HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI
Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI
Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi. Wakati mwingine misuli inaweza kukaza ukiwa umelala. Kama una tatizo hili hakikisha unakunywa maji ya kutosha muda wowote. Inaweza ikawa hatari zaidi kama misuli imekaza akiwa anaogelea, hapa anaweza kushindwa kuogelea na hatimaye kupoteza maisha.
Kukaza kwa misuli sio tatizo kubwa sana la kuathiri afya ya mtu ila linaweza kukuletea maumivu ya muda na baadaye kuondoka. Misuli inaweza kuachia yenyewe ama bada ya huduma ya kwanza. Mtu anaweza kujipa huduma ya kwanza mwenyewe ama kufanyiwa na mtu aliyepo karibu. Huduma ya kwanza kwa aliyebanwa na misuli ni kama:-
1.Mlaze chini ama miweke chini anyooshe miguu yake
2.Anza kuminyamninya kwa utaratibu misuli katika sehemu ulippokaza
3.Jribu kukunya na kukunjua kiungo husika kw autaratibu
4.Chua kwa utaratibu na maji ya moto ama tumia kitambaa kilichochovywa kwenye maji ya moto
5.Ama tumia barabu uliweke kwenye msuli uliokaza.
6.Baada ya muda hali hitakuwa sawa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Kiasi Cha mkojo kisichokuwa cha kawaida.
Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi.
Soma Zaidi...Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Njia za kuzuia kiungulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri
Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Soma Zaidi...