Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

MABADILIKO YA VIA VYA UZAZI KWA MAMA MJAMZITO.


image


Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.


Mabadiliko ya via vya uzazi kwa wajawazito.

1.Kwanza kabisa Mama akibeba mimba kuna mabadiliko kwenye via vya uzazi kuanzia kwenye uke, mlango wa kizazi, mfumo wa uzazi na kiwango cha kawaida cha damu ubadilika kadri ya ufanyaji wa kazi.

 

2.Mama anapobeba mimba , kwenye mlango wa kizazi ufunga ili kuzuia maambukizi au kitu chochote kupitia kwenye uke kuja kuingilia kiumbe kilicho kwenye tumbo la uzazi.

 

3.Tumbo la uzazi ubadilisha na kuongezeka ukubwa hali hiyo utokea kwa sababu ya kuongezeka kwa kimo cha mtoto kadri anavyokua kwa hiyo kadri ya wiki zinaongezeka na tumbo uongezeka hiyo hivyo.

 

4.Kiwango cha kusafiri kwa damu nacho uongezeka kwa sababu damu inatumika sana kwa Mama na kwa mtoto vile vile na damu utumika sana kwa hiyo mama akiwa mjamzito utumia dawa za kuongeza damu kila mwezi .

 

5. Na  kwenye uke wa Mama uongezeka size na pia huwa kuna maji maji ya kwenye uke nayo uongezeka na pia Mama akikaribia kujifungua na sehemu mbalimbali ambazo mtoto utaka kupitia uanza kulegea ili mtoto aweze kupita. 

 

6.Kwa hiyo akina Mama wakiona dalili kama hizi au mamadiliko kama haya wanapaswa kuona ni kawaida ni kwa sababu ya mimba ndizo uleta mabadiliko mbalimbali na wakijifungua maisha huwa kama kawaida.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    3 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    5 ICT       ðŸ‘‰    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Salvertory Tags AFYA , Uzazi , ALL , Tarehe 2022/02/17/Thursday - 02:39:35 pm     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 1102



Post Nyingine


image Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali. Soma Zaidi...

image Mimba kutoka kabla ya umri wake
Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane. Soma Zaidi...

image Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?
Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali. Soma Zaidi...

image faida za tendo ka ndoa wakati wa ujauzito
Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba Soma Zaidi...

image Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume Soma Zaidi...

image Ni zipi njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume Soma Zaidi...

image Dalili za kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Madhara kwa wasiofanya mazoezi
Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi. Soma Zaidi...

image Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara . Soma Zaidi...

image Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zifuatazo ni faida za kunyonyesha kwa Mama Soma Zaidi...