SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #29 25-01-2023 17:25:34
Question Icon

Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba

JIBU

Kuwashwa ukeni ni dalili ya fangasi. Unatakiwa ukae kama wiki tatu ili uweze kupima mimba. Ama baada ya kukosa soko zako hapo ndio muda sahihivkupima mimba. 

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi