Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili za kisukari ni zipi?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Vichomi nazo ni dalili za ujauzito
Kuharisha ni njia moja ya kutaka kujifungua ni dalili yani
Kama nahisi maumivu kwenye kinena nililala hata nikitembea ndio kabisa mimba yangu cjui Ina week ngap lakini nahic miezi 9 imefika
Mm nimedunga sindano tarehe tano za mwezi wa kwanza n'a mpaka sasa sijaona siku zangu ila nabaki nasikia maumivu chini ya kitovu kwa mbali n'a nimefanya tendo la ndowa siku iliofuata tarehe 6 je naweza kupata mimba?
Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??
Habar docktor samahani gome la mwembe nasukutulia au nakunywa???