Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Aslm alykum ,kunasuramaalum katikasala yadhuha? Na Dua yake tafadhali
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 402
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwanin tunasema samiaallah limanihamida hatusemi Allah akibalu
Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
Asalam alaykum ,nina swal mimi ni bint naish na mwanaume bado atujafunga ndoa kulingana na uchumi ila tunamatarajio ya kufunga,sasa mmi nataka nianze kusal sala tano je apo inakuwaje jamn
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
Ooh! Me bado mwanafunzi naomba kujua hatua ya kwanza nikifika kwenye nyumba ya Ibada