siku ya mwisho katika Quran imepewayafuatayo:
Siku ya Qiyama (21:47, 75:1, 75:6, 79: 42) Siku ya mwisho (2:4, 2:8, 58:22)
Siku ya malipo (1 :4, 82:9, 95 :7, 107:1, 83 :11) Msiba ugongao nyoyo (101:1)
Siku ya hukumu (77:13-14)Wakati maalumu (56:49-50)
Siku ya makamio (50:20)
Siku ya makutano (40:15)
Siku iliyokaribu sana kufika (40:18)
Siku ya kuitana (40:32)
Siku ya kutoka makaburini (50:42)Tukio lilokaribu, limesogea
Siku zitakapotikisika mbingu mtikisiko wake 187
(xiv)Siku ya kukaa daima (50:42)
(xv)Siku zitakapofichuliwa siri (86:9)
(xvi)Tukio la Haki (69:1-3)
(xvii)Siku ya Haki (78:39)
(xviii)Tukio kubwa (56:1-2)
(xix)Siku iliyokadiriwa (85:2)
(xx)Msiba ukumbao (88:1)
(xxi)Siku iliyokuu (83:5)
(xxii)Siku ya mkusanyiko (64:9)
(xxiii)Siku ya Hisabu
Umeionaje Makala hii.. ?
Ushahidi wa kuthibitisha kutendeka kwa kosa la uzinifu unapatikana kwa namna tatu zifuatzo: (i)Kushuhudia tendo hilo likifanyika kwa wakati mmoja watu wanne Mukalafu (Walio baleghe na wenye akili timamu), wakiwa ni Waislamu waadilifu.
Soma Zaidi...Ni mgawanyo upi wa elimu haukubaliki. Ni ipi elimul akhera na elimu dunia? (Edk form 1 Dhana ya elimu)
Soma Zaidi...Njia ambazo Allah hutumia kuwasiliana na wanadamu nakuwafundisha elimu mbalimbali. (Edk form 1 dhana ya Elimu)
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Elimu imepewa kipaumbele kikubwa kwenye uislamu. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nafasi ya Elimu katika uislamu.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Bila shaka wanaume wenye kufuata vizuri nguzo za Uislamu, na wanawake wanaozifuata vizuri nguzo za Uislamu, na wanaume wanaoamini vizuri nguzo za Imani, na wanawake wanaoamini vizuri nguzo za Imani, na wanaume wanaotii, na wanawake wanaotii, na wanaume wa
Soma Zaidi...Ninichanzo cha Elimu? (EDK form 1 Dhanaya Elimu)
Soma Zaidi...Mitume wameletwa kuwa Waalimu na viongozi wa kuwafundisha watu Uislamu na kuwaelekeza kuusimamisha Uislamu katika jamii kinadharia na kimatendo kama tunavyojifunza katika Qur-an:“Kwa hakika Tuliwapeleka Mitume wetu kwa dalili wazi wazi na Tukavitere..
Soma Zaidi...