Pata jibu kamili kuhusu swali lako
hello habr naitaji kitabu cha ukombozi wa fikra
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 15
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello Natatizo la fangasi kwenye mdomo ila sipati maumivu yeyote huwa npo kawaida tu. Na chakula nakula vzr, nimetumia dawa ili kutibu uu muonekano wa ulimi uwe vzr lakn Bado cjapata dawa sahihi
Habar naomba kuuliza kuharisha kwa zaid ya wiki mbili lakini kwa muda maalum ni dalili ya ugonjwa gani
mimi ninatokwa na maji mengi ukeni na sipo siku ya tari nilibidi nianze kubleed ndipo ayo maji yameanza kutoka kwa wingi kama uterezi ya yai
Ni kwamba tumbo linaniuma kwa Chini na Nina kojoa Mara kwa Mara lkn tulifany siku ya kwanz wakat natoka kwenye siku zangu je nayo ni dalili ya mimba au ni hofu ndy imenitawala
nimetembea na mtu mwenye ukimwi zaidi ya mara 15,,, afu nigundua karbuni ,,,nishatembea nae,, mwishoe nimejikuta kunavipele yamenipata vidogovidogo vimejikusanya kama vile niugua na moto vinatoa maji je inaweza kuwa ndo dalili ya kuwa nimeambukizwa
habar nilikua naulize mm mzunguuko wangu mfupi je 25 nilipata pld tareh 27 nika maliza tareh30 nikashiliki tendo tareh 6 ss sijielew mpaka ssiv na mda wakuona pld umepita ila leo nimeona pld ila nyepes alafu ndogo je nnaweza kua namimba mana naskia kizunguzungu kichwa kinauma mwili wangu umechoka