Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1263
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na ukifanya ngono na mwanamke mwenye virusi pasipo kupata mchubuko wakati wa tendo Kuna uwezekano wa kupata virusi?
Je ukiwa unakojoa ukawa unajisikia maumivu au uume ukisimama halafu mshipa wa chini unauma hiyo nayo nadalili ya nini
Je kuwashwa kwa muda ukeni kunaweza mfanya mwanamke kuchelewa kupata hedhi
Je mgonjwa akiwa anajisaidia haja kubwa inayoambatana na damu damu, inamaanisha ni sugu au vp
Je mtu mwenye HIV atafanyeje Kwa ajili ya kuimarisha afya yake
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha