Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Muda gani mzuri wa kumeza dawa za arv
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 472
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Fangasi wa uume unatibuje kwa mafuta ya nazi na ni yep yanafananaje
Hello, Mimi Nina wasiwasi kwani nikipatq hedhi tarehe 17 mwezi wa Kwanza na nkashiriki ngono tu baada ya kumaliza hedhi je naeza pasta mimba? NaombA usaidz
Dakir mimi nitazizo ume wangu sehemu ya kutolea mkojo inatoa usaa na nikieda kukonjowa nahisi maumivu makali sana sasa sijajuwa tatizo nn??
Habari! Mimi shida yangu ni milija inayotoka kwenye korodani inajaa na kuweka vinundununda.
Mimi nilikua na shida ni muhanga kutafta mtoto nilipima nikaambiwa na pld nimetumia dawa nimemaliza pia nilingia p talehe22 mwezi2 mzunguko wanguni28 Hadi leo nina siku kumi na tano chakushangaza nasikia maumivu ya tumbo chini Kama visindano na usingiz pia gesi tumboni na maji maji yanatokea lakini hayana harufu je shida yaweza kua Nini hapo
inawezekana kutibiwa ukimwi kama umegundua umeambukizwa masaa machache yaliyopita