Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni chakula kipi kinafaa kuliwa na mgonjwa wa kisukari asubuhi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 62
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
samahan mm Kuna mda naweza kua natembea mala gafla nachomwa na kitu kiunoni uku kinashuka kidogo kwenye paja apo mguu hauwezi kukanyaga Tena mpaka nisimame Kama dak 3 ndo niendelee na safal,je ilo ni tatizo gani,na linaweza badae kuleta hathar gani ktk mwili wangu na naweza kufanya nini? ili kuondoa ili tatizo.
Wenye madonda yatumbo wana ruhusiwa kutumia matunda gan ya vitamin C?
Mm nililamba uchi wa mwanamke na ikanitokea mdomo kuwa Meusi na kupasuka pembeni mwa mdomo
Niliwahi kufanyiwa operation ya ectopic pregnancy na nikakatwa mrija 1 wa uzazi hapa nna mrija 1 tu wa uzazi ingawa nilibahatika kuzaa mtt1 kwa njia ya kawaida namshkuru Sana mungu nataman kuzaa Tena ila sishiki mimba sijui kwa nn
Assalam aleykum! Me nataka kujua jina kamili la mtume HUD (A. S.)
Sorry nlikua naomba kuuliza kuharisha kinyesi cheusi inaweza kusababishwa na nn