawesa kuwa mtu ako na mimba!?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-05:50:02-

Swali No. 849


Maswali

Habari napenda kuuliza jinsi ya kutengeneza mafuta ya zaituni na faida ya kula matunda yake

Swali limeulizwa Tarehe: 24-03-2023-05:48:55-

Swali No. 848


Maswali

Lakaa za swala yaani kwa mfano swala ya asubuhi inalaka ngapi saa Saba inalakaa ngapi saa kumi inalakaa ngapi saa mbilo usk inalakaa ngap

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-14:03:43-

Swali No. 847


Maswali

Je kwa mfano mtu umekuangukia mkojo kwenyw nguo na unataak kwenda kuswali Nini unatakiwa kufanya

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-14:03:16-

Swali No. 846


Maswali

Naomba unifundishe namna ya kusimamisha sala ya tarawehe na witir

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-12:45:03-

Swali No. 845


Maswali

Sunnah na nguzo za swala zinamchangiaje kuachana na mambo machafu na maovu

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-11:26:52-

Swali No. 844


Maswali

Ni ipi Tofuti kati ya kusimamisha swala na kuswali

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-11:07:54-

Swali No. 843


Maswali

Nina shida naumwa tumbo upande wa kushoto

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-10:48:51-

Swali No. 842


Maswali

Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-10:44:50-

Swali No. 841


Maswali

Sorry lkn mm sikuyahatari ilii kuwa tarehe 15 lkn nikalala na mwanaume tarehe 16  lakini mwanaume hakuweza kuingiza uume wake aka mwagia nje je Kuna uwezekano wa kupata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-10:42:05-

Swali No. 840


Maswali

Swali langu ni... Tunafahamu kuwa mtu anapotaka kuoa,lazima awe na mashahidi wke wawili. Sa nauliza hawa mashahidi inaruhusika mtu kueka brother wake ama ni awe mtu mwenye hawahusiani naye...?

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-08:48:23-

Swali No. 839


Maswali

Je km mtu aliishi miaka mingi bila kufunga  na anamke wake halali  wakati wakiishi walikuwa wanafanya matendo yote ikiwemo kujamiiana  kipindi chote cha ramadhan kwa mda wowote iwe Asubuhi  au mchana  Sasa  wameamua waanze kufunga  swaum je Hawa watu watahusika na ile hukumu ya  kufunga siku 60 mfurulizo?   Au kuzilipa zile ramadhan walizo ziacha huko nyuma?

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-08:34:42-

Swali No. 838


Maswali

Ni nini kifanyike ili lengo la nguzo za uislamu zifanikiwe. Hoja nne

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-08:27:30-

Swali No. 837


Maswali

Je vp Kwa mfano mtu katia nia yakuhij lakini kufikiya hile sku ya kuhiji akapoteza maisha je mtu huyo ataesabiwa vp

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-07:59:06-

Swali No. 836


Maswali

Habari za kazi mkuu,ninalo swali kuhusu vitamin,k,inafanya kazi gani kwa mwili wabinadam

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-07:28:56-

Swali No. 835


Maswali

Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-07:28:09-

Swali No. 834


Maswali

Asalam aleykum swali langu ni hv ni lazima muoge janaba kabla ya swala ya alfajir mkikutana mtu na mke wake katika funga ya ramadhan

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-07:26:21-

Swali No. 833


Maswali

Kuhala sana ndio dalili za mwanzo pia au mpaka ugojwa ukomae

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-07:25:26-

Swali No. 832


Maswali

Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama  na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-07:20:57-

Swali No. 831


Maswali

Je Kama ss wanawake tunaopata au kuigya ktk siku na anatka kufanya hija je itakuaj

Swali limeulizwa Tarehe: 23-03-2023-04:16:35-

Swali No. 830


Maswali

Alafu hiv nikweli tende inaongeza nguvu za kiume na je kama inaongeza how it's Function, please Doctor may help me

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-18:18:54-

Swali No. 829


Maswali

Mm nina swali nina skia sehemu ya matiti kama vile kichomi maka vitu vina tembea tembea sijui nini na nime pima mimba kama mala mbili sina sasa shida nini yani nina kosa laa Chuchu azi umi lakini nina skia kama vitu vina tembea tembea kwenye matiti ni saidie

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-16:43:20-

Swali No. 828


Maswali

Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh, samahan maalim  naomba kuuliza yakuwa vipi ikiwa mwanaume umezaa mtoto ambaye ni nje ya ndoa je ni nn haki ya mtoto kwako au ni wajibu upi u atakuwa nao mzazi huyo katika malez ya mtoto huyo

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-15:46:04-

Swali No. 827


Maswali

Habari ya saizi,nimesoma vizr ujumbe wenu nanimeuelewa lkn mm naona dalili ya ukurutu mwilin mwangu ambao cjawah kupata toka nazaliwa yni na niliwahi kuwa napunye miaka minne iliyopita nimetumia kila dawa punye cjapona je punye Hilo inaweza ikawa dalili ya vvu?

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-12:58:48-

Swali No. 826


Maswali

naomba kusaidiwa kujua siku za hatari,

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-12:58:10-

Swali No. 825


Maswali

Kuna dawa gani ya asili ambayo mtu anaweza tumia akapona fangas vzr?

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-12:57:48-

Swali No. 824


Maswali

Dokta habari ya leo samahani mpenzi wangu limemsumbua sana tumbo kama siku 4 ama5 hivi, na nilivyo angalia tumbo lake nimeona mchilizi mweusi umetoka kwenye kitovu je hii nayo inaweza kuwa dalili ya mimba?

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-04:24:35-

Swali No. 823


Maswali

Kwa nini mnasema nguruwe ni najisi? Na tukila hatutendi dhambi?

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-04:21:07-

Swali No. 822


Maswali

a.alyeikum swali langu ni kuhusu mirathi mume amekufa ameacha watoto 5 wa kiume na watoto 5 wa kike na ana wake 2 na wazazi wake wote wa mume wameshafariki mgawanyo ukoje?

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-04:14:10-

Swali No. 821


Maswali

Toa hoja nane za kuonyesha jinsi Mtume alivyo andaliwa ki ilham na kimafunzo . 

Swali limeulizwa Tarehe: 22-03-2023-04:12:52-

Swali No. 820


Maswali

Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?

Swali limeulizwa Tarehe: 21-03-2023-16:33:43-

Swali No. 819


Maswali

Samahan naomba kujua wakat wa kukojoa matone ya mwanzo yanatoka na usaa kidogo hii Ni dalili ya ugonjwa gani?

Swali limeulizwa Tarehe: 21-03-2023-15:57:11-

Swali No. 818


Maswali

ukichanganya majani ya muarobaini, karafuu,na thaumu kisha ukavitwanga inaweza kutibu jino

Swali limeulizwa Tarehe: 21-03-2023-13:05:34-

Swali No. 817


Maswali

Nilifany mapenz nikiwa kweny siku Salam je hiyo ni sababu ambayo imefany nivuruge mzunguko Wang wa hedhi ni siku ya pili sasa sijaon siku zang

Swali limeulizwa Tarehe: 21-03-2023-13:04:46-

Swali No. 816


Maswali

Naombaa unisaidie vitabu vya dinii vilivyo andikw kw kiarabu na kwa kiswahilii ambavyo naweza kuvitaa mtandaonii mfan hadithi za mtume fiqhi na siraa

Swali limeulizwa Tarehe: 21-03-2023-08:49:48-

Swali No. 815


Maswali

Mimi nilifanye sik ya htar lakin no katumia p2 na mwez ulofta niliingia period tarehe 21 lakin leo sijaingia vip nina mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 21-03-2023-08:48:15-

Swali No. 814


Maswali

Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??

Swali limeulizwa Tarehe: 21-03-2023-05:41:02-

Swali No. 813


Maswali

Samahan, je mwanamke anaweza kuwa na dalili za mimba za awali  kwa maumivu ya kiuno?

Swali limeulizwa Tarehe: 21-03-2023-05:40:09-

Swali No. 812


Maswali

nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-17:49:14-

Swali No. 811


Maswali

Kwa mfano hukushiriki tendo la ndoa lakini ukaja unaingia manii au izo mbegu za kiume kwa bahati mbay je kuna uwezekano wa kupata mimba?

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-15:18:26-

Swali No. 810


Maswali

Vyakula vinavyo rhusiwa kwa mtu mwenye presha

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-15:07:44-

Swali No. 809


Maswali

Shida yang Ni kuwa mwez wa pil tarehe 28 ilikuw cku ya mwisho ya period akin ilikuw ya tofaut San nilitokwa na uchafu tu so sijui kam ilikuw Ni hedhi

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-15:06:32-

Swali No. 808


Maswali

miaka 23 mm ni mwanamme    nina mwenzang ambae tulikutana  na tukafanya tendo mara baada ya yeye kutoka edhi siku 2 tu je kuna possible ya yeye kuwa mjamzto

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-15:04:08-

Swali No. 807


Maswali

Mimi maziwa yalikuwa yanauma   ndani ya  siku 7 siku ya 13 nimeona damu je.ninamimba

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-14:35:36-

Swali No. 806


Maswali

Dawa Kwa mtu aliyevimba baada ya kuungua na mafuta ili kutoa malenge lenge ya uvimbe

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-09:50:41-

Swali No. 805


Maswali

Mimi swali langu kuu ni  mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin

Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-07:24:52-

Swali No. 804


Maswali

Nliotumia vitunguu swaum lkn Mar baad ya kukutan na mwenza wangu naon majimaji ya rangi km njano kuelekea kahawia yamekuwa yakitok mengi ad naogop lkn ilikuwa n siku ya htr

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-07:23:45-

Swali No. 803


Maswali

Nlikuwa nasikia uchungu side ya left 4one month then hio uchungu ikahama ikakam pande ya right,sasa imeama tena iko hapa chini kutoka jana iko hapa chini uchungu mwingi sana,nn inawza kuwa na shida, please help me

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-07:22:41-

Swali No. 802


Maswali

Ninapo fanya mapenzi  nitapo taka kukojoa ume unasinyaa

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-07:21:17-

Swali No. 801


Maswali

Mfano umelala na mtu ukatumia kinga kwenye shugli gafla ukashtukizia CD imepasuka gafla ukatoa apo Kwa apo ivo unaeza ambukizwa vvu

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-07:19:19-

Swali No. 800


Maswali

Baada ya kumwaga sperms ndani ya uke MTU afaa kusimamisha kwa dakika ngapi

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-07:03:53-

Swali No. 799


Maswali

Wakati wa kukojoa huwa na pata maumivu makari Sana pale ninapomaliza kukojoa na maumivu chini ya kitovu je  ni ugonjwa?

Swali limeulizwa Tarehe: 20-03-2023-05:37:31-

Swali No. 798


Maswali

Je, mtu anaweza pata ujauzito akishiriki tendo siku ya 11 katika mzunguko wake,, na dalili za ujauzito zinaonekana kwa muda gani baada ya kushiriki tendo?? na kutokwa na uteute wenye rangi nyeupe mzito unaweza kuwa dalili ya ujauzito??.

Swali limeulizwa Tarehe: 19-03-2023-03:21:08-

Swali No. 797


Maswali

Naomba kuuliza jee kama nime jamiiana leo naweza kwenda kupima kesho ukimwi

Swali limeulizwa Tarehe: 19-03-2023-03:19:54-

Swali No. 796


Maswali

Dem akianza 
Day one mpka day five akifnya sex anashika mimba?

Swali limeulizwa Tarehe: 19-03-2023-03:19:22-

Swali No. 795


Maswali

Shida yang kweny uume wangu sometime uwa unawasha kwa ndani naombaa nisaidie kujua ogonjwa gan

Swali limeulizwa Tarehe: 19-03-2023-03:18:50-

Swali No. 794


Maswali

Ninailo tatizo la fangasi ya koo nifanyeje

Swali limeulizwa Tarehe: 19-03-2023-03:17:59-

Swali No. 793


Maswali

Naomba niulize natumia vidonge vya uzazi wa mpango ila nilisahau siku moja lakini sikushiliki siku hiyo nilikuja kushiki siku ijayo lakini nilikuwa nimekumbuka kumeza siku iyo je naweza nikawa na mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-16:07:31-

Swali No. 792


Maswali

mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-16:06:31-

Swali No. 791


Maswali

fangasi inayoweza kutibika iwe imedumu kwa muda gani ?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-13:45:41-

Swali No. 790


Maswali

Kuna wanawake hutoka maji wakati wa tendo la ndoa hiyo inatokana na nini

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-13:35:52-

Swali No. 789


Maswali

Asante sana kwa maelekezo mazuri ntaendelea kuwafatilia nmejua Mambo mengi sana nami nkiwa mhanga wa tatizo hili

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-13:35:12-

Swali No. 788


Maswali

Habali samahani mi natatizo nikama mapunye usiku huwa yana washa nakutoa majimaji meupe, tatizo hili na mda nalo taklibani mwaka namiezi nitumie dawa yaaina gani nipate kupona

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-13:29:35-

Swali No. 787


Maswali

Hv ukishiriki na mtu mwenye ukimwi waweza pata papo kwa papo

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-13:28:21-

Swali No. 786


Maswali

Kinywa changu kina Matatizo mdomo kutoka alufu  Na ukipiga mshwaki alafu inahamia puani sijuwiiii chanzo. Ni nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-09:39:05-

Swali No. 785


Maswali

Tatizo langu ni kuchubuka kene kichwa cha uume wangu pindi nmalizapo tendo

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-09:38:33-

Swali No. 784


Maswali

Sjawahi kuumwa fangasi but ndo Mara yangu yakwanza naona Hali hii yakutokwa uchafu ukeni na nia yangu nitiba Mana nimetumia dawa za farmasi lakini wapi uchafu unatoka

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-09:37:50-

Swali No. 783


Maswali

Samahani, mm na mwezi mmoja na siku kama 5 toka nikutane na mwanaume. Cjaona siku zangu na ilitakiwa nizione tangu mwez wa pili 23 ... Najiskia ovyoovyo tu tumbo linauma na naharisha je nwaza kuwa na mimba?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-09:35:59-

Swali No. 782


Maswali

Ulimi ukishambuliwa peke yake ni fangasi?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-09:35:12-

Swali No. 781


Maswali

Habari,,naomba kukuuliza nimetumia Kinga ya kijit Cha miak mitatu,, Ila nimechelewa kikitowa na mara ya mwisho kuona hedhi ni tarh 4 mwez wa pili na natumikaga mpaka cku kumi na mbili ndo anakat Sasa tok hapo cjapat Tena inawezekan nikapata ujauzito ikiwa bado Nina Kinga ambaayo bado cjaitowa na imeisha muda wake? ahsantee

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-08:15:37-

Swali No. 780


Maswali

Habari 
Je maumivu makali ya nyonga ni dalili ya awali ya uchungu?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-06:16:10-

Swali No. 779


Maswali

Napenda kuuliza swali.nimambogani yanaweza yanaweza kuzuia Dua zako kwa ALLAH subahanah wataala

Swali limeulizwa Tarehe: 18-03-2023-06:15:37-

Swali No. 778


Maswali

Je Nipo na mwanmke ndani Ambae Sijafunga nae ndoa na tunalala nae kitanda kimoja je zambi ya uzinzi ni mpaka mshiriki tendo

Swali limeulizwa Tarehe: 17-03-2023-13:47:55-

Swali No. 777


Maswali

Je kuswali Hali ya kuwa nguo imevuka ugoko ni saw

Swali limeulizwa Tarehe: 17-03-2023-13:46:35-

Swali No. 776


Maswali

Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa

Swali limeulizwa Tarehe: 17-03-2023-11:54:22-

Swali No. 775


Maswali

Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake. 

Swali limeulizwa Tarehe: 17-03-2023-07:25:01-

Swali No. 774


Maswali

Nina swali sheikh nahitaji msaada wa Elimu.

Nimeingia kwenye mgogoro na Mke wangu asubuhi hii kwa kuwa alikuwa akitamka maneno ambayo mimi sitaki kuyasikia kutoka kwake. Nimemuonya mara ya kwanza hakusikia, nikamuonya tena hakusikia, nikamuonya mara ya tatu kwa kumuambia kwamba *"Ukiniandikia tena Maneno haya basi nitakuwa nimekuacha"*. Naye akayaandika tena? Je, hapa talaka imetoka? Na hukmu yake ni ipi?

Swali limeulizwa Tarehe: 17-03-2023-05:54:15-

Swali No. 773


Maswali

Hellow habari naomba nisaidie kuslove tatizo hili kwenye MacBook laptop nilitaka kuadd wifi nilienda kwenye icon ya wifi then naenda kwenye network preference Niki click tu inaniletea preference error "there was an error in network preference" Sasa nimejaribu kurestart laptop lakini bado hiyo error haijatoka naomba kusaidiwa .

Swali limeulizwa Tarehe: 17-03-2023-05:33:37-

Swali No. 772


Maswali

Napatwa na homa kichwa kuuma tumbo nalo kinauma doctor

Swali limeulizwa Tarehe: 17-03-2023-05:19:57-

Swali No. 771


Maswali

A'alaykum, Nilioa mke wa pili baadae nikija kumjurisha mke wangu wa kwanza, yeye ajafanya maamuzi ya kuondoka huu mwaka wa 6 sasa na sijampa talaka, hapo kuna ndoa tena?

Swali limeulizwa Tarehe: 17-03-2023-05:18:42-

Swali No. 770


Maswali

Mm nataka nifahamishe jinsi ya kusali kuanzia rakaa ya mwanzo mpaka kumalizika

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-18:32:00-

Swali No. 769


Maswali

Hai jaman minashida yani nateseka fangas uken vidonda kwenye mashavu afu vinawasha nitumie dawa gan

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-17:11:04-

Swali No. 768


Maswali

Je kutokwa na majimaji sehemu za siri ni dalili za nn

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-16:19:53-

Swali No. 767


Maswali

Unaweza kukaa siku ngapi baada ya kumaliza siku za hatari ili kupima ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-13:59:51-

Swali No. 766


Maswali

Niko na ujauzito miez 3 ,nasumbuliwa na fungus sijui italeta madhara Kwa mtoto ,pia nimetumia dawa Sion mabadiliko

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-13:36:53-

Swali No. 765


Maswali

Samahan unaweza kuuamini vip Kama una ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-12:44:41-

Swali No. 764


Maswali

Habari Nina mtoto ana miaka 6 macho yake sehe mu nyeupe yabadiri Rangi kuwa kahawia ....nifanyeje?

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-12:42:34-

Swali No. 763


Maswali

Habari zenu ,ninao maswali mngi sana kuhusu ukimwi ,sawali la kwanza ukimwi kuweza kuonekana kwenye kipimo baada ya kuathirika inachukua mda gani jee haiezi kuonekana baada ya miezi miwili?

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-12:41:23-

Swali No. 762


Maswali

Hello,mtu anatakiwa kula vyakula gani wakati wa siku za hatari ilikuweza kupata ujauzito.

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-10:03:03-

Swali No. 761


Maswali

Mambo  Mimi naumia chini ya kitovu sikawaida ya ngu mbona?

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-07:31:37-

Swali No. 760


Maswali

Assalamualaikum naomba kujua vigez vinavyofanan vya uhakiki wa hadithi, vya imamu bukhar na muslim

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-07:28:56-

Swali No. 759


Maswali

Kuna uwezekano wa mtu kubeba mimba ilihali anatumia (majila)sindano za kuzuia kupata ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-07:27:53-

Swali No. 758


Maswali

Doctor naomba nijue doctor hii ni mala 3 natumia pepu nimekuwa Kama Nina mikosi jee haiwezi pelekea dawa kutofanya kazi na wanasema pepu Ina asilimi 65 ya kuzuia ugonjwa na sio asilimia100 doctor naomba niambie hii iko vp 

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-07:25:13-

Swali No. 757


Maswali

Habar yak ndugu,naomb kuuliz hv condom zina uwez wa kuzuia virusi vya ukimwi kwa 100%?

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-07:23:42-

Swali No. 756


Maswali

Naomba kujua tofauti kati y hadithi qudsi na hadithi nabawiy

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-05:00:51-

Swali No. 755


Maswali

Nina mkewangu hapa anasumbuliwa na mapigo ya moyo kwenda mbio pia mwili kuishiwa nguvu

Swali limeulizwa Tarehe: 16-03-2023-05:00:16-

Swali No. 754


Maswali

Naam swali langu nihili
Ili ionekane kama umezini nidalili zipi zinakujuza kama umezini?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-16:40:05-

Swali No. 753


Maswali

Assalam alaykum nauliza eda ya khulu Ni muda gani? Na wanaweza kuregeana?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-16:29:34-

Swali No. 752


Maswali

Je nyanya inaweza kukuletea athari katika mwili kivipi?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-11:40:30-

Swali No. 751


Maswali

chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:51:53-

Swali No. 750


Maswali

chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:51:52-

Swali No. 749


Maswali

Naomba kuuliza mwezi wa 2 trh 14 nili sex na mtu mwenye ukimwi trh 15 nikaenda hospital nikapewa pepu nimetumia pepu na Leo ni siku ya mwisho nimalize dozi ila toka juzi Kuna dalili zinajitokeza Kama homa kichwa kuuma maumivu kwenye Koo samahani naweza nikawa nimeasilika

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:51:11-

Swali No. 748


Maswali

Je! Mimba ya week moja inaweza kuonekan kwa kutumia kipimo

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:49:59-

Swali No. 747


Maswali

Nataka kujua nini mtazamo wa kikafiri juu ya dini

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:49:04-

Swali No. 746


Maswali

habari ninatatizo la fangas kwenye pachu za mapaja nahitaji matibabu kwenu napataje huduma?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:48:30-

Swali No. 745


Maswali

Samah doctor nina maumivu chin yakitovu siku za nyuma nilikuwa nakojoa mkojo ambao upo cloud na nyonga inaniuma mwili unajoto kal sielew ni UTI au

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:43:52-

Swali No. 744


Maswali

Naomba ushauri nina ndugu yangu ana presha huwa inapanda hadi 190 je nimsaidia je

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:26:49-

Swali No. 743


Maswali

Dua kwa mama mjamzito anae umwa na hajifungui

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-08:05:53-

Swali No. 742


Maswali

Habar mimi nina tatizo lamifupa ilaninakunywa juice ya Bamia  kila siku katakata bamia ninaliloeka kwenye Maji baada ya masa’s kumi
Ni nafanya sawa au nakosea naomba muongozo

Swali limeulizwa Tarehe: 15-03-2023-07:24:42-

Swali No. 741


Maswali

Kwanin uislam unapinga  kampen   juu ya kudhibit uzazi

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-16:30:09-

Swali No. 740


Maswali

Kuruka kwa tarehe ya hethi inaweza sababisha kuto kushika mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-16:28:37-

Swali No. 739


Maswali

Je huu ugonjwa hutibiwa  kwa mda gani
Wa kuvimba mapumbu na maumivu makali

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-14:38:26-

Swali No. 738


Maswali

Mama mjamzito akishajifungua hurudi katika hali ya kawaida

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-14:34:59-

Swali No. 737


Maswali

Mm tatzo langu asubuhi nikiamka utumbo unakuwa unauma misili yakuwa kama nna sku tatu sjala

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-10:02:37-

Swali No. 736


Maswali

Habari naomba kuuliza eti mimba huanza kuonekana siku ya ngap

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-10:01:54-

Swali No. 735


Maswali

mtume Muhammad alikuw na Wake wangap?

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-10:01:15-

Swali No. 734


Maswali

Habari Doctor pole na majukumu,nna tatizo la kuumwa chini ya kitovu uume unawasha kwa ndani na nikikojoa mkojo unanuka then unatoka na vitu vyeupe vyeupe ukiwa na rangi ya njano lkn nimeenda kupima UTI nikaambiwa sina naomba ushauri Doctor

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-10:00:37-

Swali No. 733


Maswali

Ulimi wangu umechanika cjui shida nn na nimepima HIV cna itakuwa ni nn

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-06:09:39-

Swali No. 732


Maswali

Nilikuwa nahitaji mafundisho zaidi kwenye suala la kuswali na dua zake ili niweze kuswali kikamilifu na kusimamisha swala bila kumkwaza allah

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-05:47:57-

Swali No. 731


Maswali

Sababu zinazopelekea  kutofikia  lengo  la  zakka  na  sadaka

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-05:46:47-

Swali No. 730


Maswali

Habari me nashwali kama unayo PID unaweza kupata ujauzito na ukajifungua Salam

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-05:45:15-

Swali No. 729


Maswali

Doctor habari, samahani Mie Kuna kitu kimeniahtua sijui ninttizo au maumbile sielew, kwenye uke wangu sehemu ya kinembe sijui ndo kinena Kuna kinyama kimetoka yaan Kama kimegawanyika katikati alafu upande mmoja wa kushoto ndo Kama umetoka kinyama Sasa sielew Nini nini

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-05:42:14-

Swali No. 728


Maswali

Je mtu ambae haswali tu lakin hamshirikshi Allah je hukumuyake

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-05:18:17-

Swali No. 727


Maswali

Asalam aykum naomba kufahamu swala ya tahajul inasoma sura yoyote

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-05:10:13-

Swali No. 726


Maswali

Naulisa ukiwa unakunyua pombe unawesa ambukizwa ukimwi .

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-05:06:31-

Swali No. 725


Maswali

naombaa kuuliza swali minyoo inapokuwa mingi zaidi haiwezi  kuhusika na upungufu wa nguvu za kiume?

Swali limeulizwa Tarehe: 14-03-2023-05:05:02-

Swali No. 724


Maswali

Ni vyakula gani vinasaidia kuongeza madini mwilini?

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-14:00:52-

Swali No. 723


Maswali

Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-13:59:48-

Swali No. 722


Maswali

Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-13:57:13-

Swali No. 721


Maswali

Naswali jengine hili mfano umefanya mapenz tareh 30 halafu tareh 3 ukaingia kweny sk zako je pia unauwezekano wa kupata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-12:43:14-

Swali No. 720


Maswali

Hivi kw mfano tupu mbili zikakutana ya kike na yakiume lkn ile ya kiume ikawa haijazama ndani yaani namaanisha imeekeshwa tu kweny uke bila kuzama ndani ule uume je panauwezekano wa kupata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-12:05:34-

Swali No. 719


Maswali

Nilingia period tarehe 16 mwezi wa 2 nikashiriki tendo la ndoa 3 je nnawezekano wa kua na mimba maan mpka Sasa sijaingia Tena period

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-12:03:46-

Swali No. 718


Maswali

Kaka yangu ikifika mchana yaani saa sita anaanza kuona kizunguzungu ana kaa chini au sehemu ya kivuli ndoo inapoa sasa nini matibabu yake

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-10:55:49-

Swali No. 717


Maswali

Maji maji meupe ukeni naomba kujua chanzo chake na tiba yake kama mgonjwa anadalili ya fangasi.

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-07:10:39-

Swali No. 716


Maswali

nina miaka 31 ni mwanamke pia nauliza mimi ni mjamzito ila napata maumiv sana juu ya tumbo piamwili unachoka sana na najihisi vibaya wakat wote

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-06:04:03-

Swali No. 715


Maswali

Samahani mimi ni msichana wa umri miaka 21 mmoja wapo ninae sumbuliwa na maumivu hayo makali chini ya kitovu upande wa kushoto na wakati mwingine hupelekea maumivu hayo kwenye mguu upande huo nilikuwa na hitaji maelekezo zaidi kuhusu maumivu hayo na jinsi ya kuyatibia

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-06:02:43-

Swali No. 714


Maswali

Ukiwa na mimba miez nane na wiki moja au mbil unaweza kujifungua mtoto akiw na kilo ngapi?

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-05:59:52-

Swali No. 713


Maswali

Swali langu nahitaji kujua nini shida kutoka majimaji uken na yanayo Nuka sana na si mjamzito

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-05:58:20-

Swali No. 712


Maswali

Habari samhn mim naon dalil za ujauzito Kuna muda kichef chef minakuja kwa muda usingizi na mstari chin ya kitovu kun mstar mweus kwa mbali lakin nashangaa Leo naziona siku zangu sjui kwanni inakuw hivi

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-05:55:32-

Swali No. 711


Maswali

Naomba kuuliza zipi sababu zilipelekea kuanguka dola ya kiislam

Swali limeulizwa Tarehe: 13-03-2023-05:49:51-

Swali No. 710


Maswali

hbr maumiv y a tumbo kwa juu yanasababishwa na nini

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-14:07:59-

Swali No. 709


Maswali

Samhn pia huwa nasumbuliwa na mgongoo Sana maeneo ya juu ya kiuno jee?? Tatzoo ni nn??

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-11:32:37-

Swali No. 708


Maswali

Mimi ni mwanamke nina tatizo la kunyonyika nywele. 

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-11:21:31-

Swali No. 707


Maswali

Asalam alaykum.ninaomba kuulz swali je ukiwa n majosho mawl mfano hedhi n nifasi je utaoga moja Kwa kukusudia majosho yote au utaoga moja moja Kila Josho Kwa kujitegemea

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-11:20:36-

Swali No. 706


Maswali

Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-11:19:54-

Swali No. 705


Maswali

Habariii ninamchumba wangu tatizo lake mbegu zake huwa ni nyepesii sana kama maji shida huwa nin ety

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-07:36:25-

Swali No. 704


Maswali

Mimi mpenzi wangu anatoka ute mweupe ukeni je tatizo ninini

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-07:34:04-

Swali No. 703


Maswali

Sijaona siku Zang za mzunguko mwez wa 3 sas je nitumie virutubisho gan ili kuwa sawa??

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-07:33:45-

Swali No. 702


Maswali

Mimi Nina tatizo LA kuwa nikimkojolea mwanamke shahawa baada ya dakika chache anakuwa anahisi maumivu makali tumboni mwake nimetumia dawa za hospitali lakini tatizo linazidi kuwa kubwa na si Kwa mke wangu tu nimejaribu pia Kwa wanawake wengine hali Bado ni Ile Ile.Nifanyaje Ili nikae sawa?

Swali limeulizwa Tarehe: 12-03-2023-07:32:55-

Swali No. 701


Maswali

Nabii adam ameumbwa kutokana na nini

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-16:09:55-

Swali No. 700


Maswali

Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 naish na mwanamke mwenye umri wa kubeba mimba lakn mpka sasa atuna mtoto na tunaitaj mtoto

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-16:08:42-

Swali No. 699


Maswali

utajuaje kama ni mimba mtoto wa kiume

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-08:27:43-

Swali No. 698


Maswali

Swali langu ni Tezi Dume inaweza kuwa sababu ya korodani kuuma na je husababishwa na nini ?

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-08:26:40-

Swali No. 697


Maswali

Asalam alykum nataka kujua inakuwaje hukumu ya mwanamke alotoka nje ya ndoa.na mumewe kamwambia ikitoka nje ya ndoa ndo talaka yako.na akatoka nje ya ndoa.je VP hapo ndoa Bado ipo au ndo talaka tayari ishatoka km mume alivyosema?na je baada ya mwanamke huyo kule

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:28:37-

Swali No. 696


Maswali

Nimeishuku Sana yani nahisi km mimba ju Ni kitu inanigonga gonga na nikienda kuitoa kesho ntachukua mda gani kupona

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:26:50-

Swali No. 695


Maswali

Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto  ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:26:12-

Swali No. 694


Maswali

Huwa nikiamka asubuh nakuwa n maumivu makali sn y kichw mgongn unauma San nachoka sanaa ata usingz uishii nachokaa sanaa

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:25:44-

Swali No. 693


Maswali

Asalam alaykum natka kujuwa kisa Cha ngo'mbe wa baniii israil

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:22:22-

Swali No. 692


Maswali

Nina miaka ishirin na nne  na nijinsia ya kike, nilikuwa na swali kuwa nitatumia dawa ipi kuzuia fangasi ambayo imeleta vidonda ndan ya uke? Maana nikijisafisha naona had damu

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:21:25-

Swali No. 691


Maswali

nasumburuwa na misuri kila siku yaani naitaji ushauri wakoo

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:18:33-

Swali No. 690


Maswali

Jadili makundi matatu ya wanga ,  toa mifano kwa kila kundi

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:08:27-

Swali No. 689


Maswali

Je kama umeingia trh 12  ya mwez wa 1 nitajueje siku zangu  sipl

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:07:27-

Swali No. 688


Maswali

Habari je kuvimba kwa mguu vitamin b itakuwa kwa wingi au imepungua

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:06:44-

Swali No. 687


Maswali

Nilifanya tendon siku ya danger kabsa ila nilimeza p2 je kunauwezekano Wa kupata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 11-03-2023-06:04:37-

Swali No. 686


Maswali

Mm n mwanamke nna miaka30 suali langu n hili km nna ttz la homon nn kifanyike ili niwe sawa sabb nahitaji kubeba mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 10-03-2023-08:20:59-

Swali No. 685


Maswali

Mke wangu ni mjamzito anategemea kujifungua mwezi huu ila naja amelala na maumivu ya tumbo mpaka asubuhi . ila muda huu amenipigia simu kuwa anaona matone ya damu yanatoka ukeni pa maumivu yanaendelea.

Swali limeulizwa Tarehe: 10-03-2023-08:09:49-

Swali No. 684


Maswali

Mimi nikikojowa mkojo unakuwa njona pia kabla ya kukojowa nkiminya uume kunatoka kama usaha ila fangas kwenye ipo kwenye mbeg

Swali limeulizwa Tarehe: 10-03-2023-08:06:29-

Swali No. 683


Maswali

habari mimi apa nahisi na ujauzito lakin sina uhakika naomba ushauli wenu

Swali limeulizwa Tarehe: 10-03-2023-07:59:52-

Swali No. 682


Maswali

Wenye madonda yatumbo wana ruhusiwa kutumia matunda gan ya vitamin C?

Swali limeulizwa Tarehe: 10-03-2023-07:59:18-

Swali No. 681


Maswali

Tatizo la kutokwa na maji maji  mepesi meupe yasiyo na harufu ukeni kama maziwa ni dalili ya ugonjwa gani?

Swali limeulizwa Tarehe: 10-03-2023-07:56:28-

Swali No. 680


Maswali

Assalaam alaykum...mimi nauliza endapo mmeshazaa mtoto na we mwanamke ukadai talaka je mwanaume ana haki ya kudai mahari yake ingawa umeshazaa nae?

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-13:20:51-

Swali No. 679


Maswali

Baada ya kula naweza kula tunda?

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:48:21-

Swali No. 678


Maswali

Hya maumivu n yatadumu kwa muda gan au mpaka nijifunguee

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:46:34-

Swali No. 677


Maswali

Niliona tarehe 5 mwez w kwanza ila tarehe 24 zlikua zmetoka kdgo zenye rang fulan nitofauti kabisa naperiod y kawaida ad najckia aja ndg marakwamara uchovu ucngizi marakwamara na mapgo ya moyo yanaenda kwa kasi sana sanasna nmkitoka kula cjui nn shda

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:43:35-

Swali No. 676


Maswali

abali zamajukum kwann mungongo wang unauma alaf natumbo pia linauma linaka napia najisikia njaa mala kwamala et

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:42:52-

Swali No. 675


Maswali

Na ukifanya ngono na mwanamke mwenye virusi pasipo kupata mchubuko wakati wa tendo Kuna uwezekano wa kupata virusi?

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:42:21-

Swali No. 674


Maswali

Habari ya kazi! Samahani nauliza, hivi dalili za Kwanza za maambukizi ya virusi vya ukimwi zinakuwepo kipindi chote Cha mwezi mzima yaani hizo wiki nne, au inakuwaje!?

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:42:01-

Swali No. 673


Maswali

Napenda kuelewa kuhusu mke Kam nimeishi nae mwezi 1. Na kupeana taraka Mali tutagawanaje au hakuna Cha kugawana

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:41:14-

Swali No. 672


Maswali

Mm naumwa na tumbo side ya left chini kabisa Yani kunadundadunda  mpka sometimes nasikia maumivu halafu nakojoa kila mara

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:40:36-

Swali No. 671


Maswali

Habari vipi unaweza kupata siku zako na ukawa na ujauzito kwa wiki za mwanzo kabla hata haujafika mwezi

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:39:44-

Swali No. 670


Maswali

Swali langu ni je chuchu kuuma inaweza kua ni dalili ya hedhi? Na je uwepo wa chunusi ni dalili ya mimba au hedhi?

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:38:56-

Swali No. 669


Maswali

Nina Miaka 25 ni mwanaume.  Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:37:28-

Swali No. 668


Maswali

inawezekana kutibiwa ukimwi kama umegundua umeambukizwa masaa machache yaliyopita

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:35:44-

Swali No. 667


Maswali

Kuna Jambo lini ni tatiza ya kutofautisha ibada naعادي kwa mfano kula chakula hii ni ibada Au عادي ?

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-12:34:57-

Swali No. 666


Maswali

Je kugusana na mwanamke ambaye unaruhusiwa kumuoa kama mkeo ukiwa na udhu je habatwilishii udhuu?

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-04:41:23-

Swali No. 665


Maswali

Mimi nilibeba mimbA mwez wa tisa ila mda huu naona majimaji na mtoto kachuka je nidariri za kujifungua au lha

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-04:39:49-

Swali No. 664


Maswali

Mimi nilikua na shida ni muhanga kutafta mtoto  nilipima nikaambiwa na pld nimetumia dawa nimemaliza pia nilingia p talehe22 mwezi2 mzunguko wanguni28 Hadi leo nina siku kumi na tano chakushangaza nasikia maumivu ya tumbo chini Kama visindano na usingiz  pia gesi tumboni na maji maji yanatokea lakini hayana harufu je shida yaweza kua Nini hapo

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-04:38:01-

Swali No. 663


Maswali

Je kula chakula ni ibada Au ni ada

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-04:36:32-

Swali No. 662


Maswali

Samahani nina vipere kwenye uume dawa ya asili ni ipi

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-04:35:35-

Swali No. 661


Maswali

habari .mm sasa ninaishi na mke mwenye ukwimwi   mwanzo alinificha hakuniambia je sas nilipogundua nilipima sikuwa nao je kuna namn ya kuishi na mtu wa aina hiyo nikawa salama 

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-04:34:26-

Swali No. 660


Maswali

abali zamajukum kwann mungongo wang unauma alaf natumbo pia linauma linaka napia najisikia njaa mala kwamala et ila mm sitowi utelevu abapo majimaji yanatoka
kwan inawezakuwashida nn et

Swali limeulizwa Tarehe: 09-03-2023-04:33:31-

Swali No. 659


Maswali

Asalaam alaykum? Shekhe naomba unisaidie khutuba ya ijumaa kwa kiswahili, maana nipo kijijini. Siku moja ilitokea kuswali adhukhuri kwa sababu imamu alikua anaumwa, na hii itasaidia kwa dharula Kama hizi.

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-11:48:04-

Swali No. 658


Maswali

Habari za saizi nilikuwa naomba kuuliza  daktari tezi zangu za shingo zimekua Saiz ya haragwe kwa takribani mwezi lkn hazium shida nini apo

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-11:46:58-

Swali No. 657


Maswali

Mm ni binti mwenye miaka 20 mara ya mwisho kupata hedhi ilikuwa tereh 5/2 ila mpka leo tareh 8 cjaon chcht na leo asubuh nmepima upt ni negative naomba ushaur jaman cjui nifany nn

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-09:00:56-

Swali No. 656


Maswali

Haya misutari anayofanyaaa mama mjamzito yanawezaa kuondokaaa Kwa dawa gani au ndo hayaondokaaa tenaaa

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-08:01:10-

Swali No. 655


Maswali

nimetembea na mtu mwenye ukimwi zaidi ya mara 15,,, afu nigundua karbuni ,,,nishatembea nae,, mwishoe nimejikuta kunavipele yamenipata vidogovidogo vimejikusanya kama vile niugua na moto vinatoa maji je inaweza kuwa ndo dalili ya kuwa nimeambukizwa

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-06:55:43-

Swali No. 654


Maswali

Swali langu nauliza nikuwa talaka inayokubalika ni talaka zipi

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-06:35:54-

Swali No. 653


Maswali

Ni vitu gan vinne vinavyopatikan kwenye bio lab t n havpatikani kwenye facility za shule

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-06:34:31-

Swali No. 652


Maswali

Je, utawezaje kuishi na mtu mwenye presha ukiwa mbali nae?

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-06:33:35-

Swali No. 651


Maswali

Nina weza nikaingia tarehe 7 au 8 au 6 sasa hpo bdo sjajua shda nn mwka jana nilipma kpmo cha mimba nikagundulika sina ila ilpofk mwenz 10 nlfny tnd la ndoa na mume wangu sasa hv naona dalili zote za mimba sasa sina uhakika na hilo naomba unisaidie kunipa majibu ya maswali yangu.

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-06:32:39-

Swali No. 650


Maswali

Je kama umetoka kwenye siku za hedhi  na hedhi hiyo ni siku tano halafu siku ya sita mtu akashiriki tendo la ndoa je mtu huyo anaweza pata ujauzito??

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-06:29:48-

Swali No. 649


Maswali

Ni mkojo tu unauma na nikimaliza kidamu kidogo kinatoka ni mkojo tu

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-06:28:54-

Swali No. 648


Maswali

Je mwanamke mjamzito anapiz wakati wa tendo?

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-05:35:28-

Swali No. 647


Maswali

mimi muisilamu hila akuna ninacho kijua msaada wenu nataka kitabu cha   kiswahili nijifunze km itawekana

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-05:33:11-

Swali No. 646


Maswali

Asalam alaykum nataman kujua zaidi kuhusu kisimamo Cha usiku

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-05:32:40-

Swali No. 645


Maswali

Habari.tatizo la kumwaga mapema linaweza kutibika?

Swali limeulizwa Tarehe: 08-03-2023-05:31:32-

Swali No. 644


Maswali

Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-17:30:11-

Swali No. 643


Maswali

Tembo anaweza kuzaa watoto wa ngapi na nimnyama gani ambaye ni tishio kwA tembo.

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-17:29:26-

Swali No. 642


Maswali

Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-17:22:05-

Swali No. 641


Maswali

Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-17:21:25-

Swali No. 640


Maswali

Mwenye hupungufu wa. Vitamin e.  Hujiskiaje

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-12:16:13-

Swali No. 639


Maswali

Wazazi na watoto wana wajibu gani katika uslamu na jamii yao

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-06:24:48-

Swali No. 638


Maswali

Habar docktor samahani gome la mwembe nasukutulia au nakunywa???

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-06:21:40-

Swali No. 637


Maswali

Habari naomba unisaidie mm niliingia period trh 25 mwez wa kwanza nkamalza thr 31 nikasex na mume wang trh 11 sasa huu mwez wa pili cjaingia period nashindwa kuelewa naomba unisaidie

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-06:18:37-

Swali No. 636


Maswali

Samahani ninatatizo la moyo kwenda mbio hasa nyakati  za asubuhi nikiwa naamka alafu nikitembea kidogo tu nachoka,je tatizo Hili husababishwa na nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-06:17:17-

Swali No. 635


Maswali

Nina miaka 23 nimefanya mapenzi siku ya pili baada ya kumaliza period lakini naona damu zinatoka ukeni sijui nini tatizo

Swali limeulizwa Tarehe: 07-03-2023-06:16:02-

Swali No. 634


Maswali

Sababu za mwanaume kupata maumivu baada ya tendo la ndoa

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-18:40:29-

Swali No. 633


Maswali

Sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa na mjamzito

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-18:38:53-

Swali No. 632


Maswali

Mm napata maumivu ya tumbo upande wakushoto chini

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-16:09:53-

Swali No. 631


Maswali

Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-15:50:35-

Swali No. 630


Maswali

Je ukosefu wa vitamin E unaweza kusababisha nywele kunyofoka,kizungu zungu,pamoja na kuzubaa yaani kutokua mchangamfu

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-13:59:35-

Swali No. 629


Maswali

Kuna madhara gani ninapotumia dawa za uzazi wa mpango yaani kuzuia mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-13:51:42-

Swali No. 628


Maswali

Nmepitia kurasa yenu nikaona juice ya kabechi inasaidia  ss nilipenda kujua jinsi ya kuiandaa

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-13:49:21-

Swali No. 627


Maswali

Watu wengi wanasema wakisoma Qur'an sawa ameongea kiarabu swali langu ni kwamba kuna tofauti yoyote kati ya kiarabu na Qur'an au hakuna tofauti

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-13:47:18-

Swali No. 626


Maswali

Nauliza vidonda vya tumbo vinatibika?

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-11:37:07-

Swali No. 625


Maswali

Ninaweza kupata dawa yakukawiya wakati yakitendo cha ndowa ?

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-11:07:52-

Swali No. 624


Maswali

Mimi ni mwanaume na ninamiaka 32 naomba kujua maneno ya kikao cha tahyatu

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-11:06:49-

Swali No. 623


Maswali

Samahani doctar naomba nijue matimiz ya hivi vya MICROLUT vidonge vya uzazi wa mpango 

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-11:05:25-

Swali No. 622


Maswali

Ooh! Me bado mwanafunzi naomba kujua hatua ya kwanza nikifika kwenye nyumba ya Ibada

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-07:55:21-

Swali No. 621


Maswali

Nilikua naomba unisaidie jinsi ya kunuia swala ya usiku ile ya haja

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-07:54:00-

Swali No. 620


Maswali

Habari mimi naomba kuuliza nikila chakula tumbo linachafuka, muda ule naanza kuharisha

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-06:07:43-

Swali No. 619


Maswali

Ninavimba uke na kuwashwa,je nkitmia vidonge viitwavyo " six vaginal tablets vitanisaidia???

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-03:29:16-

Swali No. 618


Maswali

Habari namsaidiaje MTU aliepatwa na gesi shimoni au kwa lugha nyingine MTU aliepatwa na mgandamizo wa hewa chafu underground MTU kama huyo namsaidiaje

Swali limeulizwa Tarehe: 06-03-2023-03:24:50-

Swali No. 617


Maswali

Naitaji kujifunza hatua zote za swala kuanzia kutia udhu pamoja na kusimamisha swala

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-20:46:37-

Swali No. 616


Maswali

Doctr naomba mxaaada wako nilitumia p2 ucku xaa tatu nakesho take nikaendelea na doz ya dawa nilizokuwa natumia lakin nilivyomeza daw za doz nilitapk dockr naomba uxhauri

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-13:01:20-

Swali No. 615


Maswali

Asalam alaikum naomba darasa fupi aina za najisi,makundi yake pamoja na tohara zake

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-09:49:44-

Swali No. 614


Maswali

Mtaalam ninashukuru sana Kwa mafunzo yenu naendelea vizur na html lakin Kun kit kimenitatiza namn ya kuweka mfano mtihani ni code gani inatumika kuweka mtihan

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-09:49:18-

Swali No. 613


Maswali

Habari nilikua nahitaji Mafunzo namna ya Kuswari na dua zake Kwa njia ya sauti ataiyatu ndio siwezi

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-04:45:14-

Swali No. 612


Maswali

Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-04:44:04-

Swali No. 611


Maswali

Je maneno yakwenye bible ni ya uongo

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-04:42:23-

Swali No. 610


Maswali

Doctor kama mimba imetoka na niyakwanz unaweza beba mimba tena ndani ya mwezi mmoja mana sina panaponiuma

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-04:40:11-

Swali No. 609


Maswali

Asante.  Mm naomba niulize swali sijapitiliza hezi lkn mwili wangu nauona upo tofauti sana nipo very hot haswa nyakati za usi na mchana nikiwa kwenye shuri zangu huwa naishiwa nguvu nakuwa kama mtu nile lala njaa pia napata mate km ya Mt mwenye homa mepesi na maziwa yanauma pia lkn nilipima na utp majibu sina mimba  na siku nilizo bakiza ni siku 6 tu niingie hezi. 

 Swali langu kwako jee? Inwezekana kuwa nina mimba nimewahi kupima au

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-04:31:48-

Swali No. 608


Maswali

Habari ndugu yangu, mimi nimesoma kuhusu HIV, Ila nimepima mwezi wa November kwa kweli nilikua sawa lakini kufika mwenzi wa kwaza na wapili hadi watatu kunabiti nilifanyanae mapenzi bila kupima, kweli kwa sasa dalili nyingi nimesoma hapo kwa kweli nimeaza kuisi nikama nimeazirika namagonjwa ya zina, ila naogopa sana kwenda kupima

Swali limeulizwa Tarehe: 05-03-2023-04:28:08-

Swali No. 607


Maswali

Naomba nielekezwe ikhfau Shafawiya katka hukumu za kusoma Quran

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-18:24:23-

Swali No. 606


Maswali

Habari samahani naomba kujua historia ya Lebanon juu ya uislamu?

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-05:06:29-

Swali No. 605


Maswali

Assalamu alaikum je mwanamke kadai talaka naakainunua baadae akataka kurewa je rejea ipo nakama ipo kuhusu mahari je

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-05:06:01-

Swali No. 604


Maswali

Assalam aleykum nilikuw nauliza je Kuna dua yyote ya kumsomea mait wakati wakumuosha??

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-05:04:48-

Swali No. 603


Maswali

Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu naomba kuuliza kwamba Nia peke yake inatosha kumfanya mtu awe ameingia katika uislam bila kutaja shahada


Pili kama mtu akashududia kwa kiswahili  je inaswihi?

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-05:03:57-

Swali No. 602


Maswali

Kama tumbo linaunguruma tu je

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-05:02:38-

Swali No. 601


Maswali

Ni siku ya tatu Leo Kila nikikojoa, mwishoni damu inatoka kwa nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-05:01:32-

Swali No. 600


Maswali

Je dini zilianzishwa na nan

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-04:59:16-

Swali No. 599


Maswali

Mambo...hope uko poa...samahan nataka kujua kuhusu ujauzito mchanga,,,m nasikia tumbo langu ni kama Alina matumbo kabsa n tupu inaweza kuwa dalili ya mimba?

Swali limeulizwa Tarehe: 04-03-2023-04:56:27-

Swali No. 598


Maswali

Mimi ninadalili zote za ujauzito ila nkipima negative sijui nn shda

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-12:14:27-

Swali No. 597


Maswali

Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-11:51:09-

Swali No. 596


Maswali

Wakati wa kuswalia mait,Yawezekana unapenda kuswali,Maiti wako,ila humjuzi wa hiz Dua, yafaa nikafanya kwa vitendo? Siri yangu Kimoyomoyo,? 

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-10:57:34-

Swali No. 595


Maswali

Nataka mafunzo ya swala ya ijumaa

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-07:36:40-

Swali No. 594


Maswali

Je baada ya kugundulika na malaria ,ukianza kutumia dozi hukiwa unaharisha kunakoma baada ya muda gani?

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-05:07:21-

Swali No. 593


Maswali

Swali lang mim Kila kunapo ingia usiku natokwa na vipel vidovidog mwil mzima na kukikalibia kukucha tu vipele vyote upotea kinacho bak niviungo vyang baaz kama mkon na ckunyengine mkono unaacha kuuma unafat mkuu na muda mwengine viungo haviumi vinatoka vipele tu sas cjajuah shida nin au nidalil ya nin.

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-05:06:16-

Swali No. 592


Maswali

Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-05:04:53-

Swali No. 591


Maswali

Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua  wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-05:04:01-

Swali No. 590


Maswali

Je? Sababu inakua ni nin mpaka mimba inafikia mie mitat inatoka

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-05:00:08-

Swali No. 589


Maswali

Na dalili zifuatazo tumbo kujaa ges alaf wakati wa kucheua napata shida njaa mda wote naomba msaada

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-04:59:41-

Swali No. 588


Maswali

Nafangasi za kwenye ulimi zananisumbu sijuwi natumie sawa fan

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-03:48:05-

Swali No. 587


Maswali

 Na juz jmne nilitok km tui .na Leo yalikuwa mepesi kulik y juzi. Na kiuno mda mwengn kinauma.naomba msada

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-03:47:36-

Swali No. 586


Maswali

Tatz lang tok mwez wa pili mwishoni najisikia viby km tumbn Kuna kt hasa kilikuwa kinatembea ila saiv nahs sana maumivu upande wa kushoto km  kweny mbavu .na nikibeba kit kizito naumia nahs km kunatoka chin.mda mwengn km kuchefukwa .na sijaingia ktk siku zng na ilikuwa Leo .je tatz ni nn

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-03:46:38-

Swali No. 585


Maswali

Nmefanya mapenzi siku salama lakini mpaka sasa sioni siku zangu nn shida

Swali limeulizwa Tarehe: 03-03-2023-03:45:33-

Swali No. 584


Maswali

Asalam alaykum vipi hàli aujambo mimi nimekuwa na aswali juu ya kuhusu kuswali nataka kujua pale kwenye hatahiyatu ya kwanza na ya pili panaanicabganya san

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-14:54:29-

Swali No. 583


Maswali

Na mtu ambae anatumia ARV kumuambukiza ambae Hana uwa aiwezekani

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-13:02:26-

Swali No. 582


Maswali

Na pia mtu mwenye ujauzito uke wake waga ukoje unakuwaga mkavu au unatoka utete Kila siku

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-12:59:46-

Swali No. 581


Maswali

Vichomi nazo ni dalili za ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-12:40:11-

Swali No. 580


Maswali

Je ulcers na vichomi vyaweza sababisha kutoona siku zako

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-12:37:58-

Swali No. 579


Maswali

Miyezii tisaaa kamili tenaa tarehe niloandikiwa sptl kujifunguaa sija jifungua mpkaaa asaiv imeniandikiaa tarehe 25 lkn naona bd maumivu makalii tu yakiuno kumaa na kuachiaaa na mguu kumaa tumbo haliniumi lkn kiuona tu na kutokaa maji maji meupee mazito sijajua tatizo nn

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-12:11:00-

Swali No. 578


Maswali

Nilikuwa nataka kuuliza kwamba iv ukimwi unaonekana baada ya mda gani ukitaka kupima

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-12:09:49-

Swali No. 577


Maswali

Kupata vichomi nazo ni dalili za ujauzito na hizo homon zasababishwa na nin kubadilika

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-12:09:21-

Swali No. 576


Maswali

Kwanin mtu anapata dalili zote za kUingia period kabla ya tarehe    na tarehe ya kUingia period damu aziona na dalili zote za kUingia alikuwa nazo ii inasabsbishwa na nn

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-12:07:41-

Swali No. 575


Maswali

Nina tatizo la infertility sina uwezo wa kutungisha mimba hili tatizo linaweza kutibika?

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-12:06:21-

Swali No. 574


Maswali

Nifanyeje ili mimba ikue haraka

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-07:51:11-

Swali No. 573


Maswali

Je vitameni E vinaweza kusaidia mwanaume asiyezalisha akaweza kuzalisha?

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-06:37:46-

Swali No. 572


Maswali

Je mwanamke akijivua katika ndoa hali yakuwa mja mzito yani khulu akitaka kurudiana na mumewe inapaswa kua vipi 

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-06:16:57-

Swali No. 571


Maswali

Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-06:06:33-

Swali No. 570


Maswali

Tumbo la mtu mwenye ujauzito linauma maeneo Gani na linaumaje yan

Swali limeulizwa Tarehe: 02-03-2023-06:05:08-

Swali No. 569


Maswali

Siku za kupata p zimesha pita huwa napata tarehe 26 ila adi ss sija pata na tumbo lina niumaa km la p vle ttz nn ila dam haitoki

Swali limeulizwa Tarehe: 01-03-2023-18:40:40-

Swali No. 568


Maswali

Je unawezaa kutokaaa maji maji meupee na kiuno kumaa nakuachiaa ni dalili za kujifungu pia ama mtoto anageukaa tu

Swali limeulizwa Tarehe: 01-03-2023-18:35:37-

Swali No. 567


Maswali

Nko na swali wakat unaanza kula  unatamka vip. Bismillah Rahman Rahim ama watamka Bismillah pekeake.

Swali limeulizwa Tarehe: 01-03-2023-11:06:17-

Swali No. 566


Maswali

Je,uteute uliochanganyika na damu kwa mama mjamzito ambaye cku za kujifungua hiyo ni moja ya dalili ya kujifungua au ni tatzo?

Swali limeulizwa Tarehe: 01-03-2023-10:42:39-

Swali No. 565


Maswali

Ninapata maumivu chini y tumbo japoo nlienda hospitali wakanambia ni infection mbalimbali zipo tumboni wakanipa dawa za kutumiaa baada ya hapoo naonaa sipati hedhi tumbo langu linajaa gas

Swali limeulizwa Tarehe: 01-03-2023-09:06:56-

Swali No. 564


Maswali

Mwamke kua na uke mkubwa chanzo chake nn?

Swali limeulizwa Tarehe: 01-03-2023-04:27:54-

Swali No. 563


Maswali

Ninasumbuliw na fangas na nikatumia dawa ya mba ya maji ila tatizo likaendelea nikamwona mshauli wa afya akanipa vidong kumi na nimetumia ila bado hali niayo tyu vile vile naomba ushaulo kwako

Swali limeulizwa Tarehe: 01-03-2023-04:25:11-

Swali No. 562


Maswali

Vitabu vya hadithi wakati wa maswahaba

Swali limeulizwa Tarehe: 01-03-2023-04:22:47-

Swali No. 561


Maswali

Je,mtu akiwa ameasirika alafu akameza dawa je majibu yatato vp??

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-18:18:11-

Swali No. 560


Maswali

Mim na mume wangu tulienda kupima ospitar turi kutwa na ugogwa wa UTI tuli pewa dawa lakini tuka mariza dozi leo ule ungwa ume rudi tena lakin ana twako na ute kama usaa pia ana washwa jee tatizo nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-17:51:04-

Swali No. 559


Maswali

Je kuwashwa kwa muda ukeni kunaweza mfanya mwanamke kuchelewa kupata hedhi

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-15:00:25-

Swali No. 558


Maswali

Naomba matumizi ya komamanga kuhusu kusaidia kujitibia nguvu za kiume je unasaga juice ama kula kawaida tu asante

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-11:39:26-

Swali No. 557


Maswali

shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-09:28:15-

Swali No. 556


Maswali

Habari mi nilikuwa na mimba ya miezi miwili ikawa imeharibiki nikaenda kusafishwa ,baada ya siku tano nikaaanza kushiriki tendo la ndoa hadi leo je sijawahi kushrki tendo hilo na halina madhara

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-06:59:16-

Swali No. 555


Maswali

Joto la mwili limeongezeka na mapigo ya moyo pia je ni mimba? 

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-06:08:36-

Swali No. 554


Maswali

Nasumbuliwa na acid tumboni  inawezakuwa sababu ya mm kutoshika ujauzito??

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-06:06:50-

Swali No. 553


Maswali

Umri wng 24 me nilikuwa nataka unifahamishe jinsi ya kutumia kipimo cha upt

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-06:05:53-

Swali No. 552


Maswali

Jana alikuja alielua  mume wangu  akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-05:57:10-

Swali No. 551


Maswali

As salaam alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh.
Tukio la mwanzo la kuvunjwa Al qaaba lilikuaa mwaka gani?

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-05:40:54-

Swali No. 550


Maswali

Matunda gani yanayo ongeza damu kwa haraka? 

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-03:47:29-

Swali No. 549


Maswali

Je itaondokaje hadathi kubwa kama pakikosekana maji

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-03:46:50-

Swali No. 548


Maswali

Samahan me nilikua natumia kidonge cha kuzuia mimba lakin juiz nimekutana na mwanaume kabla ya cku za dawa kuisha ila nahic kama hali ya mimba lakin sijapima

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-03:45:06-

Swali No. 547


Maswali

nasumbuliwa na chuchu za maziwa kuuma wiki ya pili na mgongo kuuma hizi ni dalili za mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 28-02-2023-03:44:10-

Swali No. 546


Maswali

Nina umri wa miaka 21 ni mwanamke,yan nikwamb mm nlishirik tendo juz ya tareh18 mwez huu na nilikua bikra wakt nafany tendo hilo skutok damu na kesho yake nkaanz kuona vijidam kwenye nguo ya dan na hali hio iliendelea siku nne, ila sas sjaona siku zangu mpk ss na nilitakiw siku nizione kwanzia io tareh20 mwez huu.sas swal nikwamba nina mimba ama vipi man hii nisiku ya sita mpaka sas sijaingia period na siku hiyo ya tendo sikuwa siku za hatar

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-17:37:46-

Swali No. 545


Maswali

Hiv uume kuwasha kwenye kichwa na kutoa majimaji nchia ya mkojo nidalili xaugonjwa gani

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-17:36:21-

Swali No. 544


Maswali

Samahan habali je naweza kukipata hiki kitabu cha alif lela ulela nilikuaga nacho wakaniibia nimejaribu kukitafuta cjakipata chenyewe

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-17:29:29-

Swali No. 543


Maswali

je dalili hizo za ukimwi zinachukua muda gan kutowekana zinakua ningapi

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-17:20:31-

Swali No. 542


Maswali

Sababu yamapigo ya mtoto kupungua kwamimba ya miezi Tisa nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-17:19:39-

Swali No. 541


Maswali

Complication za kutoa mimba changa mfano wiki mbili na zle za mimba kubwa mfano kuanzia miez miwili ni zp

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-10:54:03-

Swali No. 540


Maswali

Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-10:53:38-

Swali No. 539


Maswali

Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-10:53:14-

Swali No. 538


Maswali

Sorry nlikua naomba kuuliza kuharisha kinyesi cheusi inaweza kusababishwa na nn

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-09:16:24-

Swali No. 537


Maswali

Sorry nlikua naomba kuuliza kuharisha kinyesi cheusi inaweza kusababishwa na nn

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-09:14:52-

Swali No. 536


Maswali

Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-09:02:49-

Swali No. 535


Maswali

Kwa mfano huwa naingia tarehe 26 naingia ck tano than Nika sex tarehe 22 kunauwezekano wa kupata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-07:37:10-

Swali No. 534


Maswali

Aww ninaweza kupata clips za namna ya kuswali swala vita, namna ya kuosha maiti

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-07:36:41-

Swali No. 533


Maswali

Nisaidie dalili za ukimwi  baada kuupata after 1 weak

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-06:35:35-

Swali No. 532


Maswali

Nimesoma habari Google kuhusu ukimwi je mtu akipata maambukizi Leo kwenye kipimo cha HIV huanza kuonekana kwa mdagani

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-06:18:16-

Swali No. 531


Maswali

Hello. Habari mm naumwa fungus nikijikuna napata maumivu sana. Na nimechubuka kwenye mashavu ya uke  na nimetumia dawa CANI_MAKS lkn naona hainisaidii chochote je nitumie njia gani ya asili au dawa gani nipone?

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-06:13:12-

Swali No. 530


Maswali

Asalam aleikum Mimi nna swali nataka hoja zinazo thibitisha kuwepo siku ya mwishoo Kwa ushahidi wa ayaa?

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-06:12:41-

Swali No. 529


Maswali

Habar naomba kuuliza kuharisha kwa zaid ya wiki mbili lakini kwa muda maalum ni dalili ya ugonjwa gani

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-06:12:04-

Swali No. 528


Maswali

Je kama tumbo lipo kama linavuruga chin ya kitovu hiyo pia ni dalili ya mimba changa?

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-06:11:31-

Swali No. 527


Maswali

Hello!! Nina swali kwenye mambo ya uzazi.
Nilikutana na mwenza wng siku ya hatari na sasa yapata siku ya 12 ila nimekuwa najisikia hamu ya kula vitu tofauti tofauti, naninatoka maji meupe yasiyotoka harufu, matiti nikiyaminya nasikia maumivu ila chuchu hazijabadirika rangi nawala haziumi, ila pia chini ya tumbo upande wa kulia kwangu nakuwa nasikia kitu kinacheza haswa najisikia hiyo hali nikiwa nimelala nimetulia, je hizo zinaweza kuwa dalili za mimba???

Swali limeulizwa Tarehe: 27-02-2023-06:10:56-

Swali No. 526


Maswali

Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-13:16:21-

Swali No. 525


Maswali

Asalaaam aleykum ndugu naweza kupata. Maana ya jina la Ulya ndani ya quran tukufu. Sura na ayat

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-09:48:26-

Swali No. 524


Maswali

Nauliza ni dalilizipi mwanaume znaweza kumfanya ashindwe kutunga mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-09:47:33-

Swali No. 523


Maswali

Je nitapataje backlink ylkwenye website yangu? 

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-08:50:59-

Swali No. 522


Maswali

Naomba mwendelezo wa hadithi ya kilema mtanashat asiye na mkono

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-08:47:46-

Swali No. 521


Maswali

Swali nan anawajibika kumkosoa imamu katika swala akikosea hasa anaposoma? Wale walio nyuma yake au yeyote makini

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-08:47:16-

Swali No. 520


Maswali

Dalili za ugonjwa wa  kisukari ni zipi?

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-08:46:08-

Swali No. 519


Maswali

Nauliza Mimi nipo Zambia Kwa jina naitwa Kennedy kama umeathilika vipimo vinauwezo wa kusoma negative miezi sita

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-08:45:01-

Swali No. 518


Maswali

Side effects za kula ukwaju ni zipi..?

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-08:43:43-

Swali No. 517


Maswali

Suali langu kwanini mwanamke anatolewa mahari?

Swali limeulizwa Tarehe: 26-02-2023-08:39:14-

Swali No. 516


Maswali

je ninapochukua udhu naruhusiwa kuongea?

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-19:22:07-

Swali No. 515


Maswali

Ety mbn Kila nikiwek code ya kuwek picha inakataa shida nn

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-19:21:18-

Swali No. 514


Maswali

Habari samahani hiv kwa mtu ambaye siku zake hazieleweki na anataka kupata mtoto afanyajee??

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-19:19:23-

Swali No. 513


Maswali

Nahisi Nina dalili za fangasi ukeni je naweza kutumia dawa gani

 

Ni michubuko ukeni alafu muwasho na maumivu pia nyama za pembeni zimevimba yani hata nikijigusa tu naumia

 

Alafu swali langu lingine uke kua mkavu pia Kuna daw ya kuleta utelezi?

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-17:44:17-

Swali No. 512


Maswali

Swalat haja inaswaliwa muda gani.  Na rakaa ngapi.  Na surat zip unatakiwa kuzisoma

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-16:57:03-

Swali No. 511


Maswali

Nataka kujuwa majina ya mitume

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-16:52:05-

Swali No. 510


Maswali

Lkn Kwan mwanamke mjamzito kwa wiki moja ni kawaida kuharisha mapovu na makohoz like na maumivu ya mgongo kwa chini kama kuwaka moto

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-15:34:06-

Swali No. 509


Maswali

Kipimo cha damu chenyewe kinatoa results kwa mimba ya mda gan

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-15:26:27-

Swali No. 508


Maswali

[2/Sorry doctor nna maswal mengi coz nlijua cku ya kumi ni safe

 

 Na implantation bleeding ni lazima kutokea na inatokea kwa mimba yenye mda gani

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-15:25:27-

Swali No. 507


Maswali

Pia Kuna uwezekano mwanamke kua na ujauzito pasipo discharge yaani kutokwa na damu 

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-15:20:00-

Swali No. 506


Maswali

Habari doctor naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je naweza kupata ujauzito na je Kuna dalili ambazo naziona maumivu ya mgongo kwa chini kama panawaka moto kichefuchefu mwili kukosa nguvu maumivu ya tumbo hasa upande wa chini naharisha stool mfano wa makohoz na mapovu lakini uke ni mkavu na no discharge na matiti hayaumi wala kujaa je Kuna uwezekano nikawa mjamzito

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-15:17:47-

Swali No. 505


Maswali

Jee tunaweza kuangalia wasia anoacha mgonjwa mahututi aliouacha

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-11:59:53-

Swali No. 504


Maswali

Mm ninafangas uken nimechubuka nitumie daw gan

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-11:58:24-

Swali No. 503


Maswali

Jamani nisaadieni hv vitu nataka nijue kuweka sehemu ya kuweza kupost file kwa ajili ya web user na iwe na sehemu ya comment na share 

MSAADA JAMAN?

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:30:47-

Swali No. 502


Maswali

Habari zenu wakubwa 

Kwa application kama hizi za kujisomea zile notes zinakua uploaded kwa njia gani??

Natka nitengeneze mobile app ya kujisomea ila sijajua nianze vipi naomba msaada wenu 

Language ni javascript

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:29:26-

Swali No. 501


Maswali

Anaejua jinsi ya kutuma sms isiyo na namba ya simu kwa mfano sms ya. M pesa inavokua. Nani anajua

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:28:34-

Swali No. 500


Maswali

Wana sema JavaScript ni moja ya lugha muhimu katika hacking je  ILI uweze kuhack kwa JavaScript  unatumia platform au app zipi?

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:26:12-

Swali No. 499


Maswali

Nataka kujua ipo tiba ya uvimbe kwenye. Kibofu?

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:25:01-

Swali No. 498


Maswali

Kwanini ngozi huwasha mara kwa mara na nisehemu ile ile?

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:24:19-

Swali No. 497


Maswali

Uislamu wakati wa makhalifa ulipata changamoto nyingi sana ambazo zilipelekea kuwatia khofu waislamu wanafikiria mambo gani yaliopelekea kuondosja changamoto izo

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:23:33-

Swali No. 496


Maswali

Dalili za kichwa kuuma na kizungu zungu zina ashilia nn

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:18:37-

Swali No. 495


Maswali

Nataka kuyua njinzi ya kulinda afya yangu

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:17:02-

Swali No. 494


Maswali

Je kama baada ya kumaliza hedhi nikakutana na mwanaume ndani ya wiki moja nikaanza kujiisi vibaya kichwa kinauma kizunguzungu nidalili pia za mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 25-02-2023-04:16:29-

Swali No. 493


Maswali

Je, dawa ya kuongeza damu kwa wajawazito Raferon iko na side effects? 

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-21:20:48-

Swali No. 492


Maswali

Je dalili za vidonda vya tumbo sugu ni zipi

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-16:13:37-

Swali No. 491


Maswali

Niliingia hedhi kwa mwez mara mbili ndipo nilipenda kupiga utra sounds nikapewa dawa za wk 2 akasema hayo maji yanasababishwa na PID sasa dawa zimeisha leo bado anasema mayai yapo vzr ila kuna maji

 

Na hajanipa dawa kasema nikae baada ya wk 3 niende tena

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-11:59:08-

Swali No. 490


Maswali

Je maji kwenye ovari ni dalili ya kukaribia kwa hedhi?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-11:32:05-

Swali No. 489


Maswali

Mm naisi kizunguzungu  nasaidiwaje japo nimefanya udma ya kwanza na aijanisaidia

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-10:29:15-

Swali No. 488


Maswali

najickia maumivu maumivu.. sanyingine nakuwa kam mkojo umenibana xn lkn hmn au unakuwa kidogo xn

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-10:28:35-

Swali No. 487


Maswali

kuna muda uume unalegea kwenye tendo.. na sanyingine inanitokea tuu unalegea kabla hata sijaanza

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-09:32:00-

Swali No. 486


Maswali

m nlishawahi kuwa na mtu mwenye magonjwa ya zinaa.. pamoja na p.id..fungus... kiukwel nmeangaika xn kujitibu na sas imebaki u.t.i kidogo na vifangas lkn ndugu naona kama na nguvu zangu za kiume zimekuwa zikipungua

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-09:24:07-

Swali No. 485


Maswali

Nimejifungua Tarehe 21/02/2023 Mtoto Akiwa Kafa Muda Kama Wiki 3 Hivi Na Kazaliwa Haeleweki Ana 200gm Na Sura Hamna Ni Jinsia Tu Na Mimba Yangu Ilikua Ya Miezi 7 Tatizo Linaweza Kua Ni Nini? Na Nikae Muda Gani Niwe Tayali Kupata Ujauzito Tena?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-09:07:36-

Swali No. 484


Maswali

Jemapigo ya moyo kwa mimba changa yanaweza kubadilika ndani ya wiki moja

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-08:25:07-

Swali No. 483


Maswali

Asante Kwa kutuelimisha juu ya ugonjwa wa u.t.i, je vyoo vya kukaa vinaweza kuambukiza u.t.i?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-08:19:04-

Swali No. 482


Maswali

Umuhim wa historia ya maimam wa fiqhi

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-08:18:26-

Swali No. 481


Maswali

Je kwa wiki ya Kwanzaa na ya pili ya ujauzito ni lazma kutokwa na majimaji au ute uken na je implantation bleeding ni lazima?  Na inatokea kipind cha mda gani cha ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-08:16:03-

Swali No. 480


Maswali

Kuna mafunzo ambayo waislamu wanayapata kutokana na historian ya maimamu wa fiqhi

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-08:13:39-

Swali No. 479


Maswali

Minmi nikila tu kitu kidogo tumbo linajaa Kama he's yaan inanichukua muda kweli tumbo limevimbiana na Hilo Ni tatizo gani

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-08:01:15-

Swali No. 478


Maswali

Nilikuwa nataka kujua nilazima kumeza dawa bila kupitisha muda au ukichelewa kutakuwa na shida

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-07:58:25-

Swali No. 477


Maswali

Leo Ni siku ya pili nimeamka kiuno kinauma he Ni kawaida kwa mjamzito kiuno kuuma au na lenyewe Ni tatizo

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-07:44:38-

Swali No. 476


Maswali

LNMP yangu ilikua Ni trh 21/1  mpka sass trh 24 sijaingia je naweza kua Ni mimba? Au nisubir mwez uishe

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-07:34:30-

Swali No. 475


Maswali

Dr tatizo lingine Ni kwamba nabanwa na mkojo kila muda mabayo Ni kawaida kwa mjamzito Ila Kuna wakati nahisi kibofu kinauma kana kwamba mkojo umejaa Sana Ila nikienda  kukojoa natoa mkojo kidogo saana na bado kibofu nahisi kimejaa Hilo Ni tatizo gani

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-07:33:12-

Swali No. 474


Maswali

Maganda ya topetope nayo yanafaida gani na mbegu sake je naweza kusaga juice bila kutoa mbegu na makanda yake

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-07:31:54-

Swali No. 473


Maswali

Nina majimaji yanatoka kwa wingi yaan naweza badilisha chipi hata Mara 3 kwa siku alafu yakitoka yanaganda kwenye chupi hiyo Ni Hali ya kawaida harufu yake ipo Ila sio mbaya kivile. Je ni nini tatizo

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-07:31:26-

Swali No. 472


Maswali

Muda gani mzuri wa kumeza dawa za arv

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-07:28:27-

Swali No. 471


Maswali

Je kulala Chali na kukunja miguu kunaleta madhara yoyote kwenye ujauzito hata mimba ukiwa bado changa

Swali limeulizwa Tarehe: 24-02-2023-07:27:36-

Swali No. 470


Maswali

Samahan mm napata maumivu  baada ya kumarza tendo randoa shda inakuwa nn hasa pia ume wangu unasima kidogo unakuwa meregea hauwi mgum ashda nn hasa

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-16:44:01-

Swali No. 469


Maswali

Samahan mm napata maumivu  baada ya kumarza tendo randoa shda inakuwa nn hasa pia ume wangu unasima kidogo unakuwa meregea hauwi mgum ashda nn hasa

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-16:43:44-

Swali No. 468


Maswali

Kama hali ya mkoj inasababishwa na madawa wakati mwingine je inachukua mda gani hiyo hali kukata na kurudi hali ya kawaida kukojoa mkojo mweupe tafadhali naomba ushaur doctar

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-16:42:57-

Swali No. 467


Maswali

Bt kwa Sasa kichwa kinauma tumbo mwili unakosa nguvu na napata choo kilain Sana kama cha kuharisha Leo n cku ya nane toka nkutane na mwanaume bt Jana nmepma mstari mmoja tyu umejitokeza je ni dalili za ujauzito au ni tatizo lingine

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-16:42:01-

Swali No. 466


Maswali

Naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je napata ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-16:41:13-

Swali No. 465


Maswali

Naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je napata ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-16:40:54-

Swali No. 464


Maswali

Ningependa kuuliza nimekutana namwanamke kimapenzi bilakutumia kinga baada yasiku 2nikaanza kupata maumivu ya kicwa na sasa wiki inaelekea kuisha nikiwa bado Nina hayomaumivu je inawezakuwa ishala ya maambukizi ya ukimwi?

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-16:39:01-

Swali No. 463


Maswali

Tumbo linapata gas nalinajaa sana.   Kunawakati nahisi vitu vinatembea timboni

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-11:55:13-

Swali No. 462


Maswali

habar nilikua naulize mm mzunguuko wangu mfupi je 25 nilipata pld tareh 27 nika maliza tareh30 nikashiliki tendo tareh 6 ss sijielew mpaka ssiv na mda wakuona pld umepita ila leo nimeona pld ila nyepes alafu ndogo je nnaweza kua namimba mana naskia kizunguzungu kichwa kinauma mwili wangu umechoka

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-10:53:37-

Swali No. 461


Maswali

Kichefchef tumbo kujaa viungo vya mwili kuchoka kichwakuuma. Nidalili za minyoo nnazo but najua n mimba kumbe hapana

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-10:52:52-

Swali No. 460


Maswali

Samahani mkuu naomba msaada wa kufahamu jinsi gani ya kutengeneza direct link ya apk ambayo unaweza kuweka kwenye website pia mtu akibonyeza ianze kudownload moja kwa moja mfano mzuri kama app ya sports pesa

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-10:43:34-

Swali No. 459


Maswali

Nna umri wa miaka 32 jinsia yangu ni Mwanamke, nilikua nauliza ni haram kunyoa nywele kwa kizuka siku ya 40 baada ya kufiwa

Au mpaka inapofikia miezi 4 na siku 10 ndio anyoe ?

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-09:18:39-

Swali No. 458


Maswali

Je kwa mwanaume alie mpa mimba mwanamke ana kua kwenye hali gan ??

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-06:51:15-

Swali No. 457


Maswali

Naitwa mustapha nipo songea, je quraan inapaswa kusomwa nyakat gan 

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-06:04:08-

Swali No. 456


Maswali

Naomba kujuwa Masharti 5 ya vazi la kiislam

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-05:26:34-

Swali No. 455


Maswali

Tumbo kuuma upande wa kushoto linaweza kutibika VIP?

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-05:25:31-

Swali No. 454


Maswali

Inatokeaj mpaka unapata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-05:23:20-

Swali No. 453


Maswali

Eda kwa mwanamke aliyeachwa yaani mwanamke anapoachila katika eda yake anafata vigezo gani?

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-05:22:52-

Swali No. 452


Maswali

Habar katika dalili zote nilizosoma ninazokumbana nazo mm ni kujisaidia kinyesi laini ,kujamba mara kwa mara ,kuhisi kwenda haja kubwa ukienda unajamba tu, kichwa kuuma ,na paja kuuma mm nitakuwa na shida Gani maana napata maumivu tumboni upande wa kulia

Swali limeulizwa Tarehe: 23-02-2023-05:22:02-

Swali No. 451


Maswali

Kaka habali m na vipele makalion na kwenye uume  ni vina niwasha sana kila nikipma magonjwa ya  zinaa Sina  huenda ukawa ni dalili ya ugnjwa gan

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-15:48:34-

Swali No. 450


Maswali

Ulimi Ume meguka meguka Kam kuliwa liwa iv nini tatizo? 

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-15:47:16-

Swali No. 449


Maswali

Hello
Natatizo la fangasi kwenye mdomo ila sipati maumivu yeyote huwa npo kawaida tu.
Na chakula nakula vzr, nimetumia dawa ili kutibu uu muonekano wa ulimi uwe vzr lakn Bado cjapata dawa sahihi

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-15:43:10-

Swali No. 448


Maswali

Mm nimjamzito wa miezi 6 kasoro lakini ninaahida napata maumivu ya nyonga,kiuno na uke unakuwa unavuta na maumivu

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-15:01:15-

Swali No. 447


Maswali

Assalamualaikum naomba kuhuliza kula kitu ambacho kimechinjwa na mtu anae kunywa pombe ni sawa

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-13:32:00-

Swali No. 446


Maswali

Ninatokewa na vijiupele kwenye kichwa cha mboo Kuna dawa nilipewa ya kupaka ila vinapotea na kurudi

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-09:30:02-

Swali No. 445


Maswali

Mm ninamavu ya tumbo upande wa kushoto maumivu makali sana nimefanya exry amna shida extsaond amna kitu sijui shida nn

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-09:28:05-

Swali No. 444


Maswali

Mala nyingi fangasi yangu inajirudia jirudia  sana

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-08:35:44-

Swali No. 443


Maswali

Asalamu Alaykum warahma tullah wa barakatuu naomba mwalimu wakunifundisha quran online

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-04:36:10-

Swali No. 442


Maswali

Doctor me nonaomba ushauri maziwa yangu laini sana afu napata kizunguzungu na kuumwa na tumbo chino ya kitovu na mkojo wangu una rangi nyekundu shida nn

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-04:34:21-

Swali No. 441


Maswali

Nimepata maumivu makali sana  ya tumbo wakati wa tendo na baada ya tendo la ndoa nikapata nafasi ya kupitia makala kadhaa katika blog yako ... Naomba unisaidie ni namna gani ntaepukana na maumiv haya?

Swali limeulizwa Tarehe: 22-02-2023-04:23:35-

Swali No. 440


Maswali

Habari Za. jioni Pole na majukuku.  naomba unisaidie chakula matunda MA vyinywaji nitskavyoweza kuvitumia maana mwili unaisha nguvu

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-17:27:25-

Swali No. 439


Maswali

jinsi gani ya kutumia hizo dawa za fangasi wa mdomoni na ulimi

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-17:26:19-

Swali No. 438


Maswali

Je unawesa kujuwa Mimba ya wiki Moja

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-13:36:05-

Swali No. 437


Maswali

Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-12:24:01-

Swali No. 436


Maswali

Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-12:20:19-

Swali No. 435


Maswali

Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba


Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-12:08:44-

Swali No. 434


Maswali

Serengeti lager ni kweli haina sukari kama walivyo andika?

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-12:06:34-

Swali No. 433


Maswali

Jee nabii mussa alilelewa na nani?

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-11:34:58-

Swali No. 432


Maswali

Hbr ya majukumu mpendwa naitaji kupata elimu zaidi ju ya faida za matunda na mbgambga

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-10:43:14-

Swali No. 431


Maswali

Hello 
Nimesoma makala ya faida za njegere mwilini ila ninaswali 
Ili kufaidi virutubisho na madini yanayopatikana kwenye njegere inapaswa kuandaliwaje

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-10:42:49-

Swali No. 430


Maswali

Mim ninaukosefu wa nguvu zakiume,  naomba msaada

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-05:54:09-

Swali No. 429


Maswali

Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-04:00:26-

Swali No. 428


Maswali

Dawa ya benpham kwa mtoto wa mwaka 1na nusu anaweza tumia anadalili zote za minyoo

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-03:59:22-

Swali No. 427


Maswali

Asalaam Alykum Nilikuwa Naomba Kujua kama mtu umepewa talaka tatu kwa pamoja hapo hpo na akiwa na ujauzito  je hiyo ni sahih au inakuwaje hapo na pia mwanamke akamuondoka kwnye hiyo ndoa yake mpka kajifungua na hakurudi tena kwa mume wangu kwa mda wa miaka miwili ikapita na baada ya miaka hyo mumewe anataka amrejee je kitu gani cha kufanyika hapo

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-03:58:30-

Swali No. 426


Maswali

Baada ya tendo nakuwa napata maumivu makali tumboni tumbo linakua kama limejaa gesi na gesi hiyo inanisumbua Sana Kwa MDA mrefu hata week na maweek na pia maumivu kiunoni

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-03:57:36-

Swali No. 425


Maswali

Je!mtu mwenye ameathitika unaweza kulala nae

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-03:56:51-

Swali No. 424


Maswali

Habari Dr mm nasikia tumbo lote linauma baada ya tendo la ndoa.maumivu ni makali na hupelekea viungo kukosa nguvu.km vile miguu na mikono inakosa nguvu na mwili mzima unakosa nguvu.tafadhari naomba msaada zaidi.

Na pia maumivu hayo huwa sio ya mda mfupi.yanachukua masaa na badae huendelea taratibu chini ya kitovu

Swali limeulizwa Tarehe: 21-02-2023-03:53:19-

Swali No. 423


Maswali

Kwanini huruhusiwi kutumia mafuta
Kwenye kidonda ulichoungua na maji ya moto

Swali limeulizwa Tarehe: 20-02-2023-15:51:59-

Swali No. 422


Maswali

Asalam aleykhum , swala za  sunnah huswaliwa baada ya swala za faradh  au kabla ?

Swali limeulizwa Tarehe: 20-02-2023-14:54:35-

Swali No. 421


Maswali

Às/alaikum.naomba kuuliza kupagiwa formula ya mgao wa mirathi..marehem kaacha  mil 18 kaacha watoto wa kiume 5 na wa kike 6

Swali limeulizwa Tarehe: 20-02-2023-11:02:34-

Swali No. 420


Maswali

Asalaam alyka  kwan saa mbli (insha)  ina laka ngap

Swali limeulizwa Tarehe: 20-02-2023-11:00:20-

Swali No. 419


Maswali

Asante kwa elimu je maandazi ni chanzo cha maji

Swali limeulizwa Tarehe: 20-02-2023-10:58:51-

Swali No. 418


Maswali

Habari mimi ni msichana wa miaka 28 nahisi nilifanya mapenz na mtu si salama na hatukutumia condom je! Naweza kujua dalili za mwanzo za V.V.U?

Swali limeulizwa Tarehe: 20-02-2023-10:00:48-

Swali No. 417


Maswali

nina kizunguzungu nini tatizo maana siumwi kitu

Swali limeulizwa Tarehe: 20-02-2023-06:14:35-

Swali No. 416


Maswali

Habari napenda kujua kuhusu dawa za pressure

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-18:26:36-

Swali No. 415


Maswali

Asante na kama ukipata haja kabwa au ndogo  na ukastanji  ni lazima kuchukua udhu tena ?

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-17:53:16-

Swali No. 414


Maswali

Naomb kusaidiwa nime2mia kipimo cha mimba ndani ya wiki 3 kinaonyexha mimba hamna na ninasikia chuchu zunauma na tumbo kujaa je xhida ni nn au vipimo  vinadanganya naomb msaada tafadhar

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-17:51:37-

Swali No. 413


Maswali

Asalam aleykhum ,he mtu huweza kudumu na udhu kwa swala zote tano kama hatopatwa na moja ya yayotengua udhu ?

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-17:50:42-

Swali No. 412


Maswali

Assalam.alykum,sababu za mam aliejifunguwa kuvimba kwa uso

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-15:56:47-

Swali No. 411


Maswali

Da dokta usinichoke nikutaka kujuwa tu pia ninauliza kwanini tunapoenda kupima hospitali twende miezi 3 wakati kipimo uonyesha kuanzia wiki 3

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-14:44:11-

Swali No. 410


Maswali

Faida za kusali Sala za sunna zichambuwe

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-14:41:52-

Swali No. 409


Maswali

Nilisilim   napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-13:53:44-

Swali No. 408


Maswali

Asante sana na swala ya saa nane usik ina laka ngapi

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-13:50:07-

Swali No. 407


Maswali

Nauliza hv unaposwali swala yeyoe kuna dua yake au unaweza soma sura yoyote unayoijua

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-13:19:24-

Swali No. 406


Maswali

Mimi nikitaka kuoa mke wa pili kunahaja ya kumtaarifu bimkubwa na kama nikimtaalifu akakataa je nifanyeje?

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-12:33:28-

Swali No. 405


Maswali

Shekh zangun kwanza nashkur kwakutoa fursa hii ya kuuliza isichokijua ktk din yetu swali langu nikwamba miminikienda kuswali mskiti ambao hausomi Bismillah kwenye swala za sauti swala yangu itakuwa sawia ama batili?

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-11:33:10-

Swali No. 404


Maswali

Asslm alkm?swali:mke wa nabii nuhu aligharikishwa au?

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-10:33:32-

Swali No. 403


Maswali

Ikiwa naanza siku za hatari nakuwa na joto sana mpaka siku za period nyingne ya mwezi ujao hii inakuwa ni nn? Maaana naweza kuhis Nina mimba lakin hatima yake naingia period hii ni tatizo?

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-07:31:20-

Swali No. 402


Maswali

Aslm alykum ,kunasuramaalum katikasala yadhuha? Na Dua yake tafadhali

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-07:27:23-

Swali No. 401


Maswali

ikiwa marehemu kaacha mke mmoja na watoto watano wakiume na wakike wawili hawa mgawanyo wao upo vipi

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-07:19:30-

Swali No. 400


Maswali

Samahn mm nko naujauzito lkn vyakula vyote ckuli yaan nkikula natapik hata matunda nayatapik nifany nn ati

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-04:26:23-

Swali No. 399


Maswali

Hivi vidonda vya tumbo vinasababishs kupumua haraka haraka

Swali limeulizwa Tarehe: 19-02-2023-04:24:39-

Swali No. 398


Maswali

Hbr ndugu zangu me Nikimara exprose na nikapewa pep nimetumia mwezi mzima na nimepimwa sina shida ila bado bina wasiwasi sana yangu nimalize dawa leo siku ya pil

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-20:30:37-

Swali No. 397


Maswali

Iko iv naomba kuliza nimeziona siku zaku tarh 5 nimekutan nammewngu tarhe kumi 11 tareh kumi17 nimeziona tan siku zangu jee shida nini

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-20:29:40-

Swali No. 396


Maswali

Mama alie jifungu kabla ya mtoto kufika miezi sita anapaswa kukaa mda gani ili afanye tendo la ndoa

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-20:28:24-

Swali No. 395


Maswali

Swali langu Tofautisha maadili kwa mtazamo wa uislamu na kitwaghuti

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-16:17:43-

Swali No. 393


Maswali

Habar dogta nimeskulu sana kwa ushauri wako naelimu.tosha ila kuna swali nipenda kujiuliza kila siku kunawatu malanyingi wakina mama wanapenda kuwanaipele kwenye mkono zilenidalili za ukimwi au vinatokana na mazingira?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-16:14:00-

Swali No. 392


Maswali

Asalaam aleykum   naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-14:57:46-

Swali No. 391


Maswali

Habari,  ninauauzito wa wiki3 lakini napatwa na maumivumakali chini ya tumbo nakiuno pia nikichuchumaa kupata ajandogo natokwa damu, nikijilaza aitoki naomba ushauri nifanyeje mwanangu akuesalam!

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-14:55:41-

Swali No. 390


Maswali

Ni sababu zipi zunapelekea kizaz kusogea

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-14:53:39-

Swali No. 389


Maswali

Niko na40year nasina mtoto lakini wakati watendo ladoa natowa maji.

 

Naweza faya nn dyo niewach kutowa hayo maji niepate mimba. 

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-14:38:46-

Swali No. 388


Maswali

Je kuharisha na kupungua uzito mwilini kunauwezekano ni maambukizi ya virusi baada ya Kufanya ngono bila kinga
 

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-13:42:54-

Swali No. 387


Maswali

Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-12:19:42-

Swali No. 386


Maswali

Mama mjamzito anatakiwa kufanya mapenzi mpaka miezi mingapi

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-12:15:47-

Swali No. 385


Maswali

Madhara ya kufanya mapenzi na mama mjamzito

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-12:08:12-

Swali No. 384


Maswali

Maumivu ya kiuno na tumbo la chini kwa mjamzito husababishwa na nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-12:00:18-

Swali No. 383


Maswali

Napata maumivu chini ya tumbo la kushoto maumivu hayo yanaenda korodani la kushoto

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-11:33:20-

Swali No. 382


Maswali

Malizia simlizi ya mvuvi na jini

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-09:42:41-

Swali No. 381


Maswali

Malizia simlizi ya mvuvi na jini

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-09:42:37-

Swali No. 380


Maswali

Mtuakipata ukimwi atakuwa anajikiaje Yani kiafya kwasikuhio yakwanza

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-09:40:52-

Swali No. 379


Maswali

Naweza kupata kama vitabu vingine vya dini ya kiislamu

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-08:08:12-

Swali No. 378


Maswali

Habari nijins gani yakuandk talaka

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-06:08:34-

Swali No. 377


Maswali

samahani mimi nimeingia piriod tarehe 2 mwezi huu na nimemaliza rarehe 9 je mzunguko wangu ni wa siku ngapi?na siku zangu za hatari ni zip? asante

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-06:06:00-

Swali No. 376


Maswali

Habari samahani mm mjamzito wa wiki 36 ila sasa nmeanza kuona uke wangu umekuwa wa maji maji na kiuno kinauma sn je ni moja wap ya dalili za uchungu?

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-06:04:58-

Swali No. 375


Maswali

Hllo hamjambo mmi natumia dawa za prep na nimeanza kuzitumia jana 00:00 lkn leo sku ya pili nimelala baada ya kuamka nimepitisha dakika nikanywa 00:58 kesho nafaa ninywe muda gani tafadhali maana nimechelewa kwa dakika tafadhali nishauri

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-06:03:07-

Swali No. 374


Maswali

Samahani naomba kuuliza nimeingia pireod mwezi wa kwanza na mpaka sahivi sijaingia na mimi ni mama nae nyonyesha je naweza kuwa na mimba au vip

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-06:01:48-

Swali No. 373


Maswali

Nauliza docter katika matunda haya yote pamoja na mbegu sijaona binzari manjano pamoja na mbegu za mastaferi kaziyake na mbegu za ukwaju ahsante sana docter kwa darasa lako mwenyezimungu atawalipa

Swali limeulizwa Tarehe: 18-02-2023-05:32:23-

Swali No. 372


Maswali

Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu


Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi


Na tumbo lng linaumuka

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-16:10:21-

Swali No. 371


Maswali

Maranyigi siku zangu naingia tarehe 23 mweziuliopita nimeingia tarehe 22 sijajuwa nikwann

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-15:34:42-

Swali No. 370


Maswali

Ninasiku kama yatatu kichwa kinauma nakinapoa bado sijui nikitu gani naomba msaada

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-14:48:01-

Swali No. 369


Maswali

Mm kuna dalili sizielewi na ninajisikia kichefuchefu mate kujaa mdomon napia naumwa kichwa bado sija elewa dalili hizi kiukweri naomba msaada

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-14:39:55-

Swali No. 368


Maswali

Habari zasiku mtaalamu kwanza pole na majukumu Leo nilikuwa na maswali mawili nilitaka kuyafamu mija je dalili za HIV utofautiana kati ya mwanamke na mwanaume?

 

Mbili je mtu alieasilika katumia wembe kunyolea ila hajajikata kutokwa na damu na akatumia mwingine ambae hajaasilika nae hajajikata je akuwa kaambukizwa?

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-14:39:23-

Swali No. 367


Maswali

Mafunzo yapatikanayo katika vita vya tabuki

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-14:36:01-

Swali No. 366


Maswali

Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-14:35:32-

Swali No. 365


Maswali

Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani? 

 

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-09:42:20-

Swali No. 364


Maswali

Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-08:27:17-

Swali No. 363


Maswali

Napenda kuuliza kama kuna madhra yeyote kufanya mapenzi na mama anae nyonyesha

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-08:23:17-

Swali No. 362


Maswali

Asalam aleykum shekhe,mgawanyo wa elim dunia na elim akhera haukubalik kwa sababu zipi zingine

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-08:22:29-

Swali No. 361


Maswali

Mbona baadhi husema Kuna aina ya vyakuka hawaruhusiwi Kwa wenye group tofautitofaut!?

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-08:21:35-

Swali No. 360


Maswali

Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-08:20:26-

Swali No. 359


Maswali

Assalam Alyqum Warahmatullah Wabarakatu...

Nimepitia kitabu chenu kimojawapo nikakutana na Vipengele vingi tu lakin kimojawapo n cha STARA kwa Mwanamke.kuwa ajifunike mwili mzima kasoro USO na VIGANJA..

Swali langu..Je kwa Wanawake wanaovaa Madera au Vijora nguo hizo huku mikononi huishia nusu mkono.nao watakuwa njee ya STARA au itakuaje na nini kifanyike.???  Asanten👏🏿

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-08:19:22-

Swali No. 358


Maswali

Unawezaje kujilnda navirus vyaukimw

Swali limeulizwa Tarehe: 17-02-2023-08:17:49-

Swali No. 357


Maswali

Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-19:26:08-

Swali No. 356


Maswali

Ahaaa sawaa........Ila samahani Mimi niliingia kwenye siku tar 17-1... Ila siku nlomaliza nimesahau ......nkakutana na mume Wang tar 30-1 na tar 3-2...sasa ni siku gan nlipata mimba na Ina muda gan had saiv

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-18:40:49-

Swali No. 355


Maswali

Nanamiaka23 ninamtoto wa mwaka sasa na ilinianza hiii Hali nikiwa na miez minne mwaka Jana titi lilikua limejaa Sana maziwa na maumivu Hadi nikawa nashidwa kumnyonyesha mtoto baada ya maumivu kupungua ndo uvimbe nikawa naugusa mpaka sasaiv

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-18:21:21-

Swali No. 354


Maswali

Mimi ni muhanga wa uvimbe kwenye titi na ninanyonyesha

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-18:15:53-

Swali No. 353


Maswali

uwashwa mwili na kutoa mapele manene, kukosa hamu ya kula na kuhisi maumivu ya tumbo ni dalili ya aina ipi ya minyoo na dawa gani itumike?

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-17:10:56-

Swali No. 352


Maswali

Mimi naitwa samson.Nilikuwa nakuomba unisaidie kazi za vitamin zote, a b,c d e k

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-17:08:19-

Swali No. 351


Maswali

Kitugani kilicho pelekea wakati wa tabiin kuandikwa hadithi

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-15:45:18-

Swali No. 350


Maswali

Nimesoma mtandaoni kuhusu kuvimba pumbu, mimi pumbu inavimba moja japo sina maumivu naweza kutumia dawa gani doctor

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-13:25:41-

Swali No. 349


Maswali

Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-13:22:41-

Swali No. 348


Maswali

Mana kunamtu ameniambia kua maiti anamashid  sijamuelewa ndoman nimewauliza nyie kama wapo niwajue

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-13:22:11-

Swali No. 347


Maswali

Je kwamfano nilikuwa kwenye siku zangu nanikafanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi hapo je inakuwaje

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-12:22:34-

Swali No. 346


Maswali

Je haya maumivu ya chini ya kitovu yanayokaza hudumu kwa muda gani

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-11:50:45-

Swali No. 345


Maswali

Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-11:48:14-

Swali No. 344


Maswali

Mm tumbo linaniuma alafu hedhi inatoka lakini so nyingi lakini pia nkiponyeza matti yangu yanatoa maziwa je itakuwa ni nn?

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-11:42:41-

Swali No. 343


Maswali

Docta me nina shida nina mimba ya miez miwili natokwa damu matone matone nikaend hsptl nikapigwa ultrasound mimba ipo nikapewa dawa ila sasà damu naona matone yanaongezeka alafu ni mekundu kuna kibonge kidogo kimetok ukeni ndo mimba imetoka au mana vipimo nimefanya jana 2 Hali imebadilik kesho yake

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-11:41:57-

Swali No. 342


Maswali

Mimi nataka dawa za kiungulia alafu uniambie na vyakula vya kula...uenda nakosea kwenye vyakula ninavyokula

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-10:28:51-

Swali No. 341


Maswali

Habar Dr. Mimi ninaujauzto wa wiki16 ndo wa kwanza lkn nahis kichezo tumboni unaweza nijuza hili

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-09:45:24-

Swali No. 340


Maswali

Kwa kutumia ushahid wa aya onesha kua quran ilishushwa katika usiku mtukufu wenye cheo

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-04:23:17-

Swali No. 339


Maswali

Assalaam alaykum warahama tullah, shekh Mimi nataka duwa ya  kutosherezwa na Allah katika jambo langu je nitaipataje nataka kui hifazi.

Swali limeulizwa Tarehe: 16-02-2023-04:21:55-

Swali No. 338


Maswali

Habari naitwa daines nilikuwa natumia uzazi wa mpango nimekitoa mwezi wa 12 mwaka Jana  nasiku zangu sizioni Toka mwezi wa kumi mwaka Jana mpaka leo sioni siku zangu Leo nimepima kipimo kinaonesha ninamimba je inawezekana?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-17:39:55-

Swali No. 337


Maswali

upande wa kichwa huchukua mda gani kuuma kama dalili za vvu

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-17:30:18-

Swali No. 336


Maswali

Ukiingiza kwenye uke ukitoa utoka na weupe wakunuka saan shida nini hapo

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-17:25:25-

Swali No. 335


Maswali

Dalili ya mimba ya siku Moja ni ngan

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-17:11:46-

Swali No. 334


Maswali

Mtoto wangu nilimzaa akiwa na low birth weight na huku akawa na tundu kwenye moyo na mshipa unaosambaza damu safi uko intact sasa nimekua na hofu kidogo sababu kaumbo Jake ni kadogo viguu vyembamba na vimikono nikawa na wasiwasi

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-17:04:47-

Swali No. 333


Maswali

Je kutoka uchafu meupe ukiwa una fanya mapenzi nini

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-16:59:29-

Swali No. 332


Maswali

Hello habari za kazi samahani naomba kuuliza je mtoto akizaliwa na tatizo la tundu kwenye moyo Kuna uwezekanao akawa mlemavu WA viungo?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-16:45:34-

Swali No. 331


Maswali

Nimeingia mp tarehe moja mwezi huu nkamaliza tarehe 2 danger ni tarehe 11 nimekutana na mwanaume tarehe 10 kunauwezekano wa kubeba mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-16:40:33-

Swali No. 330


Maswali

Hello naitaj search engine post ziwe znaonekana haraka

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-16:37:35-

Swali No. 329


Maswali

mimi nina minyoo na wasikia kabisa wakiwa wana tembea nyuma nime tumia dawa ya Albendazole lakini bado napata dalili za minyoo

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-16:36:50-

Swali No. 328


Maswali

Ukiwa umebeba ujauzito sikuile ya kwanza umefanya mimba ikaingia tumbo linauma?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-16:35:09-

Swali No. 327


Maswali

Me naitaji kujua dalili.  Ama viashilia vya vvu

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-16:33:04-

Swali No. 326


Maswali

Ila nasikia maumivu ya kichwa mara kwa mara

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-12:58:07-

Swali No. 325


Maswali

Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-12:38:33-

Swali No. 324


Maswali

Mm nimedunga sindano tarehe tano za mwezi wa kwanza n'a mpaka sasa sijaona siku zangu ila nabaki nasikia maumivu chini ya kitovu kwa mbali n'a nimefanya tendo la ndowa siku iliofuata tarehe 6 je naweza kupata mimba? 

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-12:33:17-

Swali No. 323


Maswali

Maana Mimi mke  wangu tarehe ya kujifungua iliyokadiriwa ni 11/3/2023 lakin naona saiz kama anadalili za uchungu anaumwa tumbo ,uchovu mwingi,mtoto anashuka chini,nk

 

 

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-12:28:48-

Swali No. 322


Maswali

Nin umri wa miaka 25 nilikua na mpenzi nimeseks mara mbili ila alivoenda kupima aligundulika mwasilika je munanisaidiaje kwa hlo Mm nilikua sjajua kama kasha athirika

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-12:24:45-

Swali No. 321


Maswali

Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-12:19:17-

Swali No. 320


Maswali

Je n mke gani alikufa shaidi enzi za mitume

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-07:21:01-

Swali No. 319


Maswali

Hello napenda kuuliza dalili za mwishoni kabisa za mama mjamzito kujifingua

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-07:18:27-

Swali No. 318


Maswali

Sheikh nina swali langu kidogo nataka kuliza
Kabla ya kunirudia ile talaka ya pili akaniandikia kwenye simu ya 3 je itakua zimesha malizika zote 3
Mume wangu aliniacha talaka moja alafu aka nirejea tukakaa baada ya kipindi kdg akaja kuniacha talaka ya 2 akanirejesha kwetu

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-07:18:03-

Swali No. 317


Maswali

Nataka kujifunza makala za ulaji wa vyakula

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-07:15:07-

Swali No. 316


Maswali

Ninashid ya kuumwa na tumbo upand wa Julia Kwa chin tatiz ni nin

Swali limeulizwa Tarehe: 15-02-2023-05:51:06-

Swali No. 315


Maswali

Kutema mate,kukauka lips,n maumivu y tumbo inatokana n nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 14-02-2023-18:50:39-

Swali No. 314


Maswali

Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante

Swali limeulizwa Tarehe: 14-02-2023-16:29:42-

Swali No. 313


Maswali

Kijiji chao nabii ibrahim kinaitwaje..? Na kilikua kikaliwa na watu gani.?

Swali limeulizwa Tarehe: 14-02-2023-10:54:43-

Swali No. 312


Maswali

Hv ukiwa unatumia dawa ya salbuta inaweza sababisha milio sikioni

Swali limeulizwa Tarehe: 14-02-2023-10:52:18-

Swali No. 311


Maswali

Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh 

Hivi ktk uislam inaruhusiwa kumuoa mtu niliyemtia mimba ikiwa bado hajajifungua?

Swali limeulizwa Tarehe: 14-02-2023-07:12:52-

Swali No. 310


Maswali

Je  inafaa kutoa talaka mbili kwa mkupuo mmoja?

Swali limeulizwa Tarehe: 14-02-2023-06:11:44-

Swali No. 309


Maswali

Dai lakuea mtume muhammad anafundishwa quran na watu na udhaifu wa madai haya

Swali limeulizwa Tarehe: 14-02-2023-06:09:48-

Swali No. 308


Maswali

mimi naona navidonda vya tumbo ila mbna mwili unaniwasha na kutoka vipele mwilin pamoja na mugongo kuuma naomb msada wako

Swali limeulizwa Tarehe: 14-02-2023-06:07:54-

Swali No. 307


Maswali

Hi ,mm nko week 40 sai na naskia uchungu upande wa chini wa tumbo  kama maumivu ya periods lakini sitoki chochote inawezakuwa ni nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-15:30:33-

Swali No. 306


Maswali

Naomba kuuliza mfano umeng'atwa na muathirika wa ukimwi amabae anatumia dawa je nawe anaweza kukuambukiza

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-15:30:00-

Swali No. 305


Maswali

Hello samahan iv tezi dume inaweza sababishwa na ngono zembe

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-12:53:27-

Swali No. 304


Maswali

Hello nimeanza hedhi tarehe 8-12 na nina mzunguko wa siku 21 ,je siku ya kupata mimba ni zipi? Nahitaji mtoto

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-07:42:36-

Swali No. 303


Maswali

Swali lang naomba kujuwa kufanya biashara ya play station au Games je naingia kwny haramu.

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-07:38:21-

Swali No. 302


Maswali

Kipimo Cha upt mstari wa pili ulikuwa haujakolea je iyo Inaweze kuwa mimba ya mda gn maana nimekutana na wanaume wawil ndan ya huu mwez

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-06:26:54-

Swali No. 301


Maswali

Kama mayai yapo machache hayakomai uwezo wa kubeba mimba utakuwepo au

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-06:25:29-

Swali No. 300


Maswali

Unaweza kupata virusi bila kujamiiyana

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-04:17:04-

Swali No. 299


Maswali

Aslm alkm.Ni mitume gani walikuwa ni waarabu
Kuna ambao ni wa Israel na waarabu

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-04:16:33-

Swali No. 298


Maswali

Na swali juu ya kujuwa mke wng naweza anaweza kujuwa  km ameshika mimba baada ya siku ngap baada ya tendo

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-03:04:29-

Swali No. 297


Maswali

Ni kwamba tumbo linaniuma kwa Chini  na Nina kojoa Mara kwa Mara lkn tulifany siku ya kwanz wakat natoka kwenye siku zangu je nayo ni dalili ya mimba au ni hofu ndy imenitawala

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-03:03:18-

Swali No. 296


Maswali

Habari ni vitu gani mgonjwa wa madonda ya tumbo atumie ili kupunguza maumivu

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-03:02:02-

Swali No. 295


Maswali

Fangasi wanasumbua uumeni n muda wa week mbili sasa

Swali limeulizwa Tarehe: 13-02-2023-03:01:33-

Swali No. 294


Maswali

Swali lingine mbona mwanamke anaweza kuwa hamefunga bridi na umri mkubwa hata miaka 50 baadaye anabeba mimba hiyo hinakuaje

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-18:17:26-

Swali No. 293


Maswali

Swali kangu ni: Je Mwanamke mwenye heidh aweza kushika msahafu?

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-14:10:16-

Swali No. 292


Maswali

Asante nimeipenda nakala yenu lakini kivipi mwanamke wakati wakati wa tendo tumbokumuuma isababishwe na mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-12:39:55-

Swali No. 291


Maswali

Ninamiaka 23 ni  mwanamke  tatizo langu ni kwamba tumbo linaniuma sana yani kama kunakitu kinanikwangua vile tumbon kunamda linaacha lakinii nikila chakula linaniuma sana yanaa halafu linatulia linakuwa linauma kwa mbalii

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-12:15:15-

Swali No. 290


Maswali

Mimi ni Virgin (bikra)  kila ninapojarib kufny mapenz ili kutoa virgin inashindikan huwa nasikia maumiv makal mpk naogopa na nina kuwa na hofu na sna uteute yaan uke wang ni mkavu

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-12:11:49-

Swali No. 289


Maswali

Habari zauzima waheshimiwa Mimi swali langu nikuhusu dawa na matibabu ya sekoseri napenda kufaham, kujua na kuweza kusaidia Jami yangu uliyo nizunguka na taifa kiujumla

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-11:29:47-

Swali No. 288


Maswali

Kwanin tunasema samiaallah limanihamida hatusemi Allah akibalu

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-11:28:47-

Swali No. 287


Maswali

Je inawezena kuwa mtoto amekufia Dani ya tumbo au nikuchoka tu amelala Kwa sababu Niko hospital na wemetafuta heart 💖 beat lakini hawasikii akipumua au kucheza

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-09:20:23-

Swali No. 286


Maswali

Naitaji kufaha pia Swift anapatikana Sana Sana maeneo ya wapi na chakula chake kikuu ni kipi?, na anapenda kuishi maeneo ya sampuli gani?

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-09:17:25-

Swali No. 285


Maswali

Bibi yangu ako na ujauzito na mtoto amenyamaza hachezi pia heart beat yake hatuisikii

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-09:16:23-

Swali No. 284


Maswali

Kujaa kwa mate mdomoni kunaxababixhwa na nn
Na kujaa kwa ges 2mboni ni dalili ya nin

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-07:30:10-

Swali No. 283


Maswali

Yaan vyakula vya protin nikila vinanizulu nifanyejee
Yaan mwili unakosa nguvu kabisa

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-04:37:36-

Swali No. 282


Maswali

kutokwa na uteute mweupe kwa mwanaume haiwezi kuwa dalili ya UTI

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-04:36:23-

Swali No. 281


Maswali

Habari,naomba kuuliza je katika iyo hali ya kuwa na fangasi ukeni halafu ni mjamzito unweza kutumia dawa zakuweka ukeni kama zile tube au vidonge? Au kunanjia gani tofauti yakuzuia iyo muwasho,majimaji machafu?

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-04:34:09-

Swali No. 280


Maswali

Habari nina tatizo la kiungulia

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-04:32:54-

Swali No. 279


Maswali

Samahan nilikuwa naomba kuulizia,utando mweupe   mdomoni kwenye mashavu, inasababishwa na mini?

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-04:31:41-

Swali No. 278


Maswali

Katika mitume 25  walopewa ilmu na hikma ni wangapi na ni akina nani? Wabillahi taufiq

Swali limeulizwa Tarehe: 12-02-2023-04:30:08-

Swali No. 277


Maswali

Je nisahihi  mtu mwenye vidonda cya tumbo kula mboga za majani

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-16:15:47-

Swali No. 276


Maswali

Mchumbaang huwa anapata maimivu makali na mchubuko seem ya uke

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-15:56:11-

Swali No. 275


Maswali

Mimi Nina mimba ya miezi 5 lakini Nina tatizo la kutokwa na maji maji ukeni wakati mwingine na damu yenye mabonge mabonge kama mwezi mzima sasa

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-08:59:44-

Swali No. 274


Maswali

Habar, samahan naomba kuuliza, endapo unapata maumivu makali ya tumbo upande wa kulia kwa chini na maumivu hayo unayapata wakati wa hedhi na wakati wa siku za kubeba mimba harafu maumivu hayo yanaambatana na kuunguruma je! Inaweza kuwa nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-06:53:54-

Swali No. 273


Maswali

Mkuu habari za majukum  nilikua nasoma habari juu ya kiungulia na kimenisumbua sana leo siku ya sita nahitaji tiba yake na uniambie kinasababishwa na Nini

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-06:52:56-

Swali No. 272


Maswali

Kwema, je hii swala ya dhuha nitaiswalije au hatua zake zikoje kipindi cha kuswali hii swala

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-03:58:16-

Swali No. 271


Maswali

Na vipi inawezekana mwanamke kuingia kwenye siku zake bila ku bleed damu? Yaani asione dalili yoyote?

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-03:17:20-

Swali No. 270


Maswali

Je ukifanya tendo la ndoa siku ya Kwanza kutoka kwenye siku zako, Unawez kupata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-03:16:29-

Swali No. 269


Maswali

Naomba msaada mm nahisi kichefuchefu na sitapiki mdomoni mate machungu na kichwa kinauma je xhida ni nn na mimba sina

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-03:14:44-

Swali No. 268


Maswali

nasumbuliw na muwasho sehem za siri

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-03:12:17-

Swali No. 267


Maswali

Habalì naomba niuliźe mimi nimeng'atwa na nyoka lakini meno yake hayajatoka

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-03:11:09-

Swali No. 266


Maswali

Asalam aleyikum warahmatullah wabarakatuh                            swali langu ni hivi mimi nimeolewa miaka 8 iyopita ila mwaka juzi mwezi12 Allah akanitahin nimepatatihani wa maradhi ya ganzi yamepelekea kutokutembea mama zamani,mume wangu ameniuguza mpaka mwezi wa 7 mwaka jana akanitelekeza yani aniudumii mimi wala mtoto na nikimpigia simu anaongea hovyo tu nimeamua kumdai talaka ataki kunipa lakini hivi karibuni ameniatamkia maneno Machafu kua ataki kunipa talaka kwakua ajawahi kunioa na ajanopenda hata siku1 mimi nikampiga mshenga na shahidi nao wakajaribu kizungumza nae akawakatia Simu  swalilngu je,naweza kujivua kwenye ndoa hii?au nifanyeje mpaka nipate haki yangu ya talaka

Swali limeulizwa Tarehe: 11-02-2023-03:10:15-

Swali No. 265


Maswali

Habari doctor nilikua nataka nifahamu juu ya tatizo nililo nalo

Tatizo lenyew ni katika pembezoni mwa uume Wang kumepauka , pia kunatok vipere pia huwa kunawasha

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-16:43:37-

Swali No. 264


Maswali

Assalamualeykum. Ukiswali rakaa  ya 3+ 4  unasoma sura gani baada ya AIHAMDU.

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-16:41:49-

Swali No. 263


Maswali

Je? Ikiwa n ujauzito matone ya dam hutoka kwa siku ngap?

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-16:40:22-

Swali No. 262


Maswali

Na je siku za hatari kwa mwanamke kupata ujauzito  ni hizo nane tu? Ikiwa alipata hedhi tare 1 na kuanzia tarehe 11 Hadi 18 ndizo hatari?

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-16:39:32-

Swali No. 261


Maswali

Mm na tanataka kujenga nyumba kama ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam ❤️. Je nitapataje ramani ya nyumba ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-16:21:17-

Swali No. 260


Maswali

Jinsia ya kiume na umri wa 24. Je mwanamke akivusha siku zake mpaka miezi miwili baada ya hedhi nikikutana nae tufanye siku ya60 baada ya kupata hedhi. Je anaweza pata ujauzito nikikutana nae?

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-14:34:48-

Swali No. 259


Maswali

Mimi nimetafuta mtoto takiribani miaka 17, mmpa leo sijapata shida niliambia homon zipo chini, mayai hayapevuki yaani yamefika mwisho naweza pata matibabu mengine umri 45

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-08:23:34-

Swali No. 258


Maswali

Kwan mbon wanasema kusom dua kabr yakumuswalia Mtume nakabr yakutoa slm nidua gan nakuomb nisayidie

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-08:22:59-

Swali No. 257


Maswali

Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina  wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-08:20:39-

Swali No. 256


Maswali

Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:41:52-

Swali No. 255


Maswali

Assalaam a'laykum warahmatullãhi wabarakaatuh! Shaikh nauliza; ivi inawezekana mke kuslimu na kufunga ndoa ya kiislam siku hiyo?hiyo

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:40:25-

Swali No. 254


Maswali

Assalamu 'alaikum warahmatullah wabarakatuh. Na swal. Je, inaswihi kwa muislamu kuswali juu ya kaburi kwa lengo la kumuuombea maiti iliyomo ndani ya hilo kaburi

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:39:32-

Swali No. 253


Maswali

Kuna mwanamke nimetembea nae na inasadikiwa ameathirika na ukimwi.  Sasa niliposoma kwenye makala yako pale google ukielezea dalili za hawali sijaziona na nilitembea nae mara 2  na ni mwezi 11 mwishoni

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:38:35-

Swali No. 252


Maswali

Je kile kipimo cha kupima ukimwi cha kusokotowa mdomoni kimesibitiswa na ustawi wa hafya kinasema kweli

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:23:44-

Swali No. 251


Maswali

Marehemu ameacha mke na mtoto miaka 10, wazazi wote baba na mama yake wamefariki mali ya marehemu itarithishwa nani na kwa mafungu gani

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:22:35-

Swali No. 250


Maswali

Me nataka kujua wakati wa kutoa shahada unatamka maneno gani

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:21:13-

Swali No. 249


Maswali

As salam alaiykum, ni myama gani huyu atakae semezana na watu?

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:12:46-

Swali No. 248


Maswali

Mimi nililala na Mwanamke mwenye ameathirika niko na wiki mbili saii je nitasaidika kweli

Swali limeulizwa Tarehe: 10-02-2023-04:11:08-

Swali No. 247


Maswali

Habar , samahani nimesoma makala yako ya ugonjwa wa fangasi wa mdomoni na ulimi , kijana wangu namwona anamadoa mekundu kwenye ulimi kama vibalango lakini vidonda hivyo haviumi, dalili hii sikuiona kwenye baadhi ya dalili ukizozitaja, hii nayo ikoje

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-16:11:46-

Swali No. 246


Maswali

Mm nilienda nilifanya ngono siku ya Saba je nimjamzito

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-16:10:26-

Swali No. 245


Maswali

samahani dokta nimeenda hospitali nikapewa dawa za UTI zinaitwa  CIPROFLOXACI arafu ninaujauzito kama wamwezi je haziwezi kunizuru

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-15:08:45-

Swali No. 244


Maswali

Tarehe 25 mwezi uliopita  hedhi yangu ilianza  na siku ya tatu nikafanya tendo LA ndoa    sasa inaeza kua nilipata ujauzito hau LA kwa sababu naumwa na mgongo na pia matiti zinauma na matiti zenyewe zimebadilika , sasa Jana nikaenda hoc nikapimwa nikaambiwa Sina ujauzito ,sasa tafadhali naomba mnisaidie

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-11:59:31-

Swali No. 243


Maswali

Niipi hukmu yamtu mwenye kuacha swala pasi na udhuru wowote?

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-09:17:37-

Swali No. 242


Maswali

samahn mim nin ujauzito wa miez 4 nilienda kupm nikakuta na malaria nikapew mseto huy alie nip dawa kanmby nawez kutumia coz nin ujauzito wa miez 4 je ni kweli

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-05:08:54-

Swali No. 241


Maswali

Kupasuwa kwaviungo inasababishwa na nn

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-05:07:35-

Swali No. 240


Maswali

Assalamualaykum
Mimi suali langu linasema 
Elezea mitihani mitano aliyopewa nabii Ibrahim na Mola wake na namna alivyoifaulu mitihani iyo

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-05:05:26-

Swali No. 239


Maswali

Nimenunua hili tunda zaituni kwanza,nimelionja kwamarayakwanza tangu nizaliwe sijawai kuila baada ya hapo nimegoogle nakwangalia faida zake
Nahitaji kujua mengi kuhusu hili tunda

Swali limeulizwa Tarehe: 09-02-2023-05:04:09-

Swali No. 238


Maswali

Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:50:03-

Swali No. 237


Maswali

Nauliza hivi umefanya mapendi na msichani Bada ya miezi mitatu upo      negative miezi Tano au SITA bado upo saw negative inakuaje hapo

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:48:53-

Swali No. 236


Maswali

Mwanamke anapokutana na mwanaume kwa siku yake ya kwanza hupata mabadiriko gani katika mwili wake?

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:43:34-

Swali No. 235


Maswali

Nilikuwa nauliza natokwa na uchafu warangi ya njano arafu mzito hili litakuwa nitatizogani

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:42:20-

Swali No. 234


Maswali

Sawa ila mi natakakujua je hivi vipimo vya hospitali za selikali uwonesha majibu mudagani baada ya mutu kuasilika?

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:41:32-

Swali No. 233


Maswali

Nauliz ety ukifanya tendo  siku ya kwanz ya siku zako kunauwezekan kuwa unawez pata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:38:47-

Swali No. 232


Maswali

Bibi alienda period tarehe21 tumekutana kimwili 4 anaweza shika Bal kweli

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:37:40-

Swali No. 231


Maswali

Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran

Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:34:23-

Swali No. 230


Maswali

Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo

Swali limeulizwa Tarehe: 08-02-2023-12:31:42-

Swali No. 229


Maswali

Hi Nauliza mke wangu alitokwa na ujauzito mwezi was kumi mwaka Jana mpaka sai haja shika ingine shida inaweza kua nini

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-18:09:40-

Swali No. 228


Maswali

Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-18:05:01-

Swali No. 227


Maswali

Baada ya mtu kuasilika anashauliwa mudagani iliaanze tiba ?

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-18:02:24-

Swali No. 226


Maswali

Umuhimu wa kuamini mitume wa Allah katika maisha yetu ya kila siku

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-18:01:33-

Swali No. 225


Maswali

Nina maumivu  tumbo la chini ya kuelekea upande wa kushoto ,maumivu tumbo la juu karibu na kifua ,maumivu pingili za mgongo na kiuno pia mbavu jinsi yangu ni Ke miaka  44

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-18:00:41-

Swali No. 224


Maswali

Mom nilifanya mapenzi na  mdada kufanya mapenzi Mimi nilikua nimetumia Kinga lakini nilipomaliza kufanya mapenzi nikakuta kwenyemwiliwangu amenipaka damu  Sasa hapo ndo hofuyangu kubwa kuwa nimepata ukimwi

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-12:57:49-

Swali No. 223


Maswali

Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni
Barakallahu fikum

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-12:24:57-

Swali No. 222


Maswali

Hello, Mimi Nina wasiwasi kwani nikipatq hedhi tarehe 17 mwezi wa Kwanza na nkashiriki ngono tu baada ya kumaliza hedhi je naeza pasta mimba? NaombA usaidz

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-12:23:19-

Swali No. 221


Maswali

Nko na maumivu chini ya kitovu na nlipima jna bt kipimo kikasema sna mimba bt sjaona siku zangu na hua zinakam taree 3 myb mniambie shida ni nin

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-12:12:32-

Swali No. 220


Maswali

Asante sana Mimi nimesoma kuhusu ukimwi na dadilili zake nimeziona lakini mwezi kuisha nilienda kupima nikaambiwa Sina na wakati nimepungua gafla tu


Niliona vitezi vya kwapa zote mbili na kichwa kuuma Sana na vipele sehemu za Siri

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-06:11:17-

Swali No. 219


Maswali

Nataka kujua kuhusu fangasi

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-06:09:57-

Swali No. 218


Maswali

Kuna maeneo mengi sana ambayo yanadhihirisha kuwepo kwa mwenyezi mungu .Chambua kwa mifano maeneo matano 5(tu)

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-06:07:16-

Swali No. 217


Maswali

Vidonda mdomon huonekana baada ya mda gani?

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-06:06:29-

Swali No. 216


Maswali

Samaan me nimjazito miez tisa ss Ila ikifika usiku napata maumivu makali yatumbo na kiuno

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-06:04:11-

Swali No. 215


Maswali

Samahan mi nna vidonda vya tumbo nimesha tumia dawa ila nikipata nafuu kwa mda vinarudi tena kama mwanzo

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-06:03:00-

Swali No. 214


Maswali

Naomba kuuliza je watu waliasilika wajaanza dawa kwana mke na mume wanaendelea kushiliki tendo LA ndoa madharayake nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-05:47:07-

Swali No. 213


Maswali

Samahani naomba kuuliza je kama mwanamke huendi mwenzini ila uteute wa damu ukiwa unana unatoka uwezekano wa kupata mimba upo

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-05:45:54-

Swali No. 212


Maswali

Mimi ni mjazito siku zangu zimekaribia za kujifungua na Niko na shida za saa nyengine ya pumzi shida ni nini

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-05:44:21-

Swali No. 211


Maswali

Kama mama mjamzito ana presha yake iko juu je atasaidiwa vipi ajifungue

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-05:43:06-

Swali No. 210


Maswali

Nina wiki mbili hivi nimefanya mapenzi na rafiki ...nina hofu huenda aka ni mgonjwa

Swali limeulizwa Tarehe: 07-02-2023-05:35:22-

Swali No. 209


Maswali

Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia  ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-18:33:58-

Swali No. 208


Maswali

Je kipimo cha mkojo huonyexha mimb ikiwa na mda gan

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-14:38:32-

Swali No. 207


Maswali

ona Dokta tumbo linajaa halafu naona kizungu zungu halafu nahisi kama kunakitu kinatembea tumboni
 lakini nimezuia kublid. kama mwezi mmoja t
 je nikitu gani

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-14:37:36-

Swali No. 206


Maswali

Mpenzi wanguu alimeza dawa ya kuzuia mimba mara mbili na akatokwa na damu kidogo ikawacha na kwa sasa amepima mimba mara mbili na inaonyesha kuwa hana ujauzito ila leo kaniambia anaskia kuchefukwa na roho je inaweza kuwa ni tatizo gani ama ana ujauzitoo???

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-14:36:06-

Swali No. 205


Maswali

Hello, Mimi Nina wasiwasi kwani nikipatq hedhi tarehe 17 mwezi wa Kwanza na nkashiriki ngono tu baada ya kumaliza hedhi je naeza pasta mimba? NaombA usaidz

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-14:10:13-

Swali No. 204


Maswali

Nilikuwa nataka kujua juu ya ndot za kupaa angan

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-14:09:05-

Swali No. 203


Maswali

Chanzo cha presha Ni nini

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-13:50:59-

Swali No. 202


Maswali

samahan et, kutokwa na upele (ukurutu) nayo nimojawapo ya ugonjwa wa ukimwi

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-08:04:28-

Swali No. 201


Maswali

Habari ya asubuhi?
Nimesoma dondoo yako. Swali langu..
Huwo ugonjwa wa kikohozi na mafua ikiwa yanasumbua kwa mda mrefu yapata miezi mi wili. Je, ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa ukimwi?

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-07:59:43-

Swali No. 200


Maswali

Nina umri wa miaka 23 ni msichana  mm naomb msaada nilisex baada ya kusex nikakaa kama siku mbili nikaingia period xiku 4 nikatoka nikakaa kama xiku 4  nikasex tena je naeza kupata  naeweza kupata mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-06:48:53-

Swali No. 199


Maswali

Katika funga za kafara kuuwa paka nayo ni aina ya funga ya kafara

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:23:37-

Swali No. 198


Maswali

Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia  ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:15:16-

Swali No. 197


Maswali

Habari ndugu nina mtoto wa miezi5 ana tatizo la kukoroma lina miezi miwili sas kapatiwa tiba ila bado ana koroma tu  dawa alizo tumia ndo Izo ila tatizo liko pale pale

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:11:32-

Swali No. 196


Maswali

Habar ya ww mtaalamu ,sasa nilitaka kufahamu kama shilingi inaweza sababishwa na minyoo maana hapa nilipo ninashilingi kifuani nimetumia dawa za kupaka inasaidia ninapoendelea kutumia dawa ,dawa inapokuwa imeisha yenyew inaanza upya na shilingi hii inawasha na ina uweupe Fulani ina mda kama miaka 6 saiv haitaki kuisha,vilevile saivi imeongezeka kichwani na hata usoni ,nilishauriwa pharmacy kwa nitumie dawaa ya minyoo itasaidia

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:10:17-

Swali No. 195


Maswali

Mimi ni mjazito siku zangu zimekaribia za kujifungua na Niko na shida za saa nyengine ya pumzi shida ni nini

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:09:15-

Swali No. 194


Maswali

Mimi ni ustadh nafundish madrasa  sasa nimeombwa hapa kwenda kufundisha  edk secondary

 

Sasa  mnaweza nisaidia  notes lakini namna ya kuandaa majaribio

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:08:36-

Swali No. 193


Maswali

Shekh mm nilikua nomb tahiat kubw na ndg huag zanisumbua kam kunauwezekan unitumie

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:07:19-

Swali No. 192


Maswali

Nilikuwa natumia uzazi wa mpango  baada ya mwaka mmoja nikatoa na baada ya  kutoa nikapata hedhi siku 5 na baada ya wiki moja nikakutana na mwanaume unaweza ukapata ujauzito?

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:05:51-

Swali No. 191


Maswali

Et mayai ya kuchemsha kwa mjamzito n sahihi kula

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:03:10-

Swali No. 190


Maswali

samahan mi miguu yangu inauma kwenye magoti kwa chini

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:01:36-

Swali No. 189


Maswali

Tangawizi inakatazwa kwa mwenye vidonda vya tumbo?

Swali limeulizwa Tarehe: 06-02-2023-05:00:36-

Swali No. 188


Maswali

Samahan I doctor mm nilikuwa na mimba ila ilivuja haikutoka je ilikuwa na wiki3 je inatakiwa nikae mda gani nipone au inatakiwa nipime mda gani

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:42:01-

Swali No. 187


Maswali

Nini maana ya iq-laabu

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:40:40-

Swali No. 186


Maswali

samahan mi miguu yangu inauma kwenye magoti kwa chini

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:38:43-

Swali No. 185


Maswali

Habari! Mimi shida yangu  ni milija inayotoka kwenye korodani inajaa na kuweka vinundununda.

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:38:12-

Swali No. 184


Maswali

Naomba kusaidiwa je kutoka na maji sehem za Siri baada ya tendo  ni vibaya jmn

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:37:07-

Swali No. 183


Maswali

Je fangas Usababisha mtu ukiwa period kwenda mda mrefu

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:36:18-

Swali No. 182


Maswali

Asalam aleykum warahmatullah,samahn naomba kuulizaa je nilazimaa kusomaa Ile Dua katik swalt subh baada ya kutoka kuruu ukiwa kwey itidali?

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:35:22-

Swali No. 181


Maswali

samahan mie nahisi kiuno kinauma kwa mda kinaacha pamoja na tumbo linakuwa linauma naenda kuharisha ninawiki 34 nasiku2

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:32:32-

Swali No. 180


Maswali

Habari je mtu Mjamzito tumbo hujaa gesi mara kwa mara

Swali limeulizwa Tarehe: 05-02-2023-05:31:25-

Swali No. 179


Maswali

Daktar kuna kingine kamaa malengee lengee nmkiinqa leo asubh kwa pemben kwa juu ilaa kimevimbaa Wakt was kukaa kinavutaa na kusimama...

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:33:11-

Swali No. 178


Maswali

UNAWEZA KUPIMA VVU MAJIBU YAKAWA NEGATIVE HUKU UMESHAAMBUKIZWA TEYARI?

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:31:45-

Swali No. 177


Maswali

Habari samahani nilikua na swali mimi na mwenzi wangu kila tukifanya tendo baada ya kumwagia mbegu ndani na  kuchomoa uume mbegu utoka nje nilikua nauliza sababu nini na je mbegu zinapo toka nje kunauwezekano wa kubeba mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:30:26-

Swali No. 176


Maswali

Hi Nauliza mke wangu alitokwa na ujauzito mwezi was kumi mwaka Jana mpaka sai haja shika ingine shida inaweza kua nini

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:29:36-

Swali No. 175


Maswali

Maziwa kuongezwka ukubwa bila maumivu nidalili ya mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:29:10-

Swali No. 174


Maswali

Assalaam a'laykum warahmatullãhi wabarakaatuh! Shaikh nauliza; ivi inawezekana mke kuslimu na kufunga ndoa ya kiislam siku hiyo?hiyo

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:28:28-

Swali No. 173


Maswali

Hello,,Mimi nikishiriki tendo la DOA na boyfriend wangu na akanijulisha yakwaba ameshikwa na maumivu na Mimi akuna venye nasikia at a kidogo


Nikiwahi pata infection na nikatibiwa  soo kumaanisha aijawagi pona ama nafaa nitumie dawa gani

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:27:53-

Swali No. 172


Maswali

sijaelewa, ni baada ya siku ngapi kumaliza hedhi ndo maji yanayo onyesha dalili za kubeba mimba yanaonekana?

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:26:53-

Swali No. 171


Maswali

Je mtu mwenye sukari anaruhusiwa kutumia au Kila topetope

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:26:02-

Swali No. 170


Maswali

Je kuumwa na tumbo yaeza kuwa dalili moja wapo ya uchungu

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:22:42-

Swali No. 169


Maswali

Kukojoa damu mwishoni mwa mkojo kunasababishwa na nini ukiachana na kichocho, uti

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:21:32-

Swali No. 168


Maswali

Maelezo kuhusu ijmaa, ijtihad, qiyas, urfu, istihsan.

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:20:55-

Swali No. 167


Maswali

Je kama tumbo linapata joto ila hakuna kuharisha, kichwa kinauma na sehemu ya mbele ya siri inawasha hii ni dalili za ugonjwa ganj

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:20:25-

Swali No. 166


Maswali

Ok mm shida yangu sehem ya uume Kama nikibinya yanatoka maji ambayo Kama usaaa lakin hayajafikia kwenye usaa

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:19:59-

Swali No. 165


Maswali

je? kunawa au kujifuta mbegu  kwa mwanamke wakati wa tendo la ndoa  kunaweza kuwa tatizo la kupata mimba.

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:19:09-

Swali No. 164


Maswali

Jabari Doctor Mimi nimeona hedging Tarehe 13/2 an 14/2 Lakini ilikuwa siielewe ilikuwa imetoka sio nyingi na pia ilikuwa inarangi Kama unsenda kwenye Weusi, pia chuchu zangu nikikamua zinatoka Maziwa nimejaribu kupima nyumbani kipimo kinasema negative ina mstari ujakolea wekundu unaonyesha Kama niliyoona kwenye period

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-14:18:39-

Swali No. 163


Maswali

Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani

Swali limeulizwa Tarehe: 04-02-2023-07:02:14-

Swali No. 162


Maswali

Habari yako Dr mm ninatatuzo la kuumwa tumbo linaniuma upande wa kushoto linauma Kama linawaka Moto pia Lina he's linaunguruma Sana he nn tatizo?

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-18:25:51-

Swali No. 161


Maswali

Me in mwanaume na miak 18...kunaaa kijibu kdg leoo nimekiona maeneo ya sehemuza siri jeee ni tatizo gan...??? Daktari...

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-18:22:26-

Swali No. 160


Maswali

Mdomo Wangu Unabadilika Langi Na Nikipiga Mswaki Fizi Inatoa Damu

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-15:11:38-

Swali No. 159


Maswali

Samahani Mimi Toka juzi Kuna Hali naiyona tumbo linanium alafu cpati amu ya kula kabisa nikila natapika itakuwa ni Nini naomba nisaidie na chuchu zinauma na kuwasha sana

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-13:21:47-

Swali No. 158


Maswali

Habar dr. ivi nitamjuaje mtu mwenye maambukizi 

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-12:33:44-

Swali No. 157


Maswali

Je, keloids husababishwa na upungufu wa vitamin D na njia ya kutibu au kuondoa keloids Ni zipi

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-10:17:58-

Swali No. 156


Maswali

Je overbleeding ni miongoni mwa dalili za HIV??

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-10:17:40-

Swali No. 155


Maswali

kusinya kwa korodani moja pamoja na kuwa na maumivu nako tezi dume?

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-09:19:14-

Swali No. 154


Maswali

Samahani tarehe 11 mwenz 12 nili toka na damu nyeusi sana na damu mabonge mabonge zili toka siku tatu zikakata nikaja tena kutoka na damu tarehe 8 ya mwenz wa kwanza zili toka siku tano

 

Sasa Jana tena damu hime aza kutoka tena tatizo nini naomba nisaidie na nina taka mtoto

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-08:07:16-

Swali No. 153


Maswali

je inaweza kutokezea tumbo kuja juu upande mmoja t halafu kurudi ukawaida ndani ya wiki 1 vip inaweza kutokea au huwa ges yatumbo t

Swali limeulizwa Tarehe: 02-02-2023-04:43:28-

Swali No. 152


Maswali

Lkn me najiulizaga swali korona virus na hiv ni virus kuna maemo wanasemaga virus hatibiki
Sasa kama hatibiki why wanaweza kutibu korona afu ukimwi hawawez kutibu ? Embu nisaidie dr kama unauwelewa ju ya hilo jambo nalojiuliza

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-21:41:50-

Swali No. 151


Maswali

Ninamaswal kuhusu njia inayowez kutumika kutoa mimba ya miezi Saba na gharama zake

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-21:41:29-

Swali No. 150


Maswali

Habari Mtaalam, Mimi ni mwanamke ambaye tumetengana na Mumewangu mwaka mzima.Wiki hii alumina nyumbani na tukashiriki tendon la ndoa. Masaa 5 baada ya kushiriki mwili ULIKUWA MCHOVU hadi nikaanza kulala Orsini hadi sasa ni siku ya tatu mwili ni MCHOVU siwezi Tanya chochote.

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-21:08:08-

Swali No. 149


Maswali

Na je hiv vipimo vya kujipima mwenyewe vya mate ni vya kwel au some time huwa vinakosea

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-20:51:34-

Swali No. 148


Maswali

Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-20:43:26-

Swali No. 147


Maswali

Je hizo dalili za HIV za mwanzo zinaweza ziconekan mwakaa mzimaa tangia ile cku ulio toka kubamiana na mtuu

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-20:42:32-

Swali No. 146


Maswali

Samahani nawezaje kujua week za ujauzito

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:31:24-

Swali No. 145


Maswali

Nilikuwa naomba kijuwa uwo utawala wa banu umayyah ulikuaj hadi kuondoka kwake

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:28:05-

Swali No. 144


Maswali

Asalam aleykum,, samahan naomb kujua nini nifanye napokumbka marehemu

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:27:27-

Swali No. 143


Maswali

 mm mulishawai kuumwa uti na kupatiwa tiba Ila kwa Sasa Kama sijanywa maji ya kutosha huwa inaniludia na nimechomwa sindano Mara mbili ila nikitibiwa huchukua mwezi harafu inaniludia .je, unanishauri nn Dr.

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:25:14-

Swali No. 142


Maswali

Je mtu mwenye HIV atafanyeje Kwa ajili ya kuimarisha afya yake

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:23:43-

Swali No. 141


Maswali

naomba tiba ya kutokwa harufu mbaya mdomoni

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:22:51-

Swali No. 140


Maswali

Habari? Samahani naomba kuuliza swali he unaweza pata dalili za ujauzito baada tu ya siku tatu? Na je inaweza sababisha ukilala kwa mgongo tumbo liume?

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:21:39-

Swali No. 139


Maswali

Assalamualaykum naomba kupata elimu je mke wa Nabii Nuhu aliitwa nani?

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:20:36-

Swali No. 138


Maswali

Mke wangu anatokwa na vitu vyeuope ukeni na me nipo mbali nae Sana nahitaji msaada wenu

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:18:37-

Swali No. 137


Maswali

Mi maziwa yamejaa na yanauma. Ila hii dalili naisikiaga nikikaribia period ila pia nimesex juzi sa sielew hapo ni mimba au period

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:17:18-

Swali No. 136


Maswali

swali langu je ni kiwango gani cha damu kwa binadam ikifika ngapi mtu anakuwa na dalili za upungufu wa damu

Swali limeulizwa Tarehe: 01-02-2023-12:15:53-

Swali No. 135


Maswali

Samahani nilikua nauliza sunnah na mpangilio wake sijauelewa

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-15:58:37-

Swali No. 134


Maswali

Asante  mimi ningependa kuuliza swali kwamba nimeshiriki tendo la ndoa cku ya 12 adi siku ya 16  but mabadiliko ninayoyaona ni tumbo kujaa ges, kuchoka bila sababu, na tumbo la chini kuniuma kwa sana na leo ni siku ya 11 yani tumbo linavuta mpaka basi

Ningependa kujua iyo nayo ni dalili ya mimba changa kwangu ama

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-06:35:09-

Swali No. 133


Maswali

Asalam alaykum ,nina swal mimi ni bint naish na mwanaume bado atujafunga ndoa kulingana na uchumi ila tunamatarajio ya kufunga,sasa mmi nataka nianze kusal sala tano je apo inakuwaje jamn

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-06:07:22-

Swali No. 132


Maswali

Kuharisha ni njia moja ya kutaka kujifungua ni dalili yani

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-06:06:16-

Swali No. 131


Maswali

Kueleza wasifu wa malaika

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-06:05:41-

Swali No. 130


Maswali

swali mim nahitaji kujua herf zakuruani

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-06:04:05-

Swali No. 129


Maswali

Kufany kwa vijibu ambavo huwasha katika eneo la mbele la uume ni tatizo gani

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-06:03:15-

Swali No. 128


Maswali

Mm Nipo znzbr ila Nina   ttz Nilienda spitali kuchangia damu wakapima saizi ya damu yngu ni 15 nikatolewa damu ila baad ya kutolewa damu Kuna Hali imenijia nahisi mwili unakua ni mchovu sana na unakua na unaunguza sana na unakua unauma sna

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-06:02:10-

Swali No. 127


Maswali

As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo  nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-06:01:34-

Swali No. 126


Maswali

As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo  nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-05:28:29-

Swali No. 125


Maswali

Hlw me kujuwa nilipima nyumbani mimba baada kukosa siku zangu kwa miezi 2 na niumwa hivyo majibu yakaja hivi. Je dr naomba unisaidie ni mimba ?

Swali limeulizwa Tarehe: 31-01-2023-05:14:01-

Swali No. 124


Maswali

Naomba vipi qadar ya mwenyezi mungu ina athiri Manisha ya muumini

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-18:47:28-

Swali No. 123


Maswali

Pole Kwa majukumu!
Samahani
Mwanangu ana miezi 8,ila toka juzi hapati  haja ndogo,km ilivyo kawaida Jana Hadi Leo kakojoa mara1,
Naomba msaada

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-18:46:12-

Swali No. 122


Maswali

Naomba kujua ninapohisi kichefuchefu na sihitaji chakula chochote nifanyeje

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-18:43:52-

Swali No. 121


Maswali

Meingia kwenye period tarehe 10 nikakutana na mwanaume tarehe 22 p2nilimeza kesho yake jioni je naweza para mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-18:39:33-

Swali No. 120


Maswali

Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-18:37:42-

Swali No. 119


Maswali

A,aleikum 

Mwanamke akiwa kwa eda ndo kwanza anaanza kuuachwa je inarusikika mke uyo kwenda kwa kadhi na kudai talaka ?

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:58:22-

Swali No. 118


Maswali

namna ya kusafisha kizazi kwa mwanamke

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:16:27-

Swali No. 117


Maswali

vifaa vinavyotumika kumsafisha mwanamke sehemu za siri

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:15:57-

Swali No. 116


Maswali

Nina mimba sasa imefikisha miez 9 na mtoto anachezea upande mmja tu iyo nini

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:15:25-

Swali No. 115


Maswali

Je mimba ya siku nane iaweza kuonekana kwenye kipimo cha mkojo?

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:13:23-

Swali No. 114


Maswali

MAumivu makali chini ya tumbo baada ya tendo

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:11:38-

Swali No. 113


Maswali

nyenzo anazotumia mwanaadamu kujielimisha ambazo ni dhaifu

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:11:05-

Swali No. 112


Maswali

Mtoto wa miaka 2 akinyonya hutapika

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:10:39-

Swali No. 111


Maswali

Dalili za mimba zinazoonekana ukeni

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-16:10:12-

Swali No. 110


Maswali

Nahisi kichefchef na period sijaingia miez3 mpk sass nachoka San tatiz nin

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:59:26-

Swali No. 109


Maswali

Faida za mama kufanya mapenz kwa mama mjamzto

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:58:59-

Swali No. 108


Maswali

Dalili za kubeba mtoto wa kiume tumboni

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:58:29-

Swali No. 107


Maswali

Jina la baba wa mke nabii musa

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:57:39-

Swali No. 106


Maswali

Sababu ya kutapikika mwanamke akiwa period

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:57:12-

Swali No. 105


Maswali

sababu ya ugonjwa wa majipu na tiba yake

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:56:32-

Swali No. 104


Maswali

Eleza jinsi dini ya uislam unavyoweza kumkomboa mwanaadam na sio venginevyo

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:56:10-

Swali No. 103


Maswali

Ivi kweli majivu hutoa mimba baada ya wiki moja

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:55:35-

Swali No. 102


Maswali

Kutokwa maji yenye harufu na maumivu ya tumbo

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:55:04-

Swali No. 101


Maswali

Majimaji yanayoambatana na maumivu ya tumbo la chini

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:54:42-

Swali No. 100


Maswali

Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:54:19-

Swali No. 99


Maswali

Eleza kwa muhtasari kwa nni waislamu ktk jamii yako hawafikii lengo la kwao pamoja.na kutekeleza ibada maalum

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:53:28-

Swali No. 98


Maswali

Bainisha sifa za dini sahihi amboyo anastahili kufuata

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:52:44-

Swali No. 97


Maswali

Faida ya uislam kushika hatamu ktk jamii

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:51:52-

Swali No. 96


Maswali

Hatua za kuondosha maovu katika jamii

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:51:22-

Swali No. 95


Maswali

Sababu za kuwa mwana adamu hawez kuishi bila ya dini

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:50:56-

Swali No. 94


Maswali

Njia za kuzuia pepopunda kwa mtoto

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:50:13-

Swali No. 93


Maswali

Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:49:31-

Swali No. 92


Maswali

Nafasi ya akili katika kumtambua Allah

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:48:55-

Swali No. 91


Maswali

Kuamin malaika katika maisha yakil siku na athar zak

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:48:31-

Swali No. 90


Maswali

Mtoto anaweza kuzaliwa miezi nane na akaishi?

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:48:04-

Swali No. 89


Maswali

Maana ya tawafu ni nini

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:47:07-

Swali No. 88


Maswali

Dalili ya kujua kuwa leo ni ovulation

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:46:19-

Swali No. 87


Maswali

Namna ya kugunduwa kuwa mwanamke yupo kwenye siku hatari

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:45:26-

Swali No. 86


Maswali

Tumbo kuuma chini ys kitovu

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:45:00-

Swali No. 85


Maswali

Hellooo! Ndugu najihisi kuwa mpweke sana, kwani Huwa nahisi mm ni mgongwa wa ukimwi, lakini nikienda kupima naambiwa sio mgongwa, lakini dalili nationa kama ni kweli mm ni mgojwa, kwani afya niliyonayo Si sawa  na afya yangu  kabla ya miaka mitatu iliyopita, nifanyeje ndugu, naomba ushauri!

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-15:05:32-

Swali No. 84


Maswali


   Swali langu ni nimepata changamoto ya jicho.  Nilijipiga na mnati kwenye jicho na jicho limekuwa jekundu

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-12:51:15-

Swali No. 83


Maswali

Ninawashwa sana sehemu za mapaja naweza tumia dawa ganii

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-12:48:54-

Swali No. 82


Maswali

Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-12:48:05-

Swali No. 81


Maswali

Nina mimba ya wezi na wiki mbili ila kuna siku napat iyo damu alafu inapotea aina shida kwangu??

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-12:47:11-

Swali No. 80


Maswali

Nilipata ajali nanilikuwa nimefungiwa cheni zakushikilia taya sasa zimetolewa lakini changamoto meno maumivu makali sana

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-12:43:26-

Swali No. 79


Maswali

Assalam aleykum!
Me nataka kujua jina kamili la mtume HUD (A. S.)

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-08:26:40-

Swali No. 78


Maswali

Niliwahi kufanyiwa operation ya ectopic pregnancy na nikakatwa mrija 1 wa uzazi hapa nna mrija 1 tu wa uzazi ingawa nilibahatika kuzaa mtt1 kwa njia ya kawaida namshkuru Sana mungu nataman kuzaa Tena ila sishiki mimba sijui kwa nn

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-08:25:49-

Swali No. 77


Maswali

Mm naitwa mama Sam nikishamaliza kufanya tendo napata maumivu ya tumbo mpk kwenye mkundu
Yani na kuwa hata kutembea au kukaa vizuri siwezi

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-06:54:50-

Swali No. 76


Maswali

Nauliza eti kama huna mimba na tarehe za kuingia period bado  na kuna damu kidogo inatoka je inasababishwa na Nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-05:45:54-

Swali No. 75


Maswali

Kwa mfano MTU umeshiriki naye tendo Leo na kabla ya hapo yy alikuwa anamaambukizi Siku ya pili mkaenda kucheki VIP virus vitaonesha vile vya awali au havitaonesha kabisa

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-04:17:01-

Swali No. 74


Maswali

samahan naitaj kujua majib sahii juu ya kipimo Abbott make kimetoa misital miwil

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-04:16:24-

Swali No. 73


Maswali

ninasumbuliwa sana na upungufu wa vitamin c tangu mwaka 2022 pia napatwa na vidonda mdomoni mara kwa mara vinachukua mda mrefu kupona je nitumie dozi gani na kwa mda gani

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-04:15:46-

Swali No. 72


Maswali

mafua huchukua mda gani kupona

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-04:15:04-

Swali No. 71


Maswali

Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-04:14:33-

Swali No. 70


Maswali

Habari za muda huu. Naomba kuuliza. Mimi nasumbuliwa na tumbo Tarehe za Hedhi zinapishana mpaka miezi yapishana mwezi naona mwezi sioni nanikiona napata maumivu makali sana pia ujauzito aupatikani na sijaweka kinga yapata miaka miwili sasa lakini amna ujauzito. Ni ilo tu mkuu

Swali limeulizwa Tarehe: 30-01-2023-04:12:57-

Swali No. 69


Maswali

Aslm alykum naombakuuliza,Kam mine ana wake 2 ikitokea     mwenyezamu hayupo keep mine anahaki ya kulala kwa Yule asiyekua zamu yake

Swali limeulizwa Tarehe: 29-01-2023-19:22:59-

Swali No. 68


Maswali

Nilipatwa na kisonono 
Miezi mitatu iliyopita nimetumia Dawa za Hospital lakini napata nafuu kidogo then hali inarudi palepale 
Nilipoenda kupima tena wakasema ni u.t.i nimepewa Dawa ikapoa naona inarudi tena nimetumia Dawa za kienyeji lakini hali bado siyo nzuri

Swali limeulizwa Tarehe: 29-01-2023-19:22:10-

Swali No. 67


Maswali

Assalaam Alaykum,namna yakutoa talaka ya tatu na taratibu zake

Swali limeulizwa Tarehe: 29-01-2023-19:21:47-

Swali No. 66


Maswali

Nataka kujua nini maan ya talaka na edaa

Swali limeulizwa Tarehe: 29-01-2023-19:21:26-

Swali No. 65


Maswali

Samahani ninatatizo lakutok na uchafu pembeni kwenye sehemu za siri naomba kufahamu ni tatizo gan

Swali limeulizwa Tarehe: 29-01-2023-19:21:01-

Swali No. 64


Maswali

Naomba kujua nada ya kutoa talaka Kwa mujibu wa dini ya kiislam utaratibu wa mgawanyo wa mahalo ukoje?

Swali limeulizwa Tarehe: 29-01-2023-19:20:25-

Swali No. 63


Maswali

Mm  sijapata period ni miezi miwili sasa ila ninepima ujauzito kwa UPT negative pia tumbo linauma nikilipobonyeza naomba unisaidie tatiz nini

Swali limeulizwa Tarehe: 29-01-2023-19:20:01-

Swali No. 62


Maswali

Ni chakula kipi kinafaa kuliwa na mgonjwa wa kisukari asubuhi?

Swali limeulizwa Tarehe: 29-01-2023-19:19:20-

Swali No. 61


Maswali

Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-20:59:24-

Swali No. 60


Maswali

Kwanini mjam mzito  wamwezi mmoja  mbavu zina mbana namaziwa yamejaha yote n a chuchu zina Uma  naku washa

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-20:05:36-

Swali No. 59


Maswali

Dawa inayo zuia chango linalo toa mimba ni nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-20:04:43-

Swali No. 58


Maswali

Asalaam Aleykum warahmatulahi wabarakatuhu, mimi swali langu ni kuhusu Rukuu, ukiwa kwenye Rukuu macho unafaa kuangazia wapi? kunao wanao sema unafaa kuangalia unako enda kusijudu na wengine husema unafaa kuangalia vidole vya miguu zako. ni ipi sahihi naomba kufahamu. Shukran wabillahi tawfiq

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-20:04:16-

Swali No. 57


Maswali

Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-20:03:40-

Swali No. 56


Maswali

A.alaykuuu swalii.....kwa mujibuu wa suratul,asri aliefelii na na alifauluu ni nani

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-20:03:10-

Swali No. 55


Maswali

Namaswali machache 
Kuhusiana kushik mimba.
Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. 
So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-20:02:24-

Swali No. 54


Maswali

Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-08:09:34-

Swali No. 53


Maswali

Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-08:09:00-

Swali No. 52


Maswali

Namaswali machache 
Kuhusiana kushik mimba.
Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. 
So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-08:05:08-

Swali No. 51


Maswali

Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-04:54:49-

Swali No. 50


Maswali

Kaka mm nimewahi kupata ajali nikabamiza kichwa nikawahi kupona lakini nilivy pona mdomo ukaanza kupasuka mwaka umefika tangu nipate ajali hiyo nilitokwa na damu nyingi sana nikapugua uzito

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-02:45:57-

Swali No. 49


Maswali

Assallaam Alaykum he ? Ukitaka kifungua bolg yako kinatakiwa Nini na Nini ili nikamilishe kufungua blog yangu mwenyewe

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-02:45:11-

Swali No. 48


Maswali

Je mtu anayewaudumia waathirika wa vvu lazma naye awe ameathirika?

Swali limeulizwa Tarehe: 28-01-2023-02:44:30-

Swali No. 47


Maswali

nimetofautiana na mke wangu tangu siku ya kwanza ya ndoa nimevumilia miaka 2  sasa nikijua atabadilika lakini tabia bado haibadili nifanyaje sinafraha siku zote

Swali limeulizwa Tarehe: 27-01-2023-14:57:56-

Swali No. 46


Maswali

Naumwaa tumbo Leo siku ya nne na mdomo ni mchungu na mkojo wa njano je inaweza kuwa dalili ya mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 27-01-2023-14:57:17-

Swali No. 45


Maswali

Ni zipi ishara zilizomo katika nafsi ya mwanadam

Swali limeulizwa Tarehe: 27-01-2023-14:56:50-

Swali No. 44


Maswali

Je kama unahisi una mimba ya wiki moja alafu tumbo linakuwa linaunguruma mara kwa mara je ni dalili za mimba na kukosa aman ya moyo

Swali limeulizwa Tarehe: 27-01-2023-14:56:18-

Swali No. 43


Maswali

Nina umri wa miaka 19 ni jinsia ya kike   swali langu ni kwamba sikupata hedhi ya miezi mitatu na nikakutana kimwili  sasa je? Naweza kuw na ujauzt

Swali limeulizwa Tarehe: 27-01-2023-12:22:30-

Swali No. 42


Maswali

Habari za kazi
Mimi ninamtoto mchanga wa miezi miwili anasumbuliwa na maumivu ya tumbo na anagoma kunyonya  ziwa la mama, je nifanyaje

Swali limeulizwa Tarehe: 27-01-2023-03:04:14-

Swali No. 41


Maswali

sorry nitajuaje kama nyoka kaning'ata mara tu baada ya kumkanyaga

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-18:23:28-

Swali No. 40


Maswali

Nimetumia dawa mefloquine Leo siku ya 5 naona mwili unapata joto nakichwa kuuma.nn sababu

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-16:24:07-

Swali No. 39


Maswali

Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. 
Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-15:24:53-

Swali No. 38


Maswali

Habari? Kuna dawa za kumaliza pressure ya kupanda moja kwa moja mbona mi Kila nkienda hospital napewa dawa za muda mfupi tu Kisha baadae pressure inanirudia tena

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-15:23:15-

Swali No. 37


Maswali

Sawa doctor kama shida ni homon nini kifanyike na Umri wangu ni 45 sasa nahitaji mtoto pia

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-09:38:32-

Swali No. 36


Maswali

Hi
Presha huwa inanisumbua nitumie nini ili ishuke?

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-09:37:58-

Swali No. 35


Maswali

nilitaka uniambie umuhimu wa kuamini qadar ktk maisha ya kila siku

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-04:55:53-

Swali No. 34


Maswali

ASALAM ALEIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH
Mama mdogo katangulia mbele ya haki.
Alizaa mtoto mmoja tu wa kiume na alifariki kabla ya mama.
Suali jee wajukuu wa huyu mama wanamrithi.
Ana wajukuu 7 wakiume 3 nawakike 4
Pia huyu mama ana ndugu yake wa kike wa baba mmoja vipi na yeye anapata mirathi

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-04:55:13-

Swali No. 33


Maswali

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28.nina tatizo la kutokwa na maji mengi ukeni muda ninapojamiiana hasa pale ninapokuwa nafika kileleni.yale maji Huwa yananikosesha Raha sana maana mpaka pale nilipolala panaloana .je tatizo hili husababishwa na Nini?

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-04:53:09-

Swali No. 32


Maswali

unaweza kushiriki tendo la ndoa kwa mjamzito akiwa na miez mingap

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-04:52:36-

Swali No. 31


Maswali

Je Kama unaskia muwasho tu sehm za sir nayenyew n dalili za ukwimw

Swali limeulizwa Tarehe: 26-01-2023-04:28:32-

Swali No. 30


Maswali

Kwa kawaida hku kwetu M beya gunia la debe 10 huuzwa lakimoja, kipindi Cha maandalz ya kilimo mkulima huomba kukopa elfu 50 na kuahd kulpa gunia Moja la debe 10 wakati was mavno he katika uislamu hl ni halali?

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-17:26:03-

Swali No. 29


Maswali

Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-17:25:34-

Swali No. 28


Maswali

Kwamfano umejamiiana na mtu wiki iliyopita unatakiwa ukae kwa muda gan ili ukapime

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-09:22:47-

Swali No. 27


Maswali

Mimi wakati wa usiku na hisi joto Kali na mwili kuchoka na macho kutokuona vizuri wakati wa mchana

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-07:19:32-

Swali No. 26


Maswali

 Ivi mtu  mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku??

Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele
Vile vidonda vinatoka kama unakinga mwili wanasema homa inatoka

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-07:18:10-

Swali No. 25


Maswali

Moyo kuuma na kutoka jasho jingi nn shida

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-07:17:04-

Swali No. 24


Maswali

Mtume alikuwa kabila gani

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-05:44:30-

Swali No. 23


Maswali

sikuhatar za kupata ujauzito kwa mwanamke nisiku gan

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-05:44:11-

Swali No. 22


Maswali

Ivi mtu  mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku??
Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele

Swali limeulizwa Tarehe: 25-01-2023-05:43:41-

Swali No. 21


Maswali

asalamu,alayku mototo mdogo mwenye umli wa mwez mmoja adi tano akini kojolea nakuwa na udhu?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-18:02:00-

Swali No. 20


Maswali

Je kuna athari gani endapo muhusika amefariki na watu wakawa hawakurith mali hiyo, na je hakuna tabu yoyote inayompata maiti huyo huko alipo? Naomba ufafanuzi wako, ahsante.

 

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-18:01:21-

Swali No. 19


Maswali

Mie sijapima Kama Nina mimba lakini nina week moja sasa sipo kawaida nikiamka asubuhi najisikia Kama kichefuchefu lakini sitapiki nahisi natumbo Kama linajaa gas

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:51:53-

Swali No. 18


Maswali

Mafua yanayoashilia mtu kuwa ana vvu uchukua muda gn kupona?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:50:38-

Swali No. 17


Maswali

Mm nililamba uchi wa mwanamke na ikanitokea mdomo kuwa Meusi  na kupasuka pembeni mwa mdomo

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:49:18-

Swali No. 16


Maswali

Je kama mwanamke hataki kuswali alaf hana tabia nzur na wazaz wangu yaan hawaeshim kiujumla. Je sheria inasemaje kwa mwanamke huyo

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:48:34-

Swali No. 15


Maswali

hello habr naitaji kitabu cha ukombozi wa fikra

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:47:56-

Swali No. 14


Maswali

Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:42:41-

Swali No. 13


Maswali

Ikiwa umepima mara kadha hamna majibu hapo unakuwa hauna au?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:41:22-

Swali No. 12


Maswali

Aje kama mtu ammetoka tu mapele kwenye mikono na ana kikooz anaweza kuwa na ukimwi

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:40:18-

Swali No. 11


Maswali

Nawashwa sana sehem za siri  pia napata maumiz sana wakat wa tendo had napomalza kwenda haja nlpta kwenye page yenu ndo nmeona kwamba n dalili za fungus

 

Hata mzunguko wangu haujulkan n wa sku ngp yan hata hazkai mpanglio mzur

 

Na hapo nikimaliza period huwa naamin kwamba nabanwa na pad yn huwa nawashwa had natumiaga maji ya vuguvugu ndo kdg naacha kujkuna

 

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-17:39:29-

Swali No. 10


Maswali

 Ila tarehe moja nikishirik tendo kabla mume wangu hajasafiri na ilitakiwa tarehe 18 mwezi huu nianze perio ila hadi leo sijapata period leo ni siku ya sita nimepitiliza

 

 
 
Baada ya kushiriki tendo nilipatwa na maumivu ya tumbo nikajua ni changamoto za akina mama pia ilipata joto kali likanipelekea kunywa maji ya barid sana na baada ya hapo nikawa najisikia mara joto mala kizunguzungu pia kula inakuwa shida
 
 
 Tarehe 16 nilinunua kipimo kupima nikawa sina kitu nikategemea tarehe 18 nitaingia period ila hadi leo bado sijapata period
Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-10:17:16-

Swali No. 9


Maswali

Samahan naomba kuuliza je Romanc yaani Denda linaambukiza Vvu?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-08:32:19-

Swali No. 8


Maswali

As-alaykum. Naomba list ya watu ambao mwanamke haruhusiwi kufanyanao miamala kama ya kugusana au kukaliana pamoja au kukaa pekeyao nk
Au list ya watu anaoruhusiwa kugusana nao tu.

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-08:31:50-

Swali No. 7


Maswali

Kwahyo kumbe mtume Muhammad, alifiwa na mama yake akiwa na miaka 6?? Nani sasa akamlea baada ya kufiwa na mama Ake?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-08:31:19-

Swali No. 6


Maswali

Ivi nishamaliza kuswali faradhi je naweza swali swalayoyote yasunna?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-08:30:34-

Swali No. 5


Maswali

Bdo sijaelewa qiblah Ni upande upi na utajuaje Kama huna dila?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-08:29:59-

Swali No. 4


Maswali

Aaww. SHUKRAN Kwa elimu juu ya sanda . Swali langu ni Hili: kamba ktk sanda ya like zinakatwa zote kutoka katika majamvi Yale mawili?

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-08:29:22-

Swali No. 3


Maswali

Hellow.... Nimepat taarf zen kutok Google kuhus dalil za mimb Chang... Mim ninalo swal je, maumiv y kiuno n uti wa mgongoo n dalil z mimb??

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-08:28:38-

Swali No. 2


Maswali

Mi naitaji ushauli kuhus dalili za mwanzo kuma ya kuota tezi kweny shing au kwapan hizi tez zipoj zipoje

Swali limeulizwa Tarehe: 24-01-2023-08:26:48-

Swali No. 1


Maswali

Nina janaba nifanye nini

Swali limeulizwa Tarehe: 23-01-2023-20:54:25-