huu ni mwanzo wa kitabu hiki cha Matn arbaina Naway
Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy
Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu
HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake
Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini
Post hii inakwenda kukupa tahadhari juu ya mambo ya halali na mambo ya haramu.
Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini