picha

Faida za kiafya za kula karanga

Faida za kiafya za kula karanga



Faida za kiafya za kula karanga

  1. karanga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini B1, B2, B6, madini ya calcium, phosphorus, magnesium na sodium
  2. Husaidia katika kudhibiti kisukari
  3. Husaidia kuzuia saratani
  4. Husaidia katika kutunza kumbukumbu na kuboresha afya ya ubongo
  5. Huzuia unyonyokaji ama ukatikaji wa nywele
  6. Husaidia katika kupunguza uzito
  7. Husaidia katika ukuaji mzuri wa watoto
  8. Huboresha afya ya ngozi
  9. Ni nzuri kwa afya ya moyo


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4912

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Yajuwe magonjwa matano yanayo tokana na utapiamlo

Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi

Soma Zaidi...