Pata jibu kamili kuhusu swali lako
kuhusu hizo dawa za fangas zilizo tajwa hapo juu mjamzito anaweza kuzitumia,
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 999
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm napata maumivu ya tumbo upande wakushoto chini
Je inawezena kuwa mtoto amekufia Dani ya tumbo au nikuchoka tu amelala Kwa sababu Niko hospital na wemetafuta heart 💖 beat lakini hawasikii akipumua au kucheza
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?
Habari ndugu yangu, mimi nimesoma kuhusu HIV, Ila nimepima mwezi wa November kwa kweli nilikua sawa lakini kufika mwenzi wa kwaza na wapili hadi watatu kunabiti nilifanyanae mapenzi bila kupima, kweli kwa sasa dalili nyingi nimesoma hapo kwa kweli nimeaza kuisi nikama nimeazirika namagonjwa ya zina, ila naogopa sana kwenda kupima
Habari Dr mm nasikia tumbo lote linauma baada ya tendo la ndoa.maumivu ni makali na hupelekea viungo kukosa nguvu.km vile miguu na mikono inakosa nguvu na mwili mzima unakosa nguvu.tafadhari naomba msaada zaidi.
Na pia maumivu hayo huwa sio ya mda mfupi.yanachukua masaa na badae huendelea taratibu chini ya kitovu
Nilitumia contraception after sex baada ya twelve hours bt ninaona matone ya damu kidogo kidogo kunauwezekano nimepata mimba?