Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua nini maan ya talaka na edaa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 66
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina janaba nifanye nini
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu naomba kuuliza kwamba Nia peke yake inatosha kumfanya mtu awe ameingia katika uislam bila kutaja shahada
Pili kama mtu akashududia kwa kiswahili je inaswihi?
ikiwa marehemu kaacha mke mmoja na watoto watano wakiume na wakike wawili hawa mgawanyo wao upo vipi
Watu wengi wanasema wakisoma Qur'an sawa ameongea kiarabu swali langu ni kwamba kuna tofauti yoyote kati ya kiarabu na Qur'an au hakuna tofauti
Naomba kuuliza je mwanamke akiwa katika sikuzake anaruhusiwa kufunga
Mimi nikitaka kuoa mke wa pili kunahaja ya kumtaarifu bimkubwa na kama nikimtaalifu akakataa je nifanyeje?