SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #1313 06-03-2025 01:59:57
Question Icon

Je Quran ina sura ngapo?

JIBU

Quran ina sura 114. Sura ya kwanz ani surat al fatiha na ya mwisho ni surat an nas. Ila ikumbukwe kuwa mpangilio huu sio kwa mujiu wa zilivyoteremshwa.

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi