Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habar dr. ivi nitamjuaje mtu mwenye maambukizi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 158
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Kwanini mjam mzito wamwezi mmoja mbavu zina mbana namaziwa yamejaha yote n a chuchu zina Uma naku washa
Shinikizo la damu ni nini?
Habali samahani mi natatizo nikama mapunye usiku huwa yana washa nakutoa majimaji meupe, tatizo hili na mda nalo taklibani mwaka namiezi nitumie dawa yaaina gani nipate kupona
Kabla ya mada yenyewe vipi viupele vya ukimwi vinatokea mdomon kwa nje kidogo vikiwa na rangi nyeupe ukivikwangua vinakuwa vyekundu ila aviumi?
Habari za asubuhi. Nmesoma kwa makini sana kazi za protini mwilini. Lakin pia nmesoma ikizidi sana mwili matatizo yake. Nauliza kama ikizidi inakuwa shida ni kiwango gani cha protini mtu atumie kwa siku na ale na wanga kias gani?