Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Vilivyotajwa kwenye quran ni vinne 1. Zaburi 2. Tawrat 3. Injili 4. Quran
Hata hivyo vipo vingi. Karibia kila Mtume alipewa chake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Aslm alykum ,kunasuramaalum katikasala yadhuha? Na Dua yake tafadhali
Sunnah na nguzo za swala zinamchangiaje kuachana na mambo machafu na maovu
Assalamualaikum naomba kuhuliza kula kitu ambacho kimechinjwa na mtu anae kunywa pombe ni sawa
Assalamualaikum naomba kujua vigez vinavyofanan vya uhakiki wa hadithi, vya imamu bukhar na muslim
Naomba kufahamu kunabaadhi y waumini wanaacha swala y faradh wanaswali tarawehe. Je? Hii imekaaje shekh nifafanue
Assalaam alayka je' kwa yule ambaye anakipato cha chini anapaswa atoe zaka kiasi gani na kwa kipindi gan?