Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nyenzo anazotumia mwanaadamu kujielimisha ambazo ni dhaifu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 113
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali lang naomba kujuwa kufanya biashara ya play station au Games je naingia kwny haramu.
Nataka kuuliza historia ya uislamu baada ya kutawafu mtume ni mada ya form ngapi
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Sababu za mwanaume kupata maumivu baada ya tendo la ndoa
Kusuka nywele zauzi ukaunganisha kichwani nimakosa au simakosa