Pata jibu kamili kuhusu swali lako
je ninapochukua udhu naruhusiwa kuongea?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 516
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
je utakapokula daku ukisikia adhana ya kwanza unatakiwa uwache Kula au umalizie kula mpaka adhana ya pili
mke aliejifungua au kuharibu mimba kabla ya kuoga nifasi akapewa talaka na mumewe je mwanamke huyu anapaswa kukaa eda?
Asalaam alaykum? Shekhe naomba unisaidie khutuba ya ijumaa kwa kiswahili, maana nipo kijijini. Siku moja ilitokea kuswali adhukhuri kwa sababu imamu alikua anaumwa, na hii itasaidia kwa dharula Kama hizi.
As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa