Takriban Mitume wote walitokea katika jamii zilizozama katika ujahili, lakini kamwe ujumbe wao haukuathiriwa na mitazamo ya ujahili kwa ujumla, walahawakuingizautamaduni wa kijahili katika dini ya Allah (s.
Takriban Mitume wote walitokea katika jamii zilizozama katika ujahili, lakini kamwe ujumbe wao haukuathiriwa na mitazamo ya ujahili kwa ujumla, walahawakuingizautamaduni wa kijahili katika dini ya Allah (s.w).
Kwa mfano, maquraishi walipomjia Mtume (s.a.w) na rai ya kuchanganya haki na batili katika ibada, Mtume (s.a.w) aliamuriwa na Mola wake awape msimamo wa Uislamu kama ifuatavyo:
“Sema: Enyi m akafiri, siabudu mnachoabudu.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
Wala sintaabudu mnachoabudu. Wala nyinyi hamtamuabdudu ninayemuabudu. Nyinyi mna dini yenu nami nina dini yangu ” (109:6)
Umeionaje Makala hii.. ?
Elimu imepewa nafasi kubwa sana katika uislamu.
Soma Zaidi...“Katika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana,ziko alama (hoja) za kuonyesha kuwepo Allah (s.
Soma Zaidi...Kuwa ni kwa nini mwanadamu hawezi kuishi bila ya dini kutokana na umbile la mwanadamu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nuzo 6 za imani ya uislamu na pia utajifunz akuhusu mafunzo yanayoweza kupatikana kwenye Nguzo hizi.
Soma Zaidi...