1.
1.Imani ni
2.Pamoja na kudai kwao kuwa ni waumini Allah (s.w) anawakatalia.
βNa katika watu wako wasemao, βTumemuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho na hali ya kuwa wao si wenye kuamini ...β (2:8)
Allah (s.w) anawakatalia kwa sababu
3.Orodhesha sifa za waumini wa kweli kama zilivyoainishwa katika Qur-an (8:2-4) na (49:15).
4.Orodhesha sifa za waumini kama zilivyo ainishwa katika aya zifu atazo:
(a)Suratul-Muuminuun (23:1-11)
(b)Suratul-Furqaan (25:63-76)
5.Imani ya Kiislamu imejengwa juu ya nguzo sita. Zitaje zote. Kwa mpangilio.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Huwa wepesi wa kutoa msaada kwa hali na mali kwa wanaadamu wenziwe wanaohitajia msaada.
Soma Zaidi...