Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama

Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama


siku ya mwisho katika Quran imepewayafuatayo:



Siku ya Qiyama (21:47, 75:1, 75:6, 79: 42) Siku ya mwisho (2:4, 2:8, 58:22)



Siku ya malipo (1 :4, 82:9, 95 :7, 107:1, 83 :11) Msiba ugongao nyoyo (101:1)



Siku ya hukumu (77:13-14)Wakati maalumu (56:49-50)



Siku ya makamio (50:20)



Siku ya makutano (40:15)



Siku iliyokaribu sana kufika (40:18)



Siku ya kuitana (40:32)



Siku ya kutoka makaburini (50:42)Tukio lilokaribu, limesogea



Siku zitakapotikisika mbingu mtikisiko wake 187


(xiv)Siku ya kukaa daima (50:42)



(xv)Siku zitakapofichuliwa siri (86:9)



(xvi)Tukio la Haki (69:1-3)



(xvii)Siku ya Haki (78:39)



(xviii)Tukio kubwa (56:1-2)



(xix)Siku iliyokadiriwa (85:2)



(xx)Msiba ukumbao (88:1)



(xxi)Siku iliyokuu (83:5)



(xxii)Siku ya mkusanyiko (64:9)



(xxiii)Siku ya Hisabu




                   




Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 329


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

kuwa mwenye huruma na faida zake
25. Soma Zaidi...

Imam Ibn Majah na Sunan Ibn Majah
Soma Zaidi...

Historia ya Watoto Wawili wa Nabii Adam
'Na wasomee khabari za watoto wawili wa Adam kwa kweli, walipotoa sadaka, ikakubaliwa ya mmoja wao na ya mwingine haikukubaliwa Akasema (yule asiyekubaliwa sadaka yake): 'Nitakuua'. Soma Zaidi...

Uislamu ni Nasaha (kunasihiana) kwa Mwenyezi Mungu, Kitabu chake Mtume wake , Viongozi na waislamu wote
' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': "' '?... Soma Zaidi...

Kuingia Kwa Uislamu Tanzania na Afrika Mashariki
Soma Zaidi...

FAMILIA MPYA BAADA YA HARUSI
Soma Zaidi...

Quran na sayansi
3; Mchujo wa maji dhaliliKatika aya nyingine tunakuja kupata funzo kuwa maji aliyoumbiwa mwanadamu licha yakuwa na sifa zilizotajwa katika kurasa zilizopita ila pia maji haya yanasifa kuwa ni madhalilina pia na yamechujwa kama tunavyoelezwa katika quran?? Soma Zaidi...

Amri ya Kuchinja Ng'ombe
Kutokana na kuishi kwao Misr kwa muda mrefu, Mayahudi waliathiriwa na ibada za kishirikina za Wamisr. Soma Zaidi...

USULUHISHWAJI KWA WALODHULUMIWA
Download kitabu Hiki Bofya hapa USULUHISHAJI WA WALODHULUMIWA. Soma Zaidi...

Uanzishwaji wa Makundi mbalimbali ya Harakati za Kuhuisha Uislamu Ulimwenguni
8. Soma Zaidi...

HISTORIA YA UANDISHI WA HADITHI
Historia fupi ya uandishi wa Hadith za Mtume (s. Soma Zaidi...

KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU
' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' ' "' ' ' ' ' ' '... Soma Zaidi...