Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello naitaj search engine post ziwe znaonekana haraka
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 330
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Unaweza kufungua blogger bila ya kununua domain
Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs
hellow najaribu kuinstall trebedit kwa simu inakataa sijajua shida nini,, inaonesha tu pending mda wote haioneshi kuanza installing
Nin swali naomba msaada nafnya app ya spring boot hapa as backend ila nikipelek data zangu ktk database zinaingia ni null shida ni k2 gn
Habari zenu wakubwa
Kwa application kama hizi za kujisomea zile notes zinakua uploaded kwa njia gani??
Natka nitengeneze mobile app ya kujisomea ila sijajua nianze vipi naomba msaada wenu
Language ni javascript
Samahani mkuu naomba msaada wa kufahamu jinsi gani ya kutengeneza direct link ya apk ambayo unaweza kuweka kwenye website pia mtu akibonyeza ianze kudownload moja kwa moja mfano mzuri kama app ya sports pesa