SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #629 06-03-2023 13:51:42
Question Icon

Kuna madhara gani ninapotumia dawa za uzazi wa mpango yaani kuzuia mimba

JIBU

Dawa za uzazi wa mpango kama zina madhara yanaweza kuwa haya
1. Kubadilika kwa siku zako
2. Kuongezeka kwa Majimaji ukeni
3
 Kichefuchefu
4. Maumivu ya tumbo
5. Kukosa hamu ya tendo


Hayo ni madhara kwa ujumla ya dawa za uzazi. Ila hutokea mara chache pia hutegemea na mtu. 


Sio wote wanapata hali hizo.

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi