NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI KWENYE TUMBO NA UTUMBO MDOGO


image


Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.


Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa sababu nyingi zinazoweza kusababisha maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ni uchafu ambao tunakutana nao kwenye shughuli zetu za kila siku kwa hiyo tunapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kuepuka madhara makubwa yatokanayo na Maambukizi 

 

2.Kwanza kabisa tunapaswa kuepuka kunywa maji machafu na vyakula vichafu kwa hiyo tunapaswa kuchemsha maji na kuyachuja kabla ya kunywa na pia chakula kinapaswa kwa cha moto au kufunikwa vizuri kama tumemtunzia mtu ili kuepuka kupandwa na nzi ambao utua sehemu mbalimbali.

 

3. Tunapaswa kuishi mikono na maji safi na sabuni baada ya kutoka chooni, kabla ya kuandaa chakula , kabla ya kula na kabla ya kugusa kitu chochote ambacho kinaingia mdomoni mwa mtu kwa kufanya hivyo tunaweza kupunguza maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

 

4. Pia tunapaswa kuwashauri Watu wale wanaotumia madawa ya antibiotics mara kwa mara bila mpangilio na bila maelekezo kutoka kwa daktari au wataalamu wa afya wanapaswa kuacha kabisa kwa sababu nazo uleta Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo ikiwa zitatumiwa bila mpangilio 

 

5.Na pia tunapaswa kuosha vyakula vyote tunavyozipata kutoka sokoni na pia kuelimisha jamii matumizi ya choo na kuacha kukisaidia ovyoovyo kwa kufanya hivyo tutaweza kuondoa tatizo la Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo



Sponsored Posts


  ๐Ÿ‘‰    1 Madrasa kiganjani       ๐Ÿ‘‰    2 Maktaba ya vitabu       ๐Ÿ‘‰    3 Jifunze fiqh       ๐Ÿ‘‰    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ๐Ÿ‘‰    5 Hadiythi za alif lela u lela       ๐Ÿ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu
Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu. Soma Zaidi...

image Dalili za Mgonjwa wa kisukari
Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari. Soma Zaidi...

image Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia Soma Zaidi...

image Fahamu Ugonjwa wa hepatitis C
Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini uonekane. Soma Zaidi...

image Dalili za kipindupindu na njia za kujilinda na kipindupindu.
Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi. Soma Zaidi...

image Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.
Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu au kuharibu sehemu ya misuli ya moyo. Soma Zaidi...

image Dalili za shambulio la hofu
Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba unashindwa kujidhibiti, unapata Mshtuko wa Moyo au hata unakufa. Soma Zaidi...

image Saratani ya tishu zinazounda Damu mwilini (leukemia)
Post hii inaelezea kuhusiana naร‚ย Sarataniร‚ย ya tishu zinazounda damu mwilini, ikijumuisha uboho na mfumo wa limfu.ugonjwa huu kitaalamu huitwa leukemia. Soma Zaidi...

image Dalili za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo
Post hii inahusu zaidi dalili za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ingawa sio watu wote wenye dalili kama hizi Wana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo Ila zikitokea mtu anapaswa kwenda hospitalini kupima Ili kupata uhakika wa afya, zifuatazo ni dalili za mtu Mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Soma Zaidi...

image Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo. Soma Zaidi...