Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa. Pia tukushukuru ewe msomaji wa makala hii
kuweza kutumia muda wako vyema hta ukapata kuisoma makala hii.
Makala hii inakwenda kulenga katika kutowa mafunzo na elimu juu ya matunda mbalimbali na faida zao. makala hii imelenga hasa faida za
matunda katika kukabiliana na maradhi mbalimbali sugu kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo kama kupalalaizi, shambulio la moyo
pamoja na presha ya kupanda na kushuka.
Kitabu hiki cha matunda kimesha kamilika sehemu ya kwanza. Kitabu hiki utaweza kukipata bure hata bila ya malipo. Unachotakiwa ni
kujisajili kwenye maktaba yetu kwa kutumia link hapo chini, kisha utaendelea kutumia huduma zetu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
Soma Zaidi...Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Soma Zaidi...Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...