Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Tumbo kuuma chini ys kitovu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 86
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi swali langu kuu ni mapigo ya moyoo wangu yanaendaa kasii kwel shidaa itakuwa ni nin
Na piah mdaa huo huo mwili huishaa nguvuu na kizungu zunguu
Shida yang kweny uume wangu sometime uwa unawasha kwa ndani naombaa nisaidie kujua ogonjwa gan
Nanamiaka23 ninamtoto wa mwaka sasa na ilinianza hiii Hali nikiwa na miez minne mwaka Jana titi lilikua limejaa Sana maziwa na maumivu Hadi nikawa nashidwa kumnyonyesha mtoto baada ya maumivu kupungua ndo uvimbe nikawa naugusa mpaka sasaiv
Habari mimi ni msichana wa miaka 28 nahisi nilifanya mapenz na mtu si salama na hatukutumia condom je! Naweza kujua dalili za mwanzo za V.V.U?
chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?
Samahani kwa usumbufu naomba tu kuuliza au kupata ushauri kutoka kwenu, Mimi ni mjamzito ninaujauzito wa miezi 3 sasa lakini nimeamka asubui kwenda kukoga nikakuta chupi imechafuka pasipo maumivu ya aina yoyote Yale Ila imetoka kidogo tu Je, hii inakuaje inakua hivi au nifanyaje ili hali hii isiendelee? Maumivu yoyote sisikii kabisaa niko vizuri