Pata jibu kamili kuhusu swali lako
namna ya kusafisha kizazi kwa mwanamke
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 118
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza mfano umeng'atwa na muathirika wa ukimwi amabae anatumia dawa je nawe anaweza kukuambukiza
Samahan nilikuwa naomba kuulizia,utando mweupe mdomoni kwenye mashavu, inasababishwa na mini?
Habari niliingia hedhi tarehe 11 nikamaliza tarehe 14 baada yahapo nikakutana na mwenzangu tarehe 20 je naweza kupa mimba
Hello. Habari mm naumwa fungus nikijikuna napata maumivu sana. Na nimechubuka kwenye mashavu ya uke na nimetumia dawa CANI_MAKS lkn naona hainisaidii chochote je nitumie njia gani ya asili au dawa gani nipone?
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo
Mm kuna dalili sizielewi na ninajisikia kichefuchefu mate kujaa mdomon napia naumwa kichwa bado sija elewa dalili hizi kiukweri naomba msaada