Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 644
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nabii lut alikwenda wapi baada ya gharika
Uislamu wakati wa makhalifa ulipata changamoto nyingi sana ambazo zilipelekea kuwatia khofu waislamu wanafikiria mambo gani yaliopelekea kuondosja changamoto izo
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani
Je inaruhusiwaa kuswali ikiwa kuna baadhi ya dua ambazo yapaswa kuzitumia ndani ya swala na haujazikaririi vizurii
Naomba kuuliza,, mwanamke akitolewa barua ya posa na maari na mwanaume ambae siyo muislam na amemzalisha watoto,akitokea mwanaume wa kiislam akihitaji kumuoa kisheria kidini ya kiislam, je.utaratibu ukoje?