Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari.tatizo la kumwaga mapema linaweza kutibika?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 645
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Maumivu ya kiuno na tumbo la chini kwa mjamzito husababishwa na nini?
Habari naomba ushauri nasumbuliwa Sana mwili unaniuma kweli napata joto mwilini kari sana na Koo lote linauna nitumie dawa gani
Shida yangu je matiti yangu yananinyima Raha kabisa yaani sipendi kuvaa brazia kwa mda mrefu Ila kutokana na ukubwa wake inanilazimu nivae tu pindi navyoamka naomba Kama Kuna dawa ambayo inaweza kunisaidia bila madhara ,,sijaolewa bado Wala sijazaa
swali langu je ni kiwango gani cha damu kwa binadam ikifika ngapi mtu anakuwa na dalili za upungufu wa damu
Nko na maumivu chini ya kitovu na nlipima jna bt kipimo kikasema sna mimba bt sjaona siku zangu na hua zinakam taree 3 myb mniambie shida ni nin
Mfano mtu akikanyaga kiwembe cha muathilika alf baada ya masaa mawili bila ya kunawa miguu akakukanya pajan lkn na wewe unakidonda tumboni sasa wakati wakusafisha ukapitisha sabuni ulipokanyagwa na ulipookuwa unakidonda je unaeza pata ukimwi