Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Faida ya uislam kushika hatamu ktk jamii
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 97
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani sheikh wangu nilikuw naomba kujua swalat haja huwa inaswaliwa wkt gani na ina rakaa Ngap?
Sababu za kuwa mwana adamu hawez kuishi bila ya dini
Asalam alykum warahmatullah ,Je zakat al fitr yafaa kuwatolea wote unaoishi nao ama waliofunga pekee?
Nashukuru Swali langu ni kuhusu maana. Ya kijakazi atamzaa bibi yake Katika hadithi ya pili kati ya hadithi arobaini zak imamu annawawiy
ASALAM ALEIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH Mama mdogo katangulia mbele ya haki. Alizaa mtoto mmoja tu wa kiume na alifariki kabla ya mama. Suali jee wajukuu wa huyu mama wanamrithi. Ana wajukuu 7 wakiume 3 nawakike 4 Pia huyu mama ana ndugu yake wa kike wa baba mmoja vipi na yeye anapata mirathi
Naitwa mustapha nipo songea, je quraan inapaswa kusomwa nyakat gan