Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Side effects za kula ukwaju ni zipi..?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 518
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nauliza hivi umefanya mapendi na msichani Bada ya miezi mitatu upo negative miezi Tano au SITA bado upo saw negative inakuaje hapo
LNMP yangu ilikua Ni trh 21/1 mpka sass trh 24 sijaingia je naweza kua Ni mimba? Au nisubir mwez uishe
Hbarai,mimi nina swali naomba msahada nilishea tendo na mtu ambae alikuwa na nia mbaya kumbe ni muathirika na baada ya mwezi tulienda kupima lakini mimi nikakutwa mzima na yeye alikuwa na maambukizi na toka hapo sina hamani je hii imekaaje?
Me naomba kuulza ivi kuna siku maalumu ukifanya tendo la ndoa endapo mke atapata ujauzito bc mtot atakuwa wa kiume ipo siku iyo?
Je kama unahisi una mimba ya wiki moja alafu tumbo linakuwa linaunguruma mara kwa mara je ni dalili za mimba na kukosa aman ya moyo
Kuna uwezekano wa mtu kubeba mimba ilihali anatumia (majila)sindano za kuzuia kupata ujauzito