Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua jinsi yakujua swala wakati wakuswali
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 886
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je unaruhusiwa kulala na mke endapo hujaanza kukaa itiqaf ya masiku kumi haya ya mwisho? Ijapokuwa yameshafika ila cjaanza kukaa itiqafu.
Je Kama ss wanawake tunaopata au kuigya ktk siku na anatka kufanya hija je itakuaj
Je katika rakaa mbili za mwisho katika sala ya tahhijut unasoma tu surah alifatih basi au unasoma na surah zingine
Nilipilengo la swala kwa hoja ya quran na hadithi
Asalam aleykum warahmatullah,samahn naomba kuulizaa je nilazimaa kusomaa Ile Dua katik swalt subh baada ya kutoka kuruu ukiwa kwey itidali?
Nina suali. Naomba msaada, amefariki mtu ameacha, (1) ndugu yake wa kike wa baba mmoja, mama mmoja.(2) watoto wa ndugu yake wa baba mmoja wanaume na wanawake na (3) watoto wa ndugu yake wa mama mmoja tu. Naomba kujuwa uridhi utakuwaje? Ahsante