picha
UISLAMU NA ELIMU EP 1: VIPI UISLAMU ULISAIDIA KUHIFADHI KAZI ZA WANAFALSAFA WA KIGIRIKI

Kabla ya falsafa za ukiriki kufika ulaya, Wislamu ndio waliozihifadhi, na baadaye kuja kutafsiriwa kilatini na kuwafikia watu wa Ulaya

picha
SIRI YA MAUWAJI EP 4:

Amani alirejea msituni kufuatilia maono ya kipande cha chuma. Alikutana tena na mzee wa ajabu aliyemweleza kuhusu shirika la siri

picha
SIRI YA MUWAJI EP 3: DAMU YA WALIOANGUKA

Amani anakuja tena msituni kwa mara nyingine wakati wa usiku. Nini kitatokea , na nini hasa kumemleta, je bibi anahusika vipi?

picha
KOTLIN SOMO LA 26: DHANA YA CLASS, OBJECT NA METHOD KWENYE KOTLIN

Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza

picha
SIO SALAMA KWA MTOTO WA UMRI CHINI YA MWAKA MMOJA KUPEWA ASALI

Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?

picha
PYTHON SOMO LA 25: NDHARIA YA OBJECT ORIENTED PROGRAMMING

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming

picha
KOTLIN SOMO LA 24: DHANA YA MODULE KATIKA KOTLIN

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App

picha
KOTLIN SOMO LA 23: UTOFAUTI WA PACKAGE NA LIBRARY

Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package

picha
KOTLIN SOMO LA 22: PACKAGE KENYE KOTLIN

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika

picha
FIREWALL NI NINI KWENYE TEHAMA

Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall

picha
SIRI YA MAUWAJI EP 2: MTI WA MAJIBU

Baada ya muda mwingi, Amani anarudi tena kwenye mti wa ajabu. Na hapa safari mpya inaanzia

picha
HISTORIA YA INTERNET

Katika post hii utajifunza historia ya internet maka kufikia Leo.

picha
PYTHON SOMO LA 49: JINSI YA KU HOST PROJECT YA DJANGO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

picha
PYTHON SOMO LA 48: JINSI YA KUTUMIA JAVASCRIPT KWENYE FOMU ZA DJANGO

Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

picha
PYTHON SOMO LA 47: JINSI YA KUPOKEA NA KUCHAKATA FOMU

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

picha
RAFIKI WA KWELI KWA PROGRAMMER

Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu

picha
TOFAUTI YA DEVELOPER NA PROGRAMMER

Katika post hii utakwenda kujifunza kuhusu tofauti ya programmer na developer

picha
JE AI ITAUWA UBUNIFU, AMA KUDHOOFISHA TAALUMA?

Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.

picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 71: MAISHA YA MTUME MADINA

Hapa tunakwenda kuianza upya safari ya Maisha ya Mtume akiwa Madina

picha
MBINU ZA KUKUBALIWA GOOGLE ADSENSE

Nimeandika Makala hii kutkana na uzoefu wangu. Hivyo haya ni mawazo binafsi TU.

picha
PYTHON SOMO LA 46: KUTENGENEZA FOMU NA KUITUMA KWA DJANGO TEMPLATE

Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.

picha
PYTHON SOMO LA 45: KUTUMIA LOOPS NA CONDITIONS KATIKA DJANGO TEMPLATES

Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

picha
PYTHON SOMO LA 44: DATA MANIPULATION KATIKA DJANGO TEMPLATES

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template

picha
PYTHON SOMO LA 43: KUTUMA DATA KUTOKA VIEW KWENDA TEMPLATE KATIKA DJANGO

Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

Page 1 of 220

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.