picha
PHP BLOG - SOMO LA 8: JINSI YA KUFUTA POST KWENYE DATABASE

katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
picha
PHP BLOG - SOMO LA 7: JINSI YA KUTENGENEZA UKURASA WA KUSOMA POST KWENYE BLOG

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog
picha
PHP BLOG - SOMO LA 6: JINSI YA KUTENGENEZA DASHBOARD KWA AJILI YA BLOG

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post
picha
PHP BLOG - SOMO LA 5: JINSI YA KUANDIKA CODE ZA PHP KWA AJILI YA KUWEKA POST KWENYE BLOG

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
picha
PHP BLOG - SOMO LA 4: JINSI YA KUTENGENEZA UKURASA KWA AJILI YA KUPOST

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
picha
PHP BLOG - SOMO LA 3: JINSI YA KUTENGENEZA TABLE KWENYE DATABSE KWA AJILI YA BLOG

Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu
picha
PHP BLOG - SOMO LA 2: JINSI YA KUTENGENEZA DATABASE NA KUIUNGANISHA KWENYE BLOG

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
picha
PHP BLOG - SOMO LA 1: UTANGULIZI NA JINSI YA KUANDAA KWA AJILI YA SOMO

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 24: JINSI YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 23: JINSI YA KUTENGENEZA CALCULATOR YAANI KIKOKOTOO CHA HESABU KWA KUTUMIA JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 22: JINSI YA KU SET TIME NA TAREHE

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 21: JINSI YA KUTUMIA WHILE LOOP NA DO WHILE LOOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 20 JINSI YA KUTUMIA FOOFLOOP KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia forOfLoop. Hii ni aina ya loop ambayo yenyewe inahusisha item zote kwenye array.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 19: JINSI YA KUTUMIA LOOP KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 18: JINSI YA KUTUMIA SWITCH CASE KWENYE JAVASCRIPT

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 17: CONDITION STATEMENT ZA IF ELSE, ELSE IF KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 16: JINSI YA KUTUMIA HTML FORM KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 15: JINSI YA KUKUSANYA USER INPUT

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 14: JIFUNZE KUHUSU EVENT KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 13: FUNCTION ZINAZOFANYA KAZI KWENYE ARRAY.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 12: FUNCTION ZINAZOTUMIKA KWENYE NAMBA

Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 11: FUNCTION MAALUMU ZINAZOTUMIKA KWENYE STRING YAANI STRING METHOD

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 10: JINSI YA KUANDIKA OBJECT NA MATUMIZI YAKE KWENYE JAVASCRIPT

Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.
picha
JAVASCRIPT - SOMO LA 9: JINSI YA KUANDIKA FUNCTION KWENYE JAVASCRIPT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo



Page 7 of 196

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.