Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume
Tatizo la kusahau, tumia
1. Karanga
2. Samaki
2. Machungwa
3. Mbegu za mboga
4. Pilipili
5. Kahawa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu
Nataman kujua vipi kipimo cha ukimwi kinaweza kusoma majibu kwa miez miwili na kuonekana?
Nilifanya tendon siku ya danger kabsa ila nilimeza p2 je kunauwezekano Wa kupata mimba
Tatz lang tok mwez wa pili mwishoni najisikia viby km tumbn Kuna kt hasa kilikuwa kinatembea ila saiv nahs sana maumivu upande wa kushoto km kweny mbavu .na nikibeba kit kizito naumia nahs km kunatoka chin.mda mwengn km kuchefukwa .na sijaingia ktk siku zng na ilikuwa Leo .je tatz ni nn
Habari ya asubuhi? Nimesoma dondoo yako. Swali langu.. Huwo ugonjwa wa kikohozi na mafua ikiwa yanasumbua kwa mda mrefu yapata miezi mi wili. Je, ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa ukimwi?
Ni mkojo tu unauma na nikimaliza kidamu kidogo kinatoka ni mkojo tu