Mbinu za kuondoa sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.

Njia za kuondoa sumu mwilini.

1.Kwa sababu ya vyakuy mbalimbali ambayo vinatumika kama bila chips, baga, vyakula vya kwanye Makopo na mambo mengine kama hayo Usababisha kuwepo kwa sumu nyingi mwilini kwa hiyo tunapaswa kuondoa sumu hiyo kwa kufanya yafuatayo.

 

2. Matumizi ya vyakula vya acid na pia kutumia vyakula vya kuchemsha kwa wingi, vyakula hivi vinakua haviy mafuta .

 

3. Unywaji wa maji kwa wingi.

Kwa kutumia kiwango kikubwa cha maji sumu inaweza kuondoka mwilini na kusababisha kupungua kwa sumu mwilini.

 

4. Kufanya mazoezi.

Mazoezi yakifanyika kwa wingi umfanya mtu kutoa jasho ili jasho ni kama sumu ambayo ilikuwa iko mwilini kwa hiyo mtu akifanya mazoezi anaweza kuondoa kiwango kikubwa cha sumu mwilini.

 

5. Kupunguza matumizi ya mafuta.

Kwa kawaida tunajua wazi kuwa mafuta ni kitu kimojawapo ambacho kinasababisha mafuta mwilini kuongezeka kwa hiyo ni vizuri kupunguza matumizi ya mafuta kwenye vyakula.

 

6. Kula vyakula vya nyuzinyuzi.

Kama vile parachichi, ndizi, peazi, karoti na pili pili.

 

7. Matumizi mazuri ya hewa safi na kutambua baadhi ya bidhaa unazozitumia.

 

8. Epuka matumizi ya vyombo vya plastiki na vile vile matumizi ya pombe kali.

 

9. Matumizi ya dawa yawe ya uangalizi na pia fanya Masaji kama inawezekana.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/03/08/Tuesday - 12:11:28 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 315

Post zifazofanana:-

Vyakula vya wanga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini Soma Zaidi...

Hadithi ya Kaka wa kwanza wa kinyozi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

Nikila tumbo linauma, mdomo mchungu, matiti yanauma na hedhi sijapata, je ni dalili za mimba?
Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb? Soma Zaidi...

Uume ukiwa unaingia na ukiwa ndani nahic maumivu Kama uke unawaka Moto tafadhali nishauri
Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia. Soma Zaidi...

Vitu vinavyochochea kuwepo kwa Ugonjwa wa ukimwi.
Posti hii inahusu zaidi vitu ambavyo vinasababisha kuongezeka kwa Ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na baada ya watu kujua Ugonjwa huu na matokeo ila bado ugonjwa unazidi kuongezeka. Soma Zaidi...

Kazi za vitamini B na vyakula vya vitamini B
Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kwa ujumla wake. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il Soma Zaidi...

Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.
Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga Soma Zaidi...

Aasbab Nuzul surat Ash sharh: sababu za kushuka alam nashrah (surat Ash sharh)
Makala hii itakwenda kukufundisha sababu za kushuka kwa alam nasharah yaani Surat Ash sharh. Soma Zaidi...

Yanayoathiri afya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayoathiri afya Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu Soma Zaidi...