picha
PYTHON SOMO LA 60: HASHING NA ENCRYPTION KWENYE DJANGO

Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya...

picha
NAMNA YA KUJILINDA DHIDI YA KUDUKULIWA KWA SIMU YAKO

Leo tutajifunza sababu zinazoifanya simu kuwa rahisi kudukuliwa na hatua madhubuti za kuzuia udukuzi. Tutazungumza kuhusu matumizi salama ya intaneti,...

picha
NINI KINAWEZA KUSABABISHA SIMU YAKO KUDUKULIWA

Hapa tunajadili sababu kuu zinazoifanya simu iwe rahisi kudukuliwa, mbinu zinazotumiwa na wadukuzi, na mambo ya kawaida ambayo watumiaji hufanya...

picha
PYTHON SOMO LA 59: KUFANYA MAHESABU (AGGREGATIONS) KATIKA DJANGO

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na...

picha
PYTHON SOMO LA 58: JINSI YA KUBORESHA DJANGO ADMIN

Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin...

picha
VYAKULA VINAVYOPENDEKEZWA KWA MTU MWENYE KISUKARI.

Tutazungumzia: Makundi ya vyakula rafiki kwa mgonjwa wa kisukari. Namna ya kuchagua chakula chenye sukari ndogo kwa mwili....

picha
PYTHON SOMO 57: MATUMIZI YA PYTHON SHELL

Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya...

picha
PYTHON SOMO LA 56: KUONGEZA DATA KATIKA DATABASE KWA KUTUMIA DJANGO ADMIN NA DJANGO SHELL

Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia...

picha
PYTHON SEOMO LA 55: KUTENGENEZA SIMPLE ADMIN DASHBOARD YA CRUD

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuunda dashboard rahisi ndani ya Django ambayo itaruhusu mtumiaji kuongeza, kusoma, kuhariri na kufuta...

picha
PYTHON SOMO LA 54: JINSI YA KUSOMA DATA KUTOKA DATABASE KWENYE DJANGO

Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na...

picha
PYTHON SOMO LA 53: KUTENGENEZA HTML FORM NA DJANGO VIEW KWA AJILI YA KUINGIZA DATA

Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja...

picha
NINI HUSABABISHA FANGASI SEHEMU ZA SIRI

Katika somo hili tutaeleza sababu kuu zinazopelekea kupata fangasi sehemu za siri, mazingira yanayochochea kuongezeka kwa fangasi, pamoja na vitu...

picha
PYTHON SOMO LA 52: KUTENGENEZA TABLE NA KUFANYA MIGRATIONS KATIKA DJANGO

Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana...

picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA MAJANI YA KUNDE

Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za...

picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA KISAMVU (MAJANI YA MUHOGO)

Somo letu la leo litazungumzia kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu, ambacho ni chakula cha asili kinachopatikana kwa urahisi...

picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA MCHUNGA (BITTER LETTUCE)

Somo letu la leo litazungumzia kuhusu faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana kutokana na ulaji wa mboga ya mchunga, inayojulikana pia...

picha
AINA BORA ZA MBOGA ZA MAJANI KWA KUONGEZA DAMU MWILINI

Somo letu la leo litazungumzia mboga bora zaidi za majani zinazosaidia kuongeza damu mwilini. Tutajadili virutubisho vinavyopatikana kwenye mboga hizi,...

picha
MBINU BORA ZA KUPIKA MBOGA BILA KUPOTEZA VIRUTUBISHO VYAKE

Somo letu la leo litazungumzia njia sahihi za kupika mboga ili zisipoteze virutubisho vyake muhimu. Tutajifunza makosa yanayofanywa na watu...

picha
MADHARA YA KUTOKULA MBOGA ZA MAJANI MARA KWA MARA

Somo letu la leo litazungumzia kuhusu athari za kiafya zinazotokana na kutojumuisha mboga za majani katika mlo wa kila siku....

picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA MBOGA YA MNAVU (SOLANUM NIGRUM)

Somo letu la leo litazungumzia kuhusu faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana kutokana na ulaji wa mboga ya mnavu — mojawapo...

picha
TOFAUTI KATI YA BLOGGER NA WORDPRESS

Blogger na WordPress ni majukwaa maarufu ya kuunda blogu na tovuti. Blogger ni huduma ya bure inayomilikiwa na Google, rahisi...

picha
JINSI YA KUZUIA KUDUKULIWA KWA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK

Thibitisha akaunti yako kwa hatua za usalama kama kutumia nenosiri imara, kuweka uthibitisho wa hatua mbili (2FA) kwa kutumia authenticator,...

picha
UKURASA WA AMP KWENYE SEO

Katika somo hili tutaeleza maana ya AMP (Accelerated Mobile Pages), jinsi inavyofanya kazi, faida zake katika SEO, changamoto zake, na...

picha
SOMO LA 9 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUIWEKA PROJECT YETU KWENYE FILE MOJA

Katika somo hili utaenda kujifunza namna ya kuunganisha mafaili mengi ya project na kuyaweka kwenye faili moja tu na kuweza...

Page 1 of 229

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.