MALENGO YA KUWAHUDUMIA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO


image


Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.


Malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano.

1.lengo la kwanza ni kuzuia vifo kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano.

Hili ni mojawapo ya lengo ambalo limeweza kuwepo kwa sababu hapo mwanzoni palikuwepo na vifo vingi vya watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa sababu ya kutokuwepo kwa chanjo na baada ya kuwepo kwa chuo Magonjwa mengi yamepungua kama vile kifua kikuu, kifadulo, Surua na magonjwa mengine mengi.

 

2.Lengo la pili ni  kupunguza magonjwa.

Kuanzia malengo yalipoanza na mpaka sasa hivi magonjwa mengi yamepungua ambapo watoto Upata chanjo mapema na pia akina mama uweza kupata chanjo na dawa ili kuwakinga watoto wadogo na pia mahudhurio ya kliniki kila mwezi ambayo uangalia maendeleo ya mtoto.

 

3. Kuondoa aina yoyote ya ulemavu kwa watoto.

Hapo mwanzoni palikuwepo na ulemavu mbalimbali kwa watoto na sasa hivi ulemavu huo umetoweka kwa sababu ya kuwepo kwa dawa na maelekezo mbalimbali ya wataalamu wa afya kwa kufanya hivyo ulemavu kwa watoto wadogo umepungua kwa kiasi kikubwa.

 

4. Lengo lingine ni kuona maendeleo mazuri na ukuaji wa watoto kwa wakati, kufuatana na lengo hili watoto wengi wameweza kuangaliwa kuanzia miaka sifuri mpaka miaka mitano na pia mahudhurio ya kliniki yanafanyika ili kuweza kuangalia maendeleo ya mtoto kwa kutumia vigezo mbalimbali ambavyo ni uzito na kuangalia maendeleo ya kwa ujumla.

 

5. Kwa hiyo tunaona malengo haya ni mazuri na yameleta faida kubwa kwa watoto kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka watoto kupata chanjo na mahudhurio ya kliniki ili kuweza kutokomeza maradhi yanayowapata watoto na kuzuia vifo kwa watoto wadogo.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    3 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Madhara ya kaswende kwa wajawazito na watoto wadogo.
Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mtoto. Soma Zaidi...

image Njia za kutibu saratani
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...

image Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi. Soma Zaidi...

image Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...

image Dalili za kifua kikuu (tuberculosis)
Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis. Soma Zaidi...

image Mbinu za kuponyesha majeraha
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

image Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.
Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu au kuharibu sehemu ya misuli ya moyo. Soma Zaidi...

image Minyoo Ni nini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya minyoo Soma Zaidi...

image Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani, Soma Zaidi...

image mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt
Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo. Soma Zaidi...