Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba
Kuwashwa ukeni ni dalili ya fangasi. Unatakiwa ukae kama wiki tatu ili uweze kupima mimba. Ama baada ya kukosa soko zako hapo ndio muda sahihivkupima mimba.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari naitwa Neema ninashida mate yamekuwa na ladha nyengine na maziwa yanauma na nimepima mimba Sina
Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn
Dawa inayo zuia chango linalo toa mimba ni nini?
Samahani nikisha jihisi kuwa ninamimba changa je naweza kutumia dawa ya kuzuia kuharisha plees naomba kujuwa
Ivi mtu mwenye ukimwi anaweza akatokwa na vidonda vya homa ya usiku??
Vinavytoka pembeni ya mdomo kama vipele Vile vidonda vinatoka kama unakinga mwili wanasema homa inatoka
Nilifanya tendon siku ya danger kabsa ila nilimeza p2 je kunauwezekano Wa kupata mimba